Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak naye aishia kutua Tel Aviv. Awatakia ushindi Israel

Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak naye aishia kutua Tel Aviv. Awatakia ushindi Israel

Sawa hamna shida,zipigwe tu.Ma hao HAMAS waje live na sio kujificha zichapwe.

Halafu hawa Palestina wanaonekana woteee ni HAMAS tu.Maana wanakuwa nao ktk shule,hospitals n.k.Kwanini wasiwaweke wazi?

Au waanze kupambana nao na kuwamaliza kabisa?

Jiulize.

Halafu uliona vile Palestina walifurahia mauaji ya kwenye tamasha la Nova? Inashangaza sn
Netanyahu aliwaambia wapalestina anataka kuwapa kichapo ambacho kukisahau haiwezekani Ili siku nyingne wakiwaona vibaka wa HAMAS wawaripoti kwenye mamlaka za Israel.
Rafiki wa gaidi ni gaidi pia . Haijarishi ni mtoto au mwanamke akung'utwe tu hamna namna 😂😂😂😂😂
 
Inakuwaje muislam mwenzetu Egypt hafungulii ndugu zetu wapalestina civilians waingie ?
Nadhani watu wengi wanaongelea haya mambo bila kujuwa sababu za msingi. Lebanon, Syria na Jordan 1948 walifanya kama unalotaka Egypt afanye kufungulia wakimbizi leo baada ya kuondolewa na Israel maeneo yao, matokeo wale wamebaki kwenye kambi za wakimbizi toka 1948 mpaka leo, na Israle alifanya nini? akaleta settlers kuchukua ardhi zao. Anachotaka kufanya na Egypt ndio kama 1948 kuwa wafungulieni wakimbizi wakiingia Egypt wanachukua Ghaza na kuwapa settlers na kufunga hakuna kurudi hata Jordan kasema this time hakuna mtu kuingia toka west bank kukichafuka. Israel anataka kuchukua kilichobaki Ghaza na West bank awe amechukua ardhi yote iliyobaki ila this time watu wameshtuka, Ndio maana Rais wa Egypt kasema wanaweza kuwafungua kwenye jangwa la Israel kwa muda wakimaliza operation yao wawarudishe.

Hata hizi story wayahudi 1300 sijui wameuliwa ni propaganda tu, ni kweli watu wamekufa lakini number ndogo sana ila wanataka support, media zote main stream ambazo karibia zote zinamilikiwa na mayahudi utasikia mauwaji mabaya sana baada ya holocausts kila siku maneno ni hayo hayo ili kujaza watu uongo waamini. Ni kama kila ukifungua TBC unasikia CCM number one huko kijijini wanaamini number one. Na hawa CNN sijui BBC ukifungua tu Holocausts
 
Jana Kuna Profesa wa USA amesema Israel itashinda Vita Ila itapoteza eneo la Gaza,huyu sio Muislamu Ni kafir wa kutupwa.

Lakini Maandiko ya Allah anasema hakitasimama kiama mpaka Muislamu amuue myahudi,weka akilini kwamba Myahudi lazima atapoteza tu kwa mpalestina hata Kama sio leo.
Huyo allah ni wa ajabu kweli..ndiye anayewatuma kufanya ujinga?
 
watu wanafikiri ushindi utakwenda kwa Israel na Marekani na Uk ili baada ya hapo wapate kibri zaidi za kufanya kufru.
Huu ni mtihani mdogo tu kwa mataifa ya kiislamu ambapo kushindwa kwao kuonesha umoja wa kweli na Palestina wala hakutapelekea Allah s.w kuwapa ushindi wanyonge wanaoonewa kwa namna azijuwazo mwenyewe.Silaha kama makombora na nyuklia ni vitu vidogo sana kwake na ameviumba kama mtihani kwa wanadamu
Aisee kweli waislamu ni rahisi kuwajaza ujinga vichwani mwao..leo hii mmeacha kumpigania allah?
 

Umuhimu wa kidini wa Msikiti wa al-Aqsa​

Kwa Waislamu , msikiti wa al-Aqsa uliopo mjini Jerusalem ndio eneo la tatu kwa utakatifu.
Msikiti wa Al Aqsa ndio uliokuwa ukitumiwa kama qibla{Eneo ambalo Waislamu hutazama wanaposali} kwanza kabla ya kibla kwenda Mecca.
Ukarabati wa jengo hilo uliofanyika katika karne ya 7 , unaaminika na Waislamu kuwa eneo ambalo Mtume Muhammad alipaa mbinguni.
 
Tunaomba Hamasi waachie mateka hao ili kuepusha umwagaji damu pale Palestine, nchi za kiarabu ndo maana mnakosa sapoti ya nchi za Magharibi, huwezi kutetea eti Palestine wanaonewa na wakati Hamas ameshikilia mateka, na ndo ameanza mashambulizi. Israel hawezi kutishwa na ujanja ujanja na propaganda, anajua akiwachekea hamasi na kuogopa ndo mwanzo wa kuangamia Kwa wayahudi pale Israel, kesho tena watashambulia na kwenda kujificha kwenye hospital, shule, makanisa na misikiti, akishambulia tu lawama.
Hao Hamas ni wapumbavu ,ACHA wapigweeee
 
Rais Abdel-Fattah al-Sisi wa Misri kwa mara nyingine tena ametangaza kuwa Cairo inaliunga mkono taifa la Palestina na msimamo wake huo ni thabiti na inapinga mpango wa Marekani na Israel wa kuwahamishia Wapalestina kwenye jangwa la Sinai.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatani akiwa pamoja na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz mjini Cairo, Sisi amesema: "Tunapinga kuhamishwa Wapalestina kutoka katika ardhi yao."

Vile vile ameelezea wasiwasi wake kwamba kuongezeka mashinikizo ya kutaka kuwahamisha Wapalestina kutoka Ukanda wa Ghaza na kuwapeleka Sinai Misri, ni jambo lisilokubalika kabisa.

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Rais huyo wa Misri amesema: "Kuhamishiwa Sinai Wapalestina kuna maana ya kuhamishia mashambulizi dhidi ya Israel ndani ya ardhi ya Misri, na jambo hilo linatishia amani ya muda mrefu kati ya Misri na utawala wa Kizayuni
Misri hataki magaidi kwenye nchi yake
 
Eti magaidi?
Waislam wanataka ardhi yao yenye masjid Aqswa
We kweli kilaza habari si umeileta wewe mwenyewe hapa.Anasema wakazi wa Gaza wakihashiwa Sinai mashumbulizi ya Israel yatahamia Sinai ambapo ni ndani ya mipaka ya Misri..Kwanini mashambulizi yahamie huko? Usiwe kichwa panzi kwa sababu habari umeileta wewe mwenyewe.
 
We kweli kilaza habari si umeileta wewe mwenyewe hapa.Anasema wakazi wa Gaza wakihashiwa Sinai mashumbulizi ya Israel yatahamia Sinai ambapo ni ndani ya mipaka ya Misri..Kwanini mashambulizi yahamie huko? Usiwe kichwa panzi kwa sababu habari umeileta wewe mwenyewe.
Haha. Msalaba unakusumbua. Halafu unaliena kuwapenda mayahudi ndio suluhu ya maisha yako
 
Back
Top Bottom