Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak naye aishia kutua Tel Aviv. Awatakia ushindi Israel

Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak naye aishia kutua Tel Aviv. Awatakia ushindi Israel

Kombora la Islamic jihads lilifeli kwenda Israel likaangukia Hospital ya Gaza sasa mnamsukumia lawama Israel wafia dini acheni uwongo na unafiki kutafuta huruma

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Hata Russia akipiga raia wa Ukraine anasema hivi hivi kuwa sio yeye ni wa Ukraine wenyewe wamejipiga, sasa unatarajia Israel akubali kuua raia wale wote kirahisi tu?
 
Jana Kuna Profesa wa USA amesema Israel itashinda Vita Ila itapoteza eneo la Gaza,huyu sio Muislamu Ni kafir wa kutupwa.

Lakini Maandiko ya Allah anasema hakitasimama kiama mpaka Muislamu amuue myahudi,weka akilini kwamba Myahudi lazima atapoteza tu kwa mpalestina hata Kama sio leo.
Mungu gani huyo anashabikia mauaji kwa viumbe wake alivyo viumba na itikadi kama hizi ndio chazo cha machafuko hapo middle East. Maandiko ya MUNGU yanasema pendaneni,watakieni heri wale wanao wauzi.
 
Tunaomba Hamasi waachie mateka hao ili kuepusha umwagaji damu pale Palestine, nchi za kiarabu ndo maana mnakosa sapoti ya nchi za Magharibi, huwezi kutetea eti Palestine wanaonewa na wakati Hamas ameshikilia mateka, na ndo ameanza mashambulizi. Israel hawezi kutishwa na ujanja ujanja na propaganda, anajua akiwachekea hamasi na kuogopa ndo mwanzo wa kuangamia Kwa wayahudi pale Israel, kesho tena watashambulia na kwenda kujificha kwenye hospital, shule, makanisa na misikiti, akishambulia tu lawama.
Kwani kabla ya hao mateka kutekwa damu za wapalestina zilikuwa hazimwagiki?
 
watu wanafikiri ushindi utakwenda kwa Israel na Marekani na Uk ili baada ya hapo wapate kibri zaidi za kufanya kufru.
Huu ni mtihani mdogo tu kwa mataifa ya kiislamu ambapo kushindwa kwao kuonesha umoja wa kweli na Palestina wala hakutapelekea Allah s.w kuwapa ushindi wanyonge wanaoonewa kwa namna azijuwazo mwenyewe.Silaha kama makombora na nyuklia ni vitu vidogo sana kwake na ameviumba kama mtihani kwa wanadamu
Magaidi wa hamas na allah wote wanapewa kipigo cha mbwa koko huko gaza.
 
Vita gani ya kushambulia watoa huduma za afya,waandishi wa habari na watoto acheni ukafiri.
Hawa wakristo sio wote wengi wao karibu 90% wanadhani vita ni kupiga majumba, shule, hospital, misikiti, makanisa, bakery, kuuwa watoto, wanawake, kupiga magari ya ambulance 😂

Hamasi ni wazee wa kazi hawajau hata civilian mmoja wote walio wauwa walikuwa askari, hizo propoganda za Western walichukua watoto wa Palestine badaye wakaona wameonyesha watoto wa kipalestine wakazifuta haraka, kama yule msemaji wa Natanyahau alijivuna kuwa Israel Air force wame strike base ya Hamasi kwenye hospital badaye akasingizia eti ni Reuters ndio walisema sio yeye, afu walajidai badaye eti missile imejam 😂


Jeshi gani hilo linaogopa kuingia Gaza ka mji hata km 40 hakafiki na wao wako 300,000 na vifaru na kila aina ya silaha wanaogopa Hamasi hawafiki hata 3000 😂 Leo pia US kashusha jeep na muingereza kawapelekea silaha sijui wanataka nini au pampers zimewaishia 😂
 
Jana Kuna Profesa wa USA amesema Israel itashinda Vita Ila itapoteza eneo la Gaza,huyu sio Muislamu Ni kafir wa kutupwa.

