Mheshimiwa angempeleka mwanae kama mfano pale VETA labda ingefikilisha ila kwa mkurupuko huo sure saa100, have to do smthing about it!
 
Umeongea mkuu graduates wanaona kwenda veta ni dharau.
 
Hamna mjinga wa hivo. Nina uhakika asilimia 100. Labda wewe na hatuwezi kukupa nafadi kama hiyo. Labda uwe kiongozi wa familia yako, uwaambie wanao wakajiuze.
Mkuu mimi nina busara nyingi Sana kuliko kasimu.
Kasimu nilianze kumhofia tangu alipotuambia rais Magufuli Yuko timamu kiafya na anawasalimia.

Ukiniwekea kasimu mganga na kasimu majaliwa nachagua kasimu mganga.
 
Kura ipi unaiongelea hapa?
 
Waende kujifunza ujenzi,ufugqji,kilimo na ushonaji ili wajiajiri mbona mi sioni shida katika mtizamo huo
 
Ufundi selemala hadi veta?

Mpaka namaliza degree nilikuwa naweza kutengeneza ferniture mbali mbali bila hata kwenda veta
 
Kwa mfano mwenye degree ya Electrical Engineering kutoka pale CoET -UDSM, kwani hawezi kufanya wiring mpaka aende VETA? Labda kauli ya PM ililenga baadhi ya kozi za degree..!
 
Kuwa na Kazi au kukaa bila kuwa na Kazi which is better ???!!

Wanasemaga Eti Something is better than Nothing 😳 !
 
Madai yao wameshushwa hazi.
 
hizi ndizo moja ya akili tulizonazo kama taifa. Kwakweli inasikitisha sana. Embu tujitahidi kuwa tunafikiri kwa kina kabla ya kuropoka.
 
Veta ni kupoteza tu muda kama mtu anataka kujiajiri kupitia ufundi stadi ni bora akaingia kujifunza mtaani veta labda ufuate cheti ili uajiriwe ambapo pia hamna ajira
 
Ila watanzania yawezekana likawa toleo la mwisho wa binadamu
PM hajamlazimisha mtu yeyote ameshauri kama unaona digrii haikusaidii nenda VETA
Sasa yupi bora kati ya kiongozi anayeshauri wenye digrii tujiajiri na anayesema twende veta
 
Ile kauli imenifikirisha Mengi! Na naona inatoa Mwanga kwa wananchi kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wa viongozi wetu kushughulikia changamoto zao.

Mimi naamini kuwaza/ kufikiri kwangu huku nitakaoeleza nimekosea kuwaza, na si sahihi ninavyowaza, kwa hiyo mawazo yangu ya puuzwe kwa namna yoyote Ile!!!

Nilichofikiria kwa muda ni :
1. Ama Waziri Mkuu, as a person na si cheo chake, anakebehi elimu inayotolewa na vyuo vikuu ama hajui umuhimu wa Uwepo wa vyuo vikuu jambo ambalo siamini!

2. Ama serikali Haina mkakati wa wapi wahitimu wa vyuo vikuu wanatakiwa kuwa baada ya kupata shahada zao, mbali na serikali hiyo hiyo kuhimiza udahili wa wanafunzi huko vyuo vikuu.

3. Ama Lengo la serikali kuwepo kwa vyuo vikuu lilishabadilika na Sasa pale ni sehemu ya kutengeneza wadaiwa wa madeni kama chanzo cha mapato! (Mikopo ya Elimu ya juu)!!!

Ninarudia, Mimi naamini kuwaza kwangu huku nimekosea kuwaza, na si sahihi ninavyowaza, kwa hiyo mawazo yangu ya puuzwe kwa namna yoyote Ile!!!
 
Acha mdogo wangu apambane na Mangi shop

Nikikumbuka akaniambia sitaki kusikia kusoma inatosha sasa ni make money

Mm nipo tuu, ndo kwanza namwambia sijala ntumie hafu tatu hapo!

Ghafla imethibitishwa
 

Na wewe una digirii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…