Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Kwa mfano mwenye degree ya Electrical Engineering kutoka pale CoET -UDSM, kwani hawezi kufanya wiring mpaka aende VETA? Labda kauli ya PM ililenga baadhi ya kozi za degree..!
mindset ya degree holders wengi ni kuajiriwa, hapo anawaza aajiriwe awe injinia wa serikali

Tuishi katika uhalisia, mazingira ya kazi kuna wafanyakazi wengi waliongia muda mrefu ambao pengine wana elimu ndogo kuliko huyo injinia, tatizo linakuja wengi walio makazini wanaogopa kuwapa nafasi wenye elimu ya juu wakiona huenda nafasi zao zitapotea (si wote wanawaza hivi), hii hupelekea kuweka kauzibe, so huyu injia anauwezo mzuri lakini anasota kupata nafasi kwasababu ndogo kama hizi.

Ukiona unakwama tumia njia nyinginezo kufika hapo unapotaka, ukiona karatasi ya degree inazuia, tumia karatasi ya veta kufika hapo, na ndio hoja yangu ilipo, suala hapa ni kujenga profile, ni bahati tu ndio itakuingiza kazini ikiwa huna profile (direct from school), vinginevyo kujishusha ni muhimu.

Ingia veta soma kozi ya umeme, rudi kwenye kuomba ajira, hatoogopa kukupa nafasi kwakuwa ataamini huna elimu ya kumtoa, as a time goes on unajenga profile ambayo ukija ambatanisha na hiyo degree yako hakuna wa kukuzuia tena. Mwajiri anataka ujuzi.

Degree holders acheni kukariri na majivuni ya elimu, yanawafelisha, acheni mambo "nimesota sana kuipata hii degree" be intelligent.

Ipuuzieni kauli ya Majaliwa muendelee kusota kitaa.
 
Ninafuatilia vyema. Haya nipe mfano kutoka katika nchi za ulaya maana hizi nchi za kiafrika zinafanana.
Joseph stalin pia 1953, chama kilizuia kutangaza kabisa kifo chake mpaka wamalize mchakato wa mrithi,
Saparmurat niyazov wa turkmenistan nae alipiti mchakato huo 2006, hii habari ipo kwenye kitabu cha history kile complimentary cha form 3.
Francisco franco wa spain 1975, ambapo madaraka alikaimu mfalme juan carlos I.
Constantine cherneko, yuri andropov, Leornid brezhev wa urusi soviet union hawa tena vifo vyao vilipishana mwaka mmoja hadi miwili, walikua kama wanauliwa hawa. I guess kuna mmoja ilikua 1982, akafata mteuliwa wake 1984, aliyefata kawa 1985, walifatana. Walikua wacommunist nadhani waliuliwa.
 
Inamaanisha Tanzania haijafikia kiwango cha kuhudumiwa na watu wenye Degree?

Inahitaji watu wa VETA tu?
Tupo kwenye kiwango hicho, lakini jiulize tuna capacity gani ya kuajiri degree holders wengi kuliko wa level ya chini? Hali ya kuwa mengi wa watoa huduma wapo kwenye kulenga kupata faida kuliko kutoa huduma.

Hii inawafanya wafocus sana kwenye kutafuta wafanyakazi wenye level ya chini ya elimu kwakuwa wanaona wanaweza kuwamudu linapokuja suala la malipo na kuwasimamia. Mfano nenda sekta ya travel and tourism utaliona hili.

VETA imekuwa kama general term, lakini naamini kwenye mawazo yake alikuwa akimaanisha watu (degree holders) watafute ujuzi wa chini kufika wanapotaka. Hasa katika kujiajiri.
 
We mpumbavu Sana na hauna akili kuna uhakika wa ajira baada ya kutoka VETA ?.
we ndio mpumbavu pro max, wapi uliona mhitimu wa VETA anakosa ajira? yaani we ni fundi halafu ukose kazi? labda uwe una matatizo ya akili. Una simu angalia tik tok uone wachina wanavyoonesha ufundi wao
 
Kuna ubaya gani ukiwa mwanasheria pia unajua kuhusu umeme wa magari.
Humphrey Pole pole Balozi wetu Kule Cuba na aliyekuwa mwenezi wa ccm ni fundi mechanic! Anafungua engine za magari bila wasiwasi.