Lakini Maandiko ya Allah anasema hakitasimama kiama mpaka Muislamu amuue myahudi,weka akilini kwamba Myahudi lazima atapoteza tu kwa mpalestina hata Kama sio leo.
Kumbe Alah anawachukia wayahudi!!

Ndio maana tunasemaga sana Alah ni mungu wa kiarabu...na hapendi competition ya majirani wayahudi kabisa ndio maana ana chuki nao sana
 
Rais Abdel-Fattah al-Sisi wa Misri kwa mara nyingine tena ametangaza kuwa Cairo inaliunga mkono taifa la Palestina na msimamo wake huo ni thabiti na inapinga mpango wa Marekani na Israel wa kuwahamishia Wapalestina kwenye jangwa la Sinai.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatani akiwa pamoja na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz mjini Cairo, Sisi amesema: "Tunapinga kuhamishwa Wapalestina kutoka katika ardhi yao."

Vile vile ameelezea wasiwasi wake kwamba kuongezeka mashinikizo ya kutaka kuwahamisha Wapalestina kutoka Ukanda wa Ghaza na kuwapeleka Sinai Misri, ni jambo lisilokubalika kabisa.

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Rais huyo wa Misri amesema: "Kuhamishiwa Sinai Wapalestina kuna maana ya kuhamishia mashambulizi dhidi ya Israel ndani ya ardhi ya Misri, na jambo hilo linatishia amani ya muda mrefu kati ya Misri na utawala wa Kizayuni
Huyo alsis mwenyewe historia yake haimpi unafuu, akizingua anatafutiwa zengwe anabutuliwa tena na haohao wa misri wenzake kama ilivyokuwa kwa ghadafi so atulize mshono.
 
Nini....Israel inavyosifika kwa Mambo ya Teknolojia,kilimo,afya,ujenzi
Hapa unasema inasifika ...Kisha mwisho unasema imefifishwa...ndugu zangu waislam katika Imani, huu mvutani wa Gaza na Israel wakulaumiwa na kikundi Cha Hamas, Hawa watu ukitaka kujua ni Tatizo hata nchi jirani kama Misri, Lebanon, Syria na Iran wamekaa kimya kuhusu mpango wa kuwasaidia Hawa watu...na mbaya zaidi hata serikali ya mamlaka ya Palestine imekaa kimya...vikundi vingine vya jihads kama Hezbollah nako wamekaa kimya ...

Na mbaya zaidi mabosi wa Hamas wako Qatar wanakula halua na tende,

Wakati Hamas wanapanga kushambulia Israel, Misri walitoa taarifa Kwa vyombo vya usalama vya Israel ila wakapuuza Kwa kuwa hawakuwa wanatarajia hao so called waislamu wenye itikafi Kali wataamua kuja na plan ya kijinga hivi...wakati Israel na mamlaka ya Palestine walikuwa kwenye mazungumzo ya amani kuhusu mji Mkuu wa yerusalem na ule msikiti ...Japo mazungumzo hayakuwa na afya sana ..lakini raia wasio na hatia wa Gaza strip walikuwa na amani ..walikuwa wametulia safi tu.
 
Vita gani ya kushambulia watoa huduma za afya,waandishi wa habari na watoto acheni ukafiri.
Vita gani ya kushambulia wacheza disco? pia msiwapangie Israel Cha kufanya, vita ni vita, mkiona inawafaa ingia vitani ukawasaidie Hamas.
 
Waziri mkuu wa Uingereza Rish Sunak amemuomba Waziri mkuu wa Israel mh Netanyahu aruhusu kuingia Gaza Misaada ya kibinadamu

Netanyahu amesema dunia inapitia zama za giza

Source BBC news
Napenda Sana misimamo ya Netanyahu. Jamaa anapanga yeye ni wakati Gani watu wa Gaza wapelekewe misaada Tena Kwa muda maalum hapangiwi . Misimamo ya kibabe Sana 😂😂😂
 
Jana Kuna Profesa wa USA amesema Israel itashinda Vita Ila itapoteza eneo la Gaza,huyu sio Muislamu Ni kafir wa kutupwa.

