Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak naye aishia kutua Tel Aviv. Awatakia ushindi Israel

Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak naye aishia kutua Tel Aviv. Awatakia ushindi Israel

watu wanafikiri ushindi utakwenda kwa Israel na Marekani na Uk ili baada ya hapo wapate kibri zaidi za kufanya kufru.
Huu ni mtihani mdogo tu kwa mataifa ya kiislamu ambapo kushindwa kwao kuonesha umoja wa kweli na Palestina wala hakutapelekea Allah s.w kuwapa ushindi wanyonge wanaoonewa kwa namna azijuwazo mwenyewe.Silaha kama makombora na nyuklia ni vitu vidogo sana kwake na ameviumba kama mtihani kwa wanadamu
Vita ni vita haina huruma so msitie huruma mmelianzisha
 
Tunaomba Hamasi waachie mateka hao ili kuepusha umwagaji damu pale Palestine, nchi za kiarabu ndo maana mnakosa sapoti ya nchi za Magharibi, huwezi kutetea eti Palestine wanaonewa na wakati Hamas ameshikilia mateka, na ndo ameanza mashambulizi. Israel hawezi kutishwa na ujanja ujanja na propaganda, anajua akiwachekea hamasi na kuogopa ndo mwanzo wa kuangamia Kwa wayahudi pale Israel, kesho tena watashambulia na kwenda kujificha kwenye hospital, shule, makanisa na misikiti, akishambulia tu lawama.
Joined October 10
 
Huku ikielezwa umebaki muda mfupi jeshi la Israel lianze kujingia Gaza kupigana mitaani na wapalestina,waziri mkuu wa Uiengereza naye ametua uwanja wa Ben Gurion kuonana na waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.

Hiyo ni siku moja tu tangu kumalizika kwa aibu kwa ziara ya rais wa Marekani, Joe Biden ambaye nchi za kiarabu zilikataa kuonana naye.

Katika mazungumzo ya Sunak na Netanyahu, waziri mkuu huyo wa UK aliwaambia Israel kuwa amekwenda ili kuwaonesha kuwa Uiengereza iko pamoja nao na kwamba anawatakia ushindi katika vita vyao.

UK stands with Israel after ‘horrific act of terrorism’, says Sunak

View attachment 2786401
Kambi mbili kubwa za kijeshi kuanzishwa Ghaza, Jeshi la Marekani na Jeshi lenye nguvu zaidi la uingereza. Lengo ni kuhakikisha Ghaza iko salama na amani wakati wote.
 
Jana Kuna Profesa wa USA amesema Israel itashinda Vita Ila itapoteza eneo la Gaza,huyu sio Muislamu Ni kafir wa kutupwa.

Lakini Maandiko ya Allah anasema hakitasimama kiama mpaka Muislamu amuue myahudi,weka akilini kwamba Myahudi lazima atapoteza tu kwa mpalestina hata Kama sio leo.
Hayo maandiko ya wap?
 
Myahudi gani mwenye uwezo huo kijana wa hovyo?

Hao jamaa zenu walipendwa Sana na Allah na akawapa upendeleo zaidi kuliko watu wengine lakini hakutaka kushukuru neema walizopewa na Allah,Nabii Mussa aliwaokoa kutoka kwa farao hiyo Ni neema ya Allah kuwatoa kwenye mateso Makali.

Allah aliwashushia chakula moja kwa moja kutoka mbinguni lakini walikufuru wakaanza kukidharau na kukashifu wakaomba mateso walime wenyewe.

Baada ya kuamini Mussa akawaacha na haruni...wakatengeneza sanamu na Ndama wakaanza kumuabudu.

Hawa jamaa ndio watu walioshushiwa mitume wengi kuwaonya Tabia zao mbovu lakini hawakubadilika Mwisho wake Allah akawalaani mpaka leo.

