baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
VETA haimaanishi ukaajiriwe viwandani, bali ujiajiri, Fundi gereji, umeme, kutengeneza machine ndogo ndogo, fundi cherehani etc.Shida ni kuwa hata hao wa VETA watakuwa wengi sana, kama hakuna viwqnda twaitegemea China tatizo litaendelea kuwepo
Tatizo ni kwamba wanaosema hivyo wanakinzana na maleongo yao ya kuwa dona kantri.Mkuu hakuna ugomvi kwa Waziri Mkuu Majaliwa wala mleta hoja na wachangiaji.
Majaliwa kaleta UFUNUO wa ajira.
Tusibeze kwa kuwa kuna wakati elimu ya aina fulani haileti chakula mezani.
Barabarani usiku unakuta biashara ya ngono na watu wenye hata degree ya ualimu.
Bahati nzuri siku hizi kupata maarifa sio lazima uende shule au chuo ukalili miaka kadha halafu wakupe cheti,ambacho wakati mwingine utasota hata miaka kadhaa bila ajira.
Jibu la msingi ni kufanya kazi itayokupa mkate regardless of what.
Ni wakati wa kutafakari elimu na mafunzo yatolewayo kama yanaendana ma wakati wa leo.
Hii ndiyo suluhu pekee 🤝Kama Serikali inataka hayo, ipunguze kudahiri Wanafunzi wa Vyuo Vikuu
Mkuu mara nyingi toka tupate uhuru tumedanganywa kwa hila.Tatizo ni kwamba wanaosema hivyo wanakinzana na maleongo yao ya kuwa dona kantri.
Wao waseme hivyo alafu waseme kabisa sera ya nchi ni kuwa wapokeaji wa misaada.
Alafu uliona wapi nchinikaendelea kwa kauli za namna hii bwana. Baadae wazungu wakianza kutunyanyasa tunalalamika wakati tunayataka wenyewe
Tatizo waafrika wanawaza kwa kutumia matako baadala ya akiliMkuu mara nyingi toka tupate uhuru tumedanganywa kwa hila.
Nakumbuka viazi hao wakituambia 1960 tukipata uhuru hadi chooni tutawekewa barabara za rami nchi nzima.
Kumbe ni njia ya kumtoa mkoloni mweupe na kuleta mkoloni mweusi.
Kumbe hao tuliowakabidhi nchi walikuwa hawana basic skills za kuongoza hata kijiji.
Ila kwa sasa hatuwezi kuwalaumu wakoloni weupe kwani tuna zaidi ya miaka 50 ya amani.
Tatizo ni nini?
Aonyeshe mfano yeye na wategemezupi wakeWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.
"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"
Kwamba wahitimu wote wawe mafundi mbona veta Kuna kundi kubwa la wahitimu! Kwamba only solution ni kwend veta au kufungua biasharaHaihitaji kusomea,nimeuza madawa Kam chinga sembuse hiyo kazi lakini ya Kukaa unapata hela bila kulipa Kodi Wala leseni?
Tutasoma huko VETA bure?Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.
"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"
nia ya Mh.Waziri Mkuu ni vijana kujiongeza ili kufikia malengo yao katika maisha, in five years to come hali itakuwa mbaya sana kwa graduate, POVERTY IS THE LACK PRODUCTIVITY, YOU CAN NOT BE PRODUCTIVE IF YOU HAVE NO KNOWLEDGE, WHERE TO FIND KNOWLEDGE ? Ndio huko VETA, BAKITA, SIDOWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.
"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"
Wala hajamchonganisha, you know soko la ajira window ya degree ni ndogo sana, mlango uliopo ni technicians, most of them wakitokea vetaWanajamvi Heshima kwenu,
Kwako qMh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.
Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.
Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli
Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.
Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.
Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.
Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,
walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.
Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.
Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.
Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔
Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.
Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.
Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
Hujasema kitu, hapo wasomi wanatakiwa waamue kwa utashi wao binafsi, sio kutoa general advice, hiyo ni dharau kubwa sana kwa wahitimu wa vyuo vikuu, ni kauli ambayo imetolewa bila tafakuri kubwa!!!Wala hajamchonganisha, you know soko la ajira window ya degree ni ndogo sana, mlango uliopo ni technicians, most of them wakitokea veta
As ajira hata US huku tulipo, vijana wana opt trade skills (technical skills) kuliko degree, na trend imeanza kukua kwa kasi sana.
Ni mfano mdogo but that the reality
Karibu Senior Member!! Umamaliza kufuturuKula machame ,kulala Ikungi
Facts hamna kusagiana kunguniHii ndio CCM ninayoijua mimi. CCM ya kusagiana kunguni.
Kwakuwa PM naye ni mwalimu, kauli yake ipo ndani ya taaluma yake.... naiheshimu, ila nakubaliana naweza kaitoa wakati usio sahihiWanajamvi Heshima kwenu,
Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.
Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.
Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli
Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.
Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.
Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.
Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,
Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.
Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.
Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.
Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔
Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.
Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.
Nandagala One -Mpumalanga South Africa.