Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

Asante

Mie umenifundisha

Fascia board sie twaita Fisha bodi
Murram twaita Molam

Mengine sielewi ila hayo ni somo kwangu
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00

UPDATE:
Katika makadirio wadau wamenitonya yafautayo
1. Hapo pembeni kuna kichumba ambacho waafikiri ni choo, gharama za kuvuta maji, choo chenyewe na wall tiles inaweza kuongeza gharama kwa arond 1.0 million

2.Kuna floor tiles amnazo sijazigsa kabisa, gharama ambayo tiles kwa nyuma nzima na ngazi inaweza kufikia 1.2million

Hivyo kazi hii ya nyongeza ni Tshs 2,2 million n jumla kuu kwa kazi ya kibanda=Tshs 15,845,980.00

OMBI
Ofisi ya Waziri Mkuu wakimaliza uchunguzi wao wa kitaalam , watuwekee hadharani makadirio yao kwa viwango vya kazi husika ya kibanda cha VETA Tabora(kwa kulinganisha tu)
Populist........Cheap politics...Huyu Majaliwa hafai kabisa. Hiyo bei ni sawa kabisa kwa mjengo wenye viwango. Kama anataka madarasa ya shule za KATA hiyo nyumba unaweza kuijenga hata kwa laki 3. Ila ikichukuliwa na upepo usimuulize mjengaji.

Tatizoni kwamba, hilo jengo likianguka kwa Mvua kali, ataitwa mhandisi ajieleze. Ni ujinga mtupu.

Ipo hivi ndugu zangu watanzania, nyumba hiyo hiyo unaweza kuijenga kwa milioni 1 mpaka milioni 11- kutokana na kiwango. Kama serikali inataka tujenge nyumba zake kwa kiwango cha KATA, Tutakwisha. Cheap is expensive- ukiuelewa usemi huu utajua kuwa huyu majaliwa ana CHEAP POLITICS..Sitaki hata kumsikia.
 
Eti muweke ndani huyu.. kwa kisa gani. tumerudi nyuma wakati wa mwendazake. Si angesema tu wamhoji kwani huyo engineer atatorokea Kenya au... wakati ana BOQ ya jengo. Aitwe akahojiwe lakini si kumuweka ndani.. Ujinga mtupu..
Tunarudi wakati wa ujima.
 
Kuna BOQ hapo au ujinga wa mtu mwizi!
Hujajenga ndugu yangu, nakuonea huruma. Ushauri: Utapotaka kujenga, usimpe pesa ndugu yako akusimamie mjengo- mtagombana na kumuita mwizi. Kajenge mwenyewe mpaka finishing kwa viwango ndio urudi hapa JF utoe maoni.
 
Hujajenga ndugu yangu, nakuonea huruma. Ushauri: Utapotaka kujenga, usimpe pesa ndugu yako akusimamie mjengo- mtagombana na kumuita mwizi. Kajenge mwenyewe mpaka finishing kwa viwango ndio urudi hapa JF utoe maoni.
Kumbe na wewe ni mpumbavu! Unataka mpaka nikuweke ndani unipakulie ndiyo ujue nina jengo!
 
Hujajenga ndugu yangu, nakuonea huruma. Ushauri: Utapotaka kujenga, usimpe pesa ndugu yako akusimamie mjengo- mtagombana na kumuita mwizi. Kajenge mwenyewe mpaka finishing kwa viwango ndio urudi hapa JF utoe maoni.
Mkuu kuna mijitu mijinga humu mtandaoni, hata unashangaa anajuaje kuwasha mtandao maana vichwani hakuna kitu
 
