kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.
Wanajamvi Heshima kwenu,
Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.
Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.
Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli
Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.
Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.
Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.
Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,
Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.
Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.
Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.
Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔
Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.
Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.
Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
Mzee acha siasa za kipuuzi tupo huku mtaani hali halisi tunaiona huu unao andika ni upuuzi mwingine kama aliosema katelefoni huwezi tatua tatizo la ajira kwa kuongea kirahisi rahisi tu hivi mnavofanyaVETA haimaanishi ukaajiriwe viwandani, bali ujiajiri, Fundi gereji, umeme, kutengeneza machine ndogo ndogo, fundi cherehani etc.
Leo magari Ya umeme yakija kutoka China nani atayatengeneza? Ukienda mjini CBE pale badala kuleta mashuka toka Nje vinakuja Vitambaa mafundi wengi wa Charahani wametoboa pale same kwa kariakoo. SIDO Kuna vimachine vidogo vidogo kibao wanatengeneza, Machine za kukoroga, kupasha moto etc
Wala hajamchonganisha, you know soko la ajira window ya degree ni ndogo sana, mlango uliopo ni technicians, most of them wakitokea veta
As ajira hata US huku tulipo, vijana wana opt trade skills (technical skills) kuliko degree, na trend imeanza kukua kwa kasi sana.
Ni mfano mdogo but that the reality
Wakati wanafnya hivi,Wala hajamchonganisha, you know soko la ajira window ya degree ni ndogo sana, mlango uliopo ni technicians, most of them wakitokea veta
As ajira hata US huku tulipo, vijana wana opt trade skills (technical skills) kuliko degree, na trend imeanza kukua kwa kasi sana.
Ni mfano mdogo but that the reality
Shida tunapenda kuambiwa uongo wenye kufurahisha kuliko ukweli unaoumizaWanajamvi Heshima kwenu,
Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.
Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.
Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli
Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.
Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.
Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.
Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,
Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.
Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.
Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.
Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔
Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.
Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.
Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
Ufanisi wake umewahi zingatia?VETA haimaanishi ukaajiriwe viwandani, bali ujiajiri, Fundi gereji, umeme, kutengeneza machine ndogo ndogo, fundi cherehani etc.
Leo magari Ya umeme yakija kutoka China nani atayatengeneza? Ukienda mjini CBE pale badala kuleta mashuka toka Nje vinakuja Vitambaa mafundi wengi wa Charahani wametoboa pale same kwa kariakoo. SIDO Kuna vimachine vidogo vidogo kibao wanatengeneza, Machine za kukoroga, kupasha moto etc
Umeamua kudonoa kipande!! Think big!! Go extra miles 🤔🤔kumbe ishu ni kwamba vijana wengi ni wapiga kura
🤔🤔
Kwa hali hii si bora watu wakasomee fani tu?Wanajamvi Heshima kwenu,
Kwako Mh Dr Samia Suluhu Hassan Rais wetu mpendwa.
Nakuandikia kwa heshima na taadhima kuhusu kauli tata, aliyoitoa waziri Mkuu Majaliwa huko Tabora, kuwataka vijana wasomi wa vyuo vikuu kujiunga na vyuo vya VETA Kusomea ufundi wa fani mbalimbali.
Kwa upeo wangu wa kutafakari mambo naona Waziri Mkuu amevuka mstari,kwa kauli aliyoitoa.
Ni kauli
Mosi ya kudharau kada mbalimbali zilizosomewa na vijana chuo KIKUU mpaka kuwataka waziache.
Kada kama uhasibu, uhandisi ,Udaktari, Ujiolojia,ualimu, Procurement kuzitaja chache.
Watu hao juu wametumia muda mwingi,pesa kusoma kidato Cha kwanza mpaka Cha sita, Kisha miaka mitatu mpka minne chuo KIKUU.
Hili ni group kubwa la wanazuoni ambao wapo mtaani hawana ajira,walipokuwa wanasoma walikuwa na malengo yao,
Walijua kabisa VETA zipo, ukweli kuhusu VETA ni kada ya kati ya kawaida iliyokuwa na malengo ya kutoa skills study kwa ajili ya kujiajiri, kwa namna ya pekee watu ambao waliishia darasa la saba zamani, lakini sasa kidato Cha nne, ambao hawakuweza kuendelea na masomo ya juu ili wajiajiri.
Mh Rais mashaka yangu ni kuwa Kuna ombwe kubwa la ajira nchini, safari hii wapiga kura wengi nchini ni vijana, ambao hawana ajira.
Kwa Nini kauli kama hii inatoka kuelekea uchaguzi mkuu?? sio nzuri, itachochea chuki kwa vijana wasio na ajira ambao Bado wana matumaini na serikali Yako.
Kwa namna ilivyo vijana hao wamekuwa underrated, hadhi ya degree za vyuo vikuu ni bure, haina maana, mpaka leo hii vijana hao washauriwe kusomea ufundi🤔🤔🤔
Mwisho Mwishoni natamani Waziri Mkuu ajitafakari, na Mama kama mkuu wa nchi utafakari hii kauli tata, ambayo kwangu mimi kama mtanzania inatosha kwa Waziri Mkuu kukaaa pembeni baada ya Bunge kuvunjwa.
Ni imani yangu ujumbe huu utafika mezani kwako, kwa wewe mwenyewe kusoma, au kupitia wasaidizi wako.
Nandagala One -Mpumalanga South Africa.
Unasemaje?? Hapo ndo unamharibia zaidi!!🤔🤔🤔Sammia hana ubavu wa kumfanya chochote mzee wa piko
Bila vitendeakazi na uwekezaji mkubwa kwenye miundombinu na blablaEngineer Noel K. Ngowi anasisitiza sana kuwa teknolojia ni sanaa, na yaani watu afrika waweze kutafsiri vitu nadharia katika uhasilia kutapowezesha wawepo wajasiriamali teknolojia watakaopelekea uzalishaji
Wajasiriamali ni watu wathubutu wanaoweza kutengeneza vitu halisi kupitia ubunifu katika teknolojia. Watu wanasoma sana nadharia huku wakikusanya vyeti lakini ukiwaambia wawe wajasiriamali teknolojia kama Bill Gates na rafiki yake Allen ni mfano wa wajasiriamali teknolojia na Afrika inahitaji aina ya watu kama kina Bill Gates wavumbuzi wa sanaa ya kuunda vitu halisi na kupelekea uanzishwaji kampuni, viwanda vidogo na vikubwa kuunda vitu halisi na kutoa ajira kwa wengi kupitia uthubutu wa aina ya wajasiriamali teknilojia .