Kwa akili yako unataka kusema Tanzania waliosomea fani mbali mbali wanazo ajira?au wamejiajiri?
Kama nchi tufike wakati tuwe Sirius na maisha ya watu tuwe na mipango mirefu kwa maendeleo ya watu wetu.
Bado tunao vijana wengi wmemaliza veta nao hawana mitaji hawana kazi za kujipatia kipato.
 
Kassim Majaliwa kiufupi umeshajipotezea heshima na heshima uliyobaki nayo ni ndogo Sana.

Nakushauri Ujifunze kukaa Kimya hakuna faida utaipata baada ya kuwa mropokaji.
Watu wengi tunaona kuhusu VETA ni kitu kibaya lakini kuna nchi kama China wenzetu ni kawaida sana mtu mmoja kujua vitu viwili au vitatu.Degree ni elimu lakini maendeleo ni kitu kingine.Wapo watu walishafanya hivyo kitambo na wanafurahia kufanya waliyojifunza veta
 
Inamaanisha Tanzania haijafikia kiwango cha kuhudumiwa na watu wenye Degree?

Inahitaji watu wa VETA tu?
 
Huenda Majaliwa anaona mbali kuliko wanaopinga tuwaze nje ya box.Fikiria miaka kumi mbele itakuwaje.Kuna ubaya gani mtu akiwa na degree sociology,law,engineering kujua utengenezaji au usindikaji wa matunda?
 
Tanzania tuna watu wapumbavu sana......

Kwani kuna ubaya gani ukajiongezea ujuzi na maarifa kama unapata nafasi hiyo....

Kwanini ukae nyumbani ukizunguka na bahasha ilihali kuna uwezekano wa kupiga kashoti kozi na kupata ajira mahali......

Tanzania kadri watu wanavyosoma ndio wanazidi kuwa wajinga.......
 
We mpumbavu Sana na hauna akili kuna uhakika wa ajira baada ya kutoka VETA ?.
 
Ni wapumbavu na wajijinga, mna mentality ya kipuuzi kwani kwenda kusoma VETA kutapunguza utukufu wa degree? Kuna watumishi wa umma wameajiriwa na bado wana vijiwe/ofisi zao mitaani za ufundi, ni double standard. Acheni ujinga nendeni VETA mkasome ufundi nchi ipige hatua kimaendeleo, skilled labour, the future of Tanzania
 
Yaani nyie mlitaka waziri mkuu awapetty petty mlitaka awaambie "serikali itaongeza ajira" na endapo angefanya hivyo tungeona nyuzi zinasema "waziri mkuu ni muongo na mnafiki".

Basi wenye degree waendelee kuzungusha bahasha mitaani hadi akili ziwakae sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…