Ukiona mwanasiasa anakimbilia kufanya kazi na takukuru wakati vyombo vya kitaalam vipo, ujue ana matatizo ya kimsingi katika uelewa na good governace.
Takukuru si wataalam wa ujenzi.
Simple logic inatka kujua wanaohusika na project nzima hadi mradi ukajengwa ni akina nani na uhusika wao katika design ya project, costing, tendering, award, project supervision mpaka inspection na project acceptance.
Anatokea mtu asiyeelewa mlolongo huo mwishoni kabisa wa mradi na kumsweka ndani mkandarasi, kwa vile ana uwezo huo.
Okay, unamuweka ndani mtu, ni kwa sheria ipi?
Au kwa vile mtu ana madaraka kufanya hivyo na kuyatumia vibaya!
Hii miradi midogo inawaumbua viongozi wetu katika uelewa wa miradi inavyoasisiwa.
Pathetic!
Kibaya zaidi huyu wanayemzungumzia sio mkandarasi bali ni mwalimu aliyebebeshwa jukumu la kusimamia mradi chini ya mfumo mbovu wa fosi akaunti!

Amandla...
 
Sizungumzii jengo bali jengo la viwango.
Na unapozungumzia viwango vya jengo pia angalia matumizi yake! Viwango vya jengo viendane na viwango vya matumizi!

Kilichotakiwa kujengwa ni kibanda (hut or shelter) na siyo nyumba (house)!
 
Amekiri wapi? Liliulizwa swali katika kadamnasi kuhusu bei ya hicho choo na mtu akasema 40000. Hamna mahali ambapo huyo unayemuita mjenzi amekiri chochote.

Amandla...
Maswali yameulizwa Tena mengi kuhusu choo.
Watu msio na akili za kutosha, mmepewa mahesabu ili mupitie na kusahihishaujenzi wa jengo mnalotaka , mmekalia kuchonga kama hamna akili nzuri!
Lete mkadirio yako, nyumba za kerikali hazijengwi kwa maneno matupu.
Tatizo lako umekurupuka.
Jengo ni jengo liwe ya serikali, la kanisa , la Msikiti , hata nyumba ya kuishi ya mtu binafsi.

Kanuni za ujenzi nizilezile hazibaldiliki isipokua kwa mazingira maaluum.

Hayo mahesabu ni yakwako na hu yo mwenzako sio lazima ni yakubali.
Kama unataka tuboshane kimahesabu leta Bill of quantity ya hicho kibanda.
 
View attachment 2352668
Kwa kawaida nakerwa sana viongzi kuongelea mambo ya kitaalam bila kutafuta ushauri.

Hivi karibuni Mh. Waziri Mkuu alishangazwa kibanda cha Mlinzi katika mradi wa VETA huko Tabora kugharimu Ths 11 million.

Mimi sikushangzwa na gharama lakini nilishangazwa na kauli ya Waziri Mkuu Majaliwa kusema hadharani kuwa pale kuna upigaji!

Nikiwa mhandisi, niliamua kutafuta picha za kazi hiyo na kutenngeneza Rough Estimates za mradi huo kama ungekuwa Dar es Salaam kwa sasa hivi.

Gharama nilizo pata Kwa MKOANI DAER ES SALAAM ni Tsha 11,371,650.0

Kwa vile tabora ni mbali na supplier vifaa vingi , niliamua kuweka factor ya 1.2, hivyo GHARAMA ZA JENGO TABORA KUWA 13,645,980.

Naomba washauri wa Mh Waziri Mkuu wawe wanamtonya kama anakosea.
Gharama za kibanda ni sawa, tena ni pungufu kidogo.