Lakini Maandiko ya Allah anasema hakitasimama kiama mpaka Muislamu amuue myahudi,weka akilini kwamba Myahudi lazima atapoteza tu kwa mpalestina hata Kama sio leo.

Hizo illusions tu,ila hali halisi unaiona.
 
Rais Abdel-Fattah al-Sisi wa Misri kwa mara nyingine tena ametangaza kuwa Cairo inaliunga mkono taifa la Palestina na msimamo wake huo ni thabiti na inapinga mpango wa Marekani na Israel wa kuwahamishia Wapalestina kwenye jangwa la Sinai.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatani akiwa pamoja na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz mjini Cairo, Sisi amesema: "Tunapinga kuhamishwa Wapalestina kutoka katika ardhi yao."

Vile vile ameelezea wasiwasi wake kwamba kuongezeka mashinikizo ya kutaka kuwahamisha Wapalestina kutoka Ukanda wa Ghaza na kuwapeleka Sinai Misri, ni jambo lisilokubalika kabisa.

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Rais huyo wa Misri amesema: "Kuhamishiwa Sinai Wapalestina kuna maana ya kuhamishia mashambulizi dhidi ya Israel ndani ya ardhi ya Misri, na jambo hilo linatishia amani ya muda mrefu kati ya Misri na utawala wa Kizayuni
Hata kama ni wewe mkuu huwezi mkaribisha chatu nyumbani kwako .
Israel ndiye anaamua wapalestina wakae na kuishi sehemu Gani . Hapangiwi akimwambia hama kutoka hapa uende pale sharti ni Hilo . Israel hataki mtu ajitokeze kumsaidia adui yake . Ukimsaidia adui wa Israel umeyatimba . Misri wanalijua Hilo 😆😆
 
Hata Mandela aliitwa gaidi na Amerika. Hata chadema wanaitwa magaidi . Kikubwa nani anakwita gaidi na kwa mtazamo gani.
Waislam na wapenda haki duniani wanaamini Palestina wanapigania ardhi yao ilioporwa na mayahudi na magharibi. Wanapiga masjid Aqswa ibaki salama. Magharibi na wewe ndio unasema hao ni magaidi

Israel ni ardhi ya wayahudi hao waarabu warudi jangwani huko
 
Ukweli mchungu huu,

Israel waendelee kupiga tu
Netanyahu akiongea jambo Huwa harudii mara mbili mbili .
Hao vibaka wameyatimba kifuatacho ni kiama .



Trust the process.
 
Hawa wakristo sio wote wengi wao karibu 90% wanadhani vita ni kupiga majumba, shule, hospital, misikiti, makanisa, bakery, kuuwa watoto, wanawake, kupiga magari ya ambulance [emoji23]

Hamasi ni wazee wa kazi hawajau hata civilian mmoja wote walio wauwa walikuwa askari, hizo propoganda za Western walichukua watoto wa Palestine badaye wakaona wameonyesha watoto wa kipalestine wakazifuta haraka, kama yule msemaji wa Natanyahau alijivuna kuwa Israel Air force wame strike base ya Hamasi kwenye hospital badaye akasingizia eti ni Reuters ndio walisema sio yeye, afu walajidai badaye eti missile imejam [emoji23]


Jeshi gani hilo linaogopa kuingia Gaza ka mji hata km 40 hakafiki na wao wako 300,000 na vifaru na kila aina ya silaha wanaogopa Hamasi hawafiki hata 3000 [emoji23] Leo pia US kashusha jeep na muingereza kawapelekea silaha sijui wanataka nini au pampers zimewaishia [emoji23]

Basi watoke hadharani sio kujificha gaza wakivaaa kiraia,vinginevyo mtabaki kuumia
 
Back
Top Bottom