Enzi hizo tukifanya kazi Bot tulikuwa na Governor ambae gari zake binafsi alikuwa hapeleki garage, alikuwa anatengeneza mwenyewe!
 
Habari!
Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.
Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.
Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?
Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.

NJE YA MADA
Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.
Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
Acha ujinga wewe yupo sahihi sana
 
Habari!
Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.
Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.
Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?
Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.

NJE YA MADA
Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.
Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
Mkuu kauli yake haina makosa yeyote nina toast mfano wangu miki kipindi cha miaka 95 hadi 2000 hakukuwa na ajira nilipo hitimu chuo sikupata ajira na nilichosomea haikuwaez3kama kuajirika na taasisi binafsi nikaamua kwenda VETA nikachukua fani ya usanifu majengo na Ujenzi. Nikafanya kazi binafsi mwisho wa suku nikaajiwa lakini nina Ofisi yangu binafsi na inafanya vema kabisa.

TUTUKEKWENYE BOX LA KUONA MWENYE DIGRII YA MAKENIKA HAWEZI SONGA UGALI KATIKA MGAHAWA WAKE
Si VVIBAYAMWENYE DIGRII YA INTERNATIONAL RELATIONSHIP KUSOMEA CHETI CHA UFUNDI BOMBA HALAFU UKAFUNGUA KAMBU YAKO NA UKAENDESHA SHUGHULI ZAO.
 
Hata mafundi kutoka VETA wanaoajiriwa karibu wote lazima mwaka wa kwanza waishi kama wanafunzi, wanakuwa hawajui chochote.
70% au zaidi ya taasisi ninayofanyia kazi ni mafundi na wahandisi. Mafundi wengi ni zao la VETA, wakija kazini wanaanza from the scratch hawajui lolote.
Ndio maana huwa namwona fala mtu anayedhani product za veta zina skills na ujuzi kuliko product za vyuo vikuu , hao madogo ni viazi zero brain ,Hamna kitu .
Zero ,kwa mtu ambaye hajafanya kazi za Engineering au Vocational trade hawezi elewa hili , bora wewe una uhalisia wa jinsi mambo yalivyo
 
Huyo eti waziri mkuu akijbu swali la suluhisho la ajira kwa vijana kwny taifa lake, ndo maana linapaka mapiko ili lionekane halina mvi za uzee, ili tuende veta na dgree au masters tunataka tuwaone watoto wa majaliwa, samia, pinda, tulia, nk wakiwa veta.
 
Ndio maana huwa namwona fala mtu anayedhani product za veta zina skills na ujuzi kuliko product za vyuo vikuu , hao madogo ni viazi zero brain ,Hamna kitu .
Zero ,kwa mtu ambaye hajafanya kazi za Engineering au Vocational trade hawezi elewa hili , bora wewe una uhalisia wa jinsi mambo yalivyo
Mkuu hoja hapa sio kwamba utoke Engineering ukasome VETA hoja ya waziri mkuu ni watu kuwa ujuzi vitu vidogo vidogo vya kufanya huku wakisubiri ajira.Engineer anaweza ongeza ujuzi wa viwnda vya nguo,utengenezaji wa vifaa vya umeme au kilimo.Wazo la waziri mkuu lichukuliwe positively litatusaidia sana
 
Shida yenu mnamawazo hasi kila wakati, yalichanganywa na chuki za kisiasa, ndio maana kila kauli ya kiongozi mnaona ni sumu na haifai, badala ya kupinga hiyo kauli, mngeleta hoja za maana kuonyesha kuwa hiyo kauli haifai.

Na juha wote kazi yao ni moja, kujiona yeye bora na anachoongea kina maana kuliko mwengine, kisha akaanza kukebehi kauli ya mwengine, kama ulivyoona wewe kuwa mimi naropoka... Jenga hoja na sio kukebehi
Huna akili kama mjinga mwenzenu huyo kiazi Kasimu
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.

"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA ile sio tu ya kijana wa darasa la 7 hata wewe uliyemaliza Degree uwe mtaalamu wa Kompyuta nenda kajifunze kushona nguo, uwe fundi cherehani, nenda kajifunze ufundi umeme uwe fundi umeme kwahiyo hata mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kwenda kusoma VETA kwasababu pale unasemea ufundi"



My Take
Broilers wote mumepewa Mchongo,hamtaki acheni.

