Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak naye aishia kutua Tel Aviv. Awatakia ushindi Israel

Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak naye aishia kutua Tel Aviv. Awatakia ushindi Israel

ila allah fundi aisee kaandaa mabikira 60 na mito ya pombe kwa ajili ya watu wake! na huku mtume wake alizagamua bint wa miaka tisa aisee allah na mudi wanatisha! sana!
Nyinyi kakuandalieni moto
 
Jana Kuna Profesa wa USA amesema Israel itashinda Vita Ila itapoteza eneo la Gaza,huyu sio Muislamu Ni kafir wa kutupwa.

Lakini Maandiko ya Allah anasema hakitasimama kiama mpaka Muislamu amuue myahudi,weka akilini kwamba Myahudi lazima atapoteza tu kwa mpalestina hata Kama sio leo.
Kwahiyo mpalestina ni mwislam!?
 
Rais Abdel-Fattah al-Sisi wa Misri kwa mara nyingine tena ametangaza kuwa Cairo inaliunga mkono taifa la Palestina na msimamo wake huo ni thabiti na inapinga mpango wa Marekani na Israel wa kuwahamishia Wapalestina kwenye jangwa la Sinai.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatani akiwa pamoja na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz mjini Cairo, Sisi amesema: "Tunapinga kuhamishwa Wapalestina kutoka katika ardhi yao."

Vile vile ameelezea wasiwasi wake kwamba kuongezeka mashinikizo ya kutaka kuwahamisha Wapalestina kutoka Ukanda wa Ghaza na kuwapeleka Sinai Misri, ni jambo lisilokubalika kabisa.

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Rais huyo wa Misri amesema: "Kuhamishiwa Sinai Wapalestina kuna maana ya kuhamishia mashambulizi dhidi ya Israel ndani ya ardhi ya Misri, na jambo hilo linatishia amani ya muda mrefu kati ya Misri na utawala wa Kizayuni
 
Tunaomba Hamasi waachie mateka hao ili kuepusha umwagaji damu pale Palestine, nchi za kiarabu ndo maana mnakosa sapoti ya nchi za Magharibi, huwezi kutetea eti Palestine wanaonewa na wakati Hamas ameshikilia mateka, na ndo ameanza mashambulizi. Israel hawezi kutishwa na ujanja ujanja na propaganda, anajua akiwachekea hamasi na kuogopa ndo mwanzo wa kuangamia Kwa wayahudi pale Israel, kesho tena watashambulia na kwenda kujificha kwenye hospital, shule, makanisa na misikiti, akishambulia tu lawama.
Ukweli mchungu huu,

Israel waendelee kupiga tu
 
Rais Abdel-Fattah al-Sisi wa Misri kwa mara nyingine tena ametangaza kuwa Cairo inaliunga mkono taifa la Palestina na msimamo wake huo ni thabiti na inapinga mpango wa Marekani na Israel wa kuwahamishia Wapalestina kwenye jangwa la Sinai.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatani akiwa pamoja na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz mjini Cairo, Sisi amesema: "Tunapinga kuhamishwa Wapalestina kutoka katika ardhi yao."

Vile vile ameelezea wasiwasi wake kwamba kuongezeka mashinikizo ya kutaka kuwahamisha Wapalestina kutoka Ukanda wa Ghaza na kuwapeleka Sinai Misri, ni jambo lisilokubalika kabisa.

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Rais huyo wa Misri amesema: "Kuhamishiwa Sinai Wapalestina kuna maana ya kuhamishia mashambulizi dhidi ya Israel ndani ya ardhi ya Misri, na jambo hilo linatishia amani ya muda mrefu kati ya Misri na utawala wa Kizayuni
 
Kupigwa jee. Maana na wao wanapigwa
Sawa hamna shida,zipigwe tu.Ma hao HAMAS waje live na sio kujificha zichapwe.

Halafu hawa Palestina wanaonekana woteee ni HAMAS tu.Maana wanakuwa nao ktk shule,hospitals n.k.Kwanini wasiwaweke wazi?

Au waanze kupambana nao na kuwamaliza kabisa?

Jiulize.

Halafu uliona vile Palestina walifurahia mauaji ya kwenye tamasha la Nova? Inashangaza sn
 
Tunaomba Hamasi waachie mateka hao ili kuepusha umwagaji damu pale Palestine, nchi za kiarabu ndo maana mnakosa sapoti ya nchi za Magharibi, huwezi kutetea eti Palestine wanaonewa na wakati Hamas ameshikilia mateka, na ndo ameanza mashambulizi. Israel hawezi kutishwa na ujanja ujanja na propaganda, anajua akiwachekea hamasi na kuogopa ndo mwanzo wa kuangamia Kwa wayahudi pale Israel, kesho tena watashambulia na kwenda kujificha kwenye hospital, shule, makanisa na misikiti, akishambulia tu lawama.
Swali la msingi palatina wameonewa hata bint yako yule analifaham hilo hayo mengine ni porojo tu
 
Club ant religion wanavyoshirikiana....
 
Jana Kuna Profesa wa USA amesema Israel itashinda Vita Ila itapoteza eneo la Gaza,huyu sio Muislamu Ni kafir wa kutupwa.

Lakini Maandiko ya Allah anasema hakitasimama kiama mpaka Muislamu amuue myahudi,weka akilini kwamba Myahudi lazima atapoteza tu kwa mpalestina hata Kama sio leo.

Huyo mungu muarabu kawaponza kila mkilazimisha ugomvi mnakufa kama senene.
 
Allah hana nguvu yoyote eti yeye mpaka watu ndio wampiganie na kama ndio wanamtegemea basi watageuzwa mbolea siku sio nyingi.
 
Huku ikielezwa umebaki muda mfupi jeshi la Israel lianze kujingia Gaza kupigana mitaani na wapalestina,waziri mkuu wa Uiengereza naye ametua uwanja wa Ben Gurion kuonana na waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.

Hiyo ni siku moja tu tangu kumalizika kwa aibu kwa ziara ya rais wa Marekani, Joe Biden ambaye nchi za kiarabu zilikataa kuonana naye.

Katika mazungumzo ya Sunak na Netanyahu, waziri mkuu huyo wa UK aliwaambia Israel kuwa amekwenda ili kuwaonesha kuwa Uiengereza iko pamoja nao na kwamba anawatakia ushindi katika vita vyao.

UK stands with Israel after ‘horrific act of terrorism’, says Sunak

View attachment 2786401
Hamas sio wa mchezo mchezo
 
Allah hana nguvu yoyote eti yeye mpaka watu ndio wampiganie na kama ndio wanamtegemea basi watageuzwa mbolea siku sio nyingi.
Watu wanagombania maeneo sasa Mungu anafata nini tena?
 
Back
Top Bottom