Jiulize Kama sio laana Ni Nini....Israel inavyosifika kwa Mambo ya Teknolojia,kilimo,afya,ujenzi n.k kwa Nini Ni Taifa ambalo huwezi kusikia linavuma midomoni mwa watu Kama lipo?
Hawana umaarufu wa kuzungumzwa hata Kama wanayo Mambo makubwa wanayo yafanya.....laana imewafifiza Kama vile hawapo.

Waarabu wa Palestina wana umaarufu gani duniani?
 
Huku ikielezwa umebaki muda mfupi jeshi la Israel lianze kujingia Gaza kupigana mitaani na wapalestina,waziri mkuu wa Uiengereza naye ametua uwanja wa Ben Gurion kuonana na waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.

Hiyo ni siku moja tu tangu kumalizika kwa aibu kwa ziara ya rais wa Marekani, Joe Biden ambaye nchi za kiarabu zilikataa kuonana naye.

Katika mazungumzo ya Sunak na Netanyahu, waziri mkuu huyo wa UK aliwaambia Israel kuwa amekwenda ili kuwaonesha kuwa Uiengereza iko pamoja nao na kwamba anawatakia ushindi katika vita vyao.

UK stands with Israel after ‘horrific act of terrorism’, says Sunak

View attachment 2786401
Kama huyo ni mkiristo halafu mmagharibi sishangai. Walidhani uislam duniani utaondoka lkn ndio kwanza unaimarika
 
Vita gani ya kushambulia watoa huduma za afya,waandishi wa habari na watoto acheni ukafiri.
kama hawapigwi hamas na wanapigwa watoa huduma , bas wajibu huko walipo
 
Jana Kuna Profesa wa USA amesema Israel itashinda Vita Ila itapoteza eneo la Gaza,huyu sio Muislamu Ni kafir wa kutupwa.

Lakini Maandiko ya Allah anasema hakitasimama kiama mpaka Muislamu amuue myahudi,weka akilini kwamba Myahudi lazima atapoteza tu kwa mpalestina hata Kama sio leo.
duh miaka 1000 yote mlishindwa nin kuwamaloza
 
Kama magaidi wa Hamas ni waislam basi hiyo dini si ya Mungu wa kweli
Hata Mandela aliitwa gaidi na Amerika. Hata chadema wanaitwa magaidi . Kikubwa nani anakwita gaidi na kwa mtazamo gani.
Waislam na wapenda haki duniani wanaamini Palestina wanapigania ardhi yao ilioporwa na mayahudi na magharibi. Wanapiga masjid Aqswa ibaki salama. Magharibi na wewe ndio unasema hao ni magaidi
 
watu wanafikiri ushindi utakwenda kwa Israel na Marekani na Uk ili baada ya hapo wapate kibri zaidi za kufanya kufru.
Huu ni mtihani mdogo tu kwa mataifa ya kiislamu ambapo kushindwa kwao kuonesha umoja wa kweli na Palestina wala hakutapelekea Allah s.w kuwapa ushindi wanyonge wanaoonewa kwa namna azijuwazo mwenyewe.Silaha kama makombora na nyuklia ni vitu vidogo sana kwake na ameviumba kama mtihani kwa wanadamu
ww ulikuwa unashangilis trh 7 mwez huu wa 10 , leo unasema mungu ndo kawapa , siku kihama utajibu hz lawama unammpa allah wenu wkt ugomv mliutafuta wenyew
 
Kama huyo ni mkiristo halafu mmagharibi sishangai. Walidhani uislam duniani utaondoka lkn ndio kwanza unaimarika
Nani kakudanganya kuna watu wanataka kuondoa uislamu tatizo lenu mmepandikwa unafiki na uongo uislamu utaondoshwa vile ni vita vya Israel kujilinda wala hana muda kuufuta uislamu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Inakuwaje muislam mwenzetu Egypt hafungulii ndugu zetu wapalestina civilians waingie ?
Majeshi ya hamass yapo yanaisubiri Isreal na magharibi waingie arching ili wajue kwamba waislam wanataka masjid Aqswa yao
 
Back
Top Bottom