Utakuwa unasali kwa Zumaridi weweVita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi
Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita
Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake
Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
Hujui Biblia weweHuyo Mungu ndiye kakutuma utukane watu hovyo hivyo?
Atakuwa mungu how hirizi wa viunoni au kwapani huyo ila si Muumba mbingu na nchi [emoji38]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Endelea kukaza fuvu na ujuaji wako mwingi wa Biblia huku ukiendekeza mahaba nnje ya Biblia [emoji1787]Hujui Biblia wewe
Yesu alinwita Herode Mbweha
Mimi kumwita Putin Mbwa sio kitu kikubwa
narudia Putin mbwa mkubwa
Luka 13:32 BHN
Yesu akawajibu, βNendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: βLeo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu.β
BHN: Biblia Habari Njema
wapi Yesu alisema yeye ni myahudi? Na walio muua Yesu hawakua wayahudi? Yusufu zama za Herode alikimbilia Misri, alikimbia nan kama sio mayahudi?Putin sio myahudi yeye mwenyewe alikana
Kama Taifa kubwa Duniani lenye nguvu kubwa kupita yote au hutaki??[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Marekani abariki kama nani?
Wayahudi hawakumuua YesuNa walio muua Yesu hawakua wayahudi?
Wayahudi hawakumuua Yesu
Waliomuua Yesu ni Askari wa kirumi sio wayahudi
Hata hukumu yake aliyemuru auawe ni jaji wa kirumi anayeitwa Ponsio Pilato
Viongozi wa wayahudi walikua warumi? makuhani walikua warumi?6 Wale makuhani wakuu na viongozi wa Wayahudi walipomwona wakapiga kelele, βMsulubishe! Msulubishe!β Pilato akawajibu, βMchukueni mumsulubishe ninyi, kwa sababu mimi sioni kosa alilo tenda.β 7 Wao wakamjibu, βSisi tunayo sheria ambayo inamhukumu kifo kwa sababu yeye anajiita Mwana wa Mungu.β 8 Pilato aliposi kia haya aliingiwa na hofu. 9 Akaingia ukumbini tena akamwuliza Yesu, βWewe unatoka wapi?β Lakini Yesu hakumjibu. 10 Pilato akamwambia, βKwa nini hunijibu? Hujui ya kuwa nina mamlaka ya kukuachilia huru au kukusulubisha?β 11 Ndipo Yesu akamwambia, βWewe hungekuwa na mamlaka ye yote juu yangu kama Mungu hakukupa mamlaka hayo; kwa hiyo mtu aliyenishtaki kwako ana dhambi kubwa zaidi.β 12 Tangu wakati huo Pilato akaanza kutafuta njia ya kumfungua Yesu, lakini Wayahudi wakazidi kupiga kelele wakasema, βUkimwachilia huyu mtu, wewe si rafiki wa Kaisari. Mtu ye yote anayejifanya kuwa mfalme anampinga Kaisari.β 13 Pilato aliposi kia maneno haya alimtoa Yesu nje tena akaketi katika kiti chake cha kuhukumia, mahali palipoitwa Sakafu ya Jiwe - kwa Kiebrania paliitwa Gabatha.
Hao wakipiga kelele tu asulubiwe asubiwe ila hawakumuua Waliomuua ni Askari wa kirumi wakamtundika msalabani na wakamchoma mkuki.Viongozi wa wayahudi walikua warumi? makuhani walikua warumi?
Hata wewe hujui Biblia, unatuzuga tuHujui Biblia wewe
Yesu alinwita Herode Mbweha
Mimi kumwita Putin Mbwa sio kitu kikubwa
narudia Putin mbwa mkubwa
Luka 13:32 BHN
Yesu akawajibu, βNendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: βLeo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu.β
BHN: Biblia Habari Njema
Sasa ni maana ya kupiga kelele asulubiwe? Na kwanini Yusufu aliwaogopa Wayahudi alipotaka kuuchukua mwili wa Yesu?Hao wakipiga kelele tu asulubiwe asubiwe ila hawakumuua Waliomuua ni Askari wa kirumi wakamtundika msalabani na wakamchoma mkuki.
Hakuna myahudi aliua Yesu mikelele walipiga lakini hukumu ya kuuawa Yesu aliitoa jaji.Mrumi Ponsio Pilato akamkadhi kwa Askari warumi wenzie wamwuue Yesu .Warumi ndio walimuua Yesu
Yesu aliuawa na warumi sio wayahudi
Ndo muhubiri wa kanisa lenu aliwaambia muwaombee Ukraine?Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi
Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita
Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake
Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin
π€£π€£π€£π€£
Embu toka kwenye huu uziπ€£π€£π€£π€£
Juzi nilikatiza pale makao yetu makuu yalipo .
ππππππEmbu toka kwenye huu uzi
Hukawii kuharibu jambo kama ndugu yako Yehodaya
Huyu naye harusini nisimuone π€£π€£ππππππ
Kuna siku Mbowe alivyotoka amesema Mbowe ndio ajifunze sasa kuttorudia kufanya ugaidi
na hitler alipigwa na urusiMwambieni huyo Goliath Putin kuwa kinaenda mkuta kilichomkuta Farao na Jeshi lake walipowafuatilia wayahudi wawaue,pia kitamkuta kilichomkuta Haman kwenye Biblia aliyetaka Kuua wayahudi wote ,pia kitamkuta kilichomkuta Hitler aliyetaka kumaliza wayahudi
Goliath Putin na Jeshi Lenu jiandaeni kushindwa kwa Jina la Yesu.Mtaanguka Anguko kuu
Kwani Wayahudi ni nani? Siyo binadamu kama sisi wengine? Punguzeni kuwa Watumwa wa Wazungu.Hayakuhusu myahudi ukimgusa jiandae kukiona cha mtema kuni .Wayahudi wengi sio wakristo ila kaa nao mbali ukiwagusa utashangaa
Goliathi Putin anashambulia wayahudi chini ya Raisi wao Myahudi atajisaidia haja kubwa Kremlin nje ya choo cha ofisi yake shenzi type
Mwambieni awaogope wayahudi kama ukoma mbwa mkubwa
Pale Wayahudi wa Buza waliotekwa kiakili kuitetea Israel kwa kudhanu Israel kuna Christians sana kuliko ata Tanzania!Vita ya Ukraine na Urusi ni kati ya wayahudi wa Ukraine na wasio wayahudi
Myahud Daudi Zelensnkyy Raisi wa Ukraine lazima utamshinda Goliathi Putin Raisi wa Urusi kwenye hii vita
Mungu ataonyesha muujiza utakaoiacha dunia hoi kwa kipigo atakachopata Goliathi Putin na Jeshi lake
Goliath Putin unakwenda kuanguka na jeshi lake kwa Jina la Yesu.
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo aliyewapigania wayahudi karne nyingi awashindie dhidi ya huyo Goliath Putin