KIBANDA CHA MLINZI VETA , TABORA
S.NoITEMUNITSQUANTITYUNIT COSTCOSTREMARKS
1​
Kuset kibanda na ngazi zotesum20,000
2​
Kuchimba misingim3
3.8​
12,00045,600
3​
Kuweka zege la msingi, nyumba na ngazi
0.2m thickm3
0.45​
180,00081,000
4​
Tofali za kulaza misingim2
21​
37,000777,000
5​
Tofali ngazi za kupandia kibandam2
3.6​
37,000133,200
6​
kuujaza udongo wa murramm3
27.5​
15,000412,500
na kushindilia
7​
kuweka mawe ndani ya msingi na ngazim3
4.5​
35,000157,500
8​
Kumwaga zege la jamvi 150mmm3
4.5​
180,000810,000
9​
Kuset kuta za nyumba, tofali zam2
13.5​
25,000337,500
kusimama 150mm mpaka
beam soffit
10​
Shuttering ya ring beamm2
4.6​
26,000119,600
11​
Kukunja na kuweka nondokg
98​
4,000392,000
12​
Kumwaga zege la beamm3
1.25​
180,000225,000
13​
Tofali za level mtambaa panyam2
13.45​
25,000336,250
na gable
14​
Kufunga wall plate na truss, nanos
5​
1,5007,500
15​
Kufunga fascia board nyumba nzimam
15​
1,50022,500
16​
Kufunga purlins 50x50mmm
120​
8,000960,000
17​
Kupiga bati za IT4 na kofia, kila bati 3.4mnos
38​
65,0002,470,000
18​
Kupiga brandering ya ceilingm2
25​
4,000100,000
19​
Kufix gypsum board ya ceilingm2
25​
6,800170,000
20​
Kujaza uwazi kati ya bati na ukutasum45,000
21​
Fufunga bomba za kupitishasum50,000
Umeme na box za switches
22​
Kufunga frame za madirishanos
2​
150,000300,000
23​
Kufunga frame za milangonos
3​
150,000450,000
24​
Kupiga render za kuta nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
25​
Kupiga plaster nje na ndanim2
148.5​
2,000297,000
26​
Kufunga madirisha ya aluminiumnos
2​
240,000480,000
27​
Kufunga milango mbao ya mkongonos
3​
260,000780,000
28​
Electrical wiring na kufunga switchsum650,000
29​
Kupiga rangi nje na ndanim2
148.5​
3,000445,500
TOTAL11,371,650
NB
1​
Gharama hizi ni za DAR ES SALAAM
2​
Kibanda hiki kiko TABORA, hivyo kwa kusafirisha vifa hivyo kwend TABORA, factor gharama kwa 1.2 ,
3​
Hivyo Gharama ya jengo la VETA , TABORA =13,645,980.00

UPDATE:
Katika makadirio wadau wamenitonya yafautayo
1. Hapo pembeni kuna kichumba ambacho waafikiri ni choo, gharama za kuvuta maji, choo chenyewe na wall tiles inaweza kuongeza gharama kwa arond 1.0 million

2.Kuna floor tiles amnazo sijazigsa kabisa, gharama ambayo tiles kwa nyuma nzima na ngazi inaweza kufikia 1.2million

Hivyo kazi hii ya nyongeza ni Tshs 2,2 million n jumla kuu kwa kazi ya kibanda=Tshs 15,845,980.00

OMBI
Ofisi ya Waziri Mkuu wakimaliza uchunguzi wao wa kitaalam , watuwekee hadharani makadirio yao kwa viwango vya kazi husika ya kibanda cha VETA Tabora(kwa kulinganisha tu)
Asante kwa estimate ya gharama za Nyumba ya mlinzi. Kwa kweli bila estimate unaweza kusema ndivyo sivyo.
Lakini ndugu, S.No. 17 kwenye estimate hii umeweka IT4 za mita 3.4 na idadi ni 38 kwa gharama ujenzi ya 65,000. Hii imefanya nirudi kuangalia mkao wa nyumba ya mlinzi.
Naona kama idadi ya bati 38 za mita 3.4 ni nyingi sana. Naomba ufafanuzi maana tunajifunza pia!!.
 
Amekiri wapi? Liliulizwa swali katika kadamnasi kuhusu bei ya hicho choo na mtu akasema 40000. Hamna mahali ambapo huyo unayemuita mjenzi amekiri chochote.

Amandla...
Nikweli swali limeuliukizwa kwenye kadanamnasi jibu jibu limetokewa ni , Asian. Je Asian inauzwa 300,000
? Jamani, hata kama mnamtetea mwana taaluuma mwenzenu sio hivyo . Angesema kaweka European hata kwa 1,000,00tsh ningekubali haraka, lakini kwakukili ni Asian , hiyo ni 40,000 .
 
Back
Top Bottom