Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson kutangaza kujiuzulu mchana huu

Richard
Toka Tony Blair aresign siasa za UK zimebadilika sana na Boris miaka ya karibuni ndio amechochea kuni. Kuna makundi hasa Tory.

-Tony Blair aliondolewa na Gordon Brown.
-Gordon Brown akaondolewa kwenye Kura baada ya kipindi kifupi.
- Cameron akaondolewa na referendum ya Brexit iliyochangiwa na Boris.
-Theresa akaondolewa na Brexit na Boris
-Boris naye kaondolewa


Sasa hivi Conservative wanaitaji mtu ambaye hayupo kwenye makundi kupokea kijiti. La sivyo watamchomoa tena.
Afadhali Labour lakini bado awajapa mtu anayekubalika kwa wananchi
 
Uholanzi wameanza kuandamana kwa matrekta
 
embu ficha ujinga wako bana .

Au ni Leo baada ya hili ukaona nawee ujaribu kufatilia upate A,B,C ,D ?. Sasa tayari unazijua Siasa za Huko .
Shida humu unaona kila mtu ni kama wewe, tunagawa muda kujifunza na kufatilia vitu mbalimbali. Ila mimi ningependa Priti Patel ndio awe next PM ngona tuone
 
Jamaa kakomaa imeshindikana,ila wenzetu wako mbali sana kwenye masuala ya uongozi na uwajibikaji.

Huku kwetu PM anadanganya kila siku bila hata aibu
 
.... hiyo ndio tofauti ya democratic leadership's as compared to dictatorships ambapo maamuzi yote huwa ya sadist mmoja anayehisi ni mungu wa taifa.
Tulia dawa ikuingie vizuri, nadhani hamumjui Russia Federation nyinyi watoto wajuzi, lile ni taifa lililojaaliwa kila kitu, mlikua mkimezeshwa matango pori kuwa Marekani ndio anategemewa, sasa huko Ulaya wanalia na kusaga meno, Picha inajionyesha wazi nani Super Power kmmke, huu ni mwanzo tu
 
Shida humu unaona kila mtu ni kama wewe, tunagawa muda kujifunza na kufatilia vitu mbalimbali. Ila mimi ningependa Priti Patel ndio awe next PM ngona tuone

Priti ana kashfa nyingi hawezi kuwa PM
Basi arudi Theresa May
 
Acha apumzike tu aje mwingine. Pole zao, interval ndogo tu uchaguzi, hongera kwa ukomavu wa Demokrasia.
 
Atajiuzulu kwenye chama chake lakini atabaki kuwa Waziri Mkuu wa nchi
 
Wewe ndiye unatakiwa ujiongeze/toka hicho chumba cha giza uone nje. Hivi unafikiri kuna System ya nchi yoyote ya NATO itakubali kuitangazia Dunia kuwa Shida zao za ndani zimesababishwa na vita ya Ukraine.
Unataka watangaze ili Dunia iwadharau na Putin apate Credit.

Unajua ni kwanini juzi hapa Russia alisema ikitokea WW3 target yake ya kwanza ni Uingereza, jiulize kwanini hakuitaja Ufaransa au Ujerumani.

Boris amekuwa ndiye kiherehere mkubwa kutoa kauli dhidi ya Russia tena zisizohusiana na Matamko ya NATO, Amekuwa akitoa vitisho kama Uingereza na sio NATO, HALI HII IMESABABISHA RUSSIA imuone kama ni adui namba 1 kwake ktk Ulaya. kiusalama, Approach ya Johnson kwa Russia inaweza kuleta shida .

Kinachoendelea Uingereza ni Usanii tu kuihadaa dunia kuwa shinikizo la kujiuzulu ni kwa sababu ya Maadili/Ethics .
 
Sasa sa100 anangoja nini kujiuzulu
 
... umaenza kushabikia mataifa ya kikafiri nowadays?
 
Bongo tukifikia kuwa kama hawa jamaa,tutakuwa mbali sana

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Umasikini ndio unaosababisha sisi Bongo tusifike huko. Tena hapa simzungumzii level ya PM nk. Nazungumzia levels za mawaziri, wabunge kushuka chini ambapo wengi kupata nafasi hizo wanasema EHUUUUU! Mungu kaniona niondokane na umasikini huu.
Ndio maana hawawezi kukosoa lolote linalogusa mamlaka. Kwasababu akijiuzulu au kufukuzwa anafikiria ataishije.

UNAFIKIRI NI KWANINI KINA MDEE WANANG'ANG'ANA NA UBUNGE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…