Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Degree haina kazi ya kujiajiri, or else itabidi uwe na mtaji mkubwa sana.Hivi degree ni kitu gani kwani mtu anamaliza na hajui chochote hadi aelekezwe tena.
Waziri Mkuu yuko sawa kama hawataki wakae nyumbani wazeeke na degree zao.
Wewe umejiajiri au umeajiriwa?Hivi degree ni kitu gani kwani mtu anamaliza na hajui chochote hadi aelekezwe tena.
Waziri Mkuu yuko sawa kama hawataki wakae nyumbani wazeeke na degree zao.
Lazima uanze kidogo kidogoDegree haina kazi ya kujiajiri, or else itabidi uwe na mtaji mkubwa sana.
VyoteWewe umejiajiri au umeajiriwa?
Hata hivyo amejitahidi sana hadi muda huu hajatolewa hapo ....makando kando kibao.....rushwa juu muacheni tuuuuu......Kassim Majaliwa kiufupi umeshajipotezea heshima na heshima uliyobaki nayo ni ndogo Sana.
Nakushauri Ujifunze kukaa Kimya hakuna faida utaipata baada ya kuwa mropokaji.
Hata mafundi kutoka VETA wanaoajiriwa karibu wote lazima mwaka wa kwanza waishi kama wanafunzi, wanakuwa hawajui chochote.Hivi degree ni kitu gani kwani mtu anamaliza na hajui chochote hadi aelekezwe tena.
Waziri Mkuu yuko sawa kama hawataki wakae nyumbani wazeeke na degree zao.
Bora hiyo ni ufundi unaelewekaHata mafundi kutoka VETA wanaoajiriwa karibu wote lazima mwaka wa kwanza waishi kama wanafunzi, wanakuwa hawajui chochote.
70% au zaidi ya taasisi ninayofanyia kazi ni mafundi na wahandisi. Mafundi wengi ni zao la VETA, wakija kazini wanaanza from the scratch hawajui lolote.
Kuna ubaya gani ukiwa mwanasheria pia unajua kuhusu umeme wa magari.Degree haina kazi ya kujiajiri, or else itabidi uwe na mtaji mkubwa sana.
Hamna ubaya, ndio maana nikasema degree mtaji wake mkubwa sana ukitaka kuanzisha ofisi, hata ya uwakili ni shughuli.Kuna ubaya gani ukiwa mwanasheria pia unajua kuhusu umeme wa magari.
Sura na umbo vimekubeba, right?Vyote
Sio degree. Niambie ujasiriamali unaoweza anza na degree kidogokidogo fresh from school na ni kiasi gani?Lazima uanze kidogo kidogo
Kwahyo sasahv wew ni tajir?!Toka magetoni ,acha akili mgando . Mimi ni CPA, mwajiriwa wa serikali ,pia nimejiajiri(consultant )lakini ni mtaalamu wa rangi na napenda rangi kuliko uhasibu na nilisoma veta.Nakumbuka mmoja ya walimu wangu BUSARA aliniambia unachokifanya nje ya mshahara ndio utajiri ,veta imenisaidia .