Jewish comminity ina lobbying Power ya nguvu sana UK. Ingekuwa mwingime hiyo kashfa tu angeachia ngazi, si unaona Boris ni kashfa tu. Lakini ngoja tuonePriti ana kashfa nyingi hawezi kuwa PM
Basi arudi Theresa May
Tupoo saivi tunaelekea Moscow na magari vita tunaenda mngโoa putin pale kremlin ๐Nato weusi mpo??[emoji16][emoji16]View attachment 2283387
Bye bye Borris..Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ameamua kujiuzulu nafasi hiyo baada kupata shinikizo kubwa kutoka kwa mawaziri wake na wabunge wa chama chake
Bwana Johnson kutangaza uamuzi wake huo muda sio mrefu kutoka sasa
Chanzo: BBC
Wewe ndio mgeni kabisa wa siasa za Duniani, hivi wewe unadhani Boris ni mawazo na mipango yake binafsi kupamba na Urusi?Wewe ndiye unatakiwa ujiongeze/toka hicho chumba cha giza uone nje. Hivi unafikiri kuna System ya nchi yoyote ya NATO itakubali kuitangazia Dunia kuwa Shida zao za ndani zimesababishwa na vita ya Ukraine.
Unataka watangaze ili Dunia iwadharau na Putin apate Credit.
Unajua ni kwanini juzi hapa Russia alisema ikitokea WW3 target yake ya kwanza ni Uingereza, jiulize kwanini hakuitaja Ufaransa au Ujerumani.
Boris amekuwa ndiye kiherehere mkubwa kutoa kauli dhidi ya Russia tena zisizohusiana na Matamko ya NATO, Amekuwa akitoa vitisho kama Uingereza na sio NATO, HALI HII IMESABABISHA RUSSIA imuone kama ni adui namba 1 kwake ktk Ulaya. kiusalama, Approach ya Johnson kwa Russia inaweza kuleta shida .
Kinachoendelea Uingereza ni Usanii tu kuihadaa dunia kuwa shinikizo la kujiuzulu ni kwa sababu ya Maadili/Ethics .
Kwamba Putin ndio sababu ya PM kujiuzulu ?...si kweliHuu ni ushindi kwa kidume Putin
Ndo hivyo naisha Maisha Yao ni magumu Kwa sababu ya sanctions walizowawekea warusi.kiongozi Bora hawezi kujiuzulu Kwa sababu za kitoto.Kwamba Putin ndio sababu ya PM kujiuzulu ?...si kweli
... kwa hiyo nnajisifu Russia imeangusha serikali au sio? Na mnaenda kuangusha kigogo kingine Marekani? Issue ya kujuuzulu Boris haina uhusiani wowote na mzozo wa Ukraine; hiyo ndio fact.Russia effects si mlisema Putin anatangulia?Sasa mbona nyie mnatangulia huu ni mwanzo Tu huko marekani Hali Pia ni mbaya
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Jewish comminity ina lobbying Power ya nguvu sana UK. Ingekuwa mwingime hiyo kashfa tu angeachia ngazi, si unaona Boris ni kashfa tu. Lakini ngoja tuone
Jewish comminity ina lobbying Power ya nguvu sana UK. Ingekuwa mwingime hiyo kashfa tu angeachia ngazi, si unaona Boris ni kashfa tu. Lakini ngoja tuone
We nato mweusi unateseka Sana .... Putin shikilia apo apoBoris amedanganya kuhusu Pincher na aligoma mwanzo kuachia
Ninavyoelewa nguvu ya lobbying inatokana na nguvu ya kiuchumi. Yes hata London yenyewe jewish community kubwa lakini Mayor ni Muslim na aliungwa mkono jewish comminity na kama sikosei alimshinda mwenye Jew.Sio kihivyo Mkuu
Angalia post za hapa mpaka mayor mpakistan, Priti Patel muhindi
Hiyo ilikuwa zamani
Jews wana nguvu kwenye biashara zaidi not politics anymore
Mzee Putin amekunja nne hivi Sasa akiwa check Kwa mbali huku akiishusha vodka ya kutengenezwa nyumbani Urusi๐๐๐๐๐Huu ni ushindi kwa kidume Putin
Kichwa chini miguu juu,malipo ya kumponda putin akiwa kifua wazi kule Saiberia๐๐๐BoJo mijuu guu
Nalog off Z
Nina wasiwasi BoJo asije akapindua meza kama Lipumba akakataa kuwa hajajiuzulu uwaziri mkuu hahahahahaKichwa chini miguu juu,malipo ya kumponda putin akiwa kifua wazi kule Saiberia๐๐๐