View: https://x.com/Jambotv_/status/1900251280368439576?t=1ETPaGpqQEPSYA7o4mkSJA&s=19

Huyu jamaa aliwahi kutushupalia kuwa Magufuli hajafa bali yupo anapiga kazi kama kawa😂
 
Habari!
Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.
Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.
Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?
Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.

NJE YA MADA
Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.
Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.
waziri yuko sahihi nendeni veta mkiambiwa ccm ni janga la taifa hamuelewi
 
Humphrey Pole pole Balozi wetu Kule Cuba na aliyekuwa mwenezi wa ccm ni fundi mechanic! Anafungua engine za magari bila wasiwasi.

Enzi hizo tukifanya kazi Bot tulikuwa na Governor ambae gari zake binafsi alikuwa hapeleki garage, alikuwa anatengeneza mwenyewe!
Ndio maana tunawambia vijana watoke magetoni(comfort zone),ukiwa mwalimu mwenye degree halafu ukajifunza kupamba maharusi,kumbi ,kutengeneza cake ,kukodisha tent,viti .Mtu akikwambia ualimu haulipi utamshangaa maana kipato chako hakitegemei mshahara .
 
Mbona ni kauli yenye kujenga, sema watu kutaka makubwa, na ni kwakuwa hiki ni kipindi cha uchaguzi basi kila kauli itajadiliwa... Simple kama unaoana umesoma na bado degree haijaweza kukutoa ulipo...

Piga kozi za veta kuna mawili aidha ujiajiri ama uajiriwe kwa level ya chini... Sababu huku level ya chini possibility ya kupata ajira ni kubwa kuliko level ya juu

We unahisi ukisoma kozi ya ufundi umeme, huwezi pata hata kazi ya kupiga wiring kwenye majengo?

au kozi ya kuchomelea, huwezi pata fursa ya kutengeneza mageti?
Acha upuzi m.fuvck wewe.... Wewe unaweza ukaharibu miaka yako 9 kutafuta degree afu ukaja kwenda kusoma veta inayohitaji darasa la 7?. Punguzeni ujinga kumamayo zako
 
Ndio maana tunawambia vijana watoke magetoni(comfort zone),ukiwa mwalimu mwenye degree halafu ukajifunza kupamba maharusi,kumbi ,kutengeneza cake ,kukodisha tent,viti .Mtu akikwambia ualimu haulipi utamshangaa maana kipato chako hakitegemei mshahara .
Wewe Kati ya hivyo unafanya kipi? Mpo busy kutoa theories za kichoko wakati wewe huna unachofanya Kati hicho.
 
Habari!

Elimu ya VETA tunaweza kuiita elimu ya kati. Wakufuzi wake ni wahitimu wa elimu za juu. Wapo pia wakufuzi wenye elimu ya kati, nawafahamu.

Bahati mbaya kauli ya Majaliwa haijawataja hao wenye degree anataka waenda VETA ni degree za fani gani, na je, nini hatma ya elimu yao ya degree.

Huko VETA wakasome kozi za mda gani? Kwa lengo gani? Nani atagharamia ada na mahitaji mengine na nini hatma ya elimu yao ya VETA ikiwa hatma ya degree zao haijapatikana?

Mh. Samia usiogope gharama ya kuvunja bunge kwa kumtimua huyo Mh. Majaliwa.
Majaliwa ni jirani yangu huko Lindi ila kwenye mambo ya kitaifa Mimi sina jirani. Timua kabisa ili kuwepo na funzo kwa viongozi wengine waache kuongea kwa misisimko.

NJE YA MADA

Kama kuna mtoto wa Kiongozi mteule wa Rais anasoma VETA mje mnipige ngumi 4 za puani niko hapa TAZARA Dar es salaam nawasubiri.

Achana na watoto wa vichochoroni, nazungumzia mtoto aliyekulia nyumba za bure za viongozi.

Sidhani kama kuna haja ya mtu aliyesomea Electrical engineering, mechanical engineering, biomedical engineering, automotives engineering, automation engineering e.t.c kwenda Veta maana yanayofundishwa huko ni part ya aliyoyasomea .

Mpaka hapo nafhani uneshapata jibu au sio mkuu 😃
 
Back
Top Bottom