Hoja zako unazitetea lakini kiuhalisia hazitetewei.
Ugaidi ni vikundi vya kiislam vinavyofadhiriwa na mataifa ya kiislam kama iran,unataka kusema kwamba waislamu wanapewa fedha na wazungu ili wauchaue uislamu??
Mihemuko na fujo ndio uislamu wenyewe hata hapa tz tumeona mengi,waislamu wazenji waliandamana kupinga ujenzi wa kanisa je huu kwako unauita ni nini?
Ukandamizaji wa jinsia ya kike huu uko wazi,mwaka jana binti wa kiikurdi aliuliwa na polisi wa iran kwa sababu ya kutokuvaa hijabu au umesahau,pia juzi afgn wamepiga marufuku mabint kusoma mpaka chu kikuu pia ni marufuku wanawake kwenda saloon.
Uislamu ni dini ya hovyo kuwahi kutokea duniani.