Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak naye aishia kutua Tel Aviv. Awatakia ushindi Israel

ila allah fundi aisee kaandaa mabikira 60 na mito ya pombe kwa ajili ya watu wake! na huku mtume wake alizagamua bint wa miaka tisa aisee allah na mudi wanatisha! sana!
Nyinyi kakuandalieni moto
 
Kwahiyo mpalestina ni mwislam!?
 
Rais Abdel-Fattah al-Sisi wa Misri kwa mara nyingine tena ametangaza kuwa Cairo inaliunga mkono taifa la Palestina na msimamo wake huo ni thabiti na inapinga mpango wa Marekani na Israel wa kuwahamishia Wapalestina kwenye jangwa la Sinai.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatani akiwa pamoja na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz mjini Cairo, Sisi amesema: "Tunapinga kuhamishwa Wapalestina kutoka katika ardhi yao."

Vile vile ameelezea wasiwasi wake kwamba kuongezeka mashinikizo ya kutaka kuwahamisha Wapalestina kutoka Ukanda wa Ghaza na kuwapeleka Sinai Misri, ni jambo lisilokubalika kabisa.

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Rais huyo wa Misri amesema: "Kuhamishiwa Sinai Wapalestina kuna maana ya kuhamishia mashambulizi dhidi ya Israel ndani ya ardhi ya Misri, na jambo hilo linatishia amani ya muda mrefu kati ya Misri na utawala wa Kizayuni
 
Ukweli mchungu huu,

Israel waendelee kupiga tu
 
Rais Abdel-Fattah al-Sisi wa Misri kwa mara nyingine tena ametangaza kuwa Cairo inaliunga mkono taifa la Palestina na msimamo wake huo ni thabiti na inapinga mpango wa Marekani na Israel wa kuwahamishia Wapalestina kwenye jangwa la Sinai.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatani akiwa pamoja na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz mjini Cairo, Sisi amesema: "Tunapinga kuhamishwa Wapalestina kutoka katika ardhi yao."

Vile vile ameelezea wasiwasi wake kwamba kuongezeka mashinikizo ya kutaka kuwahamisha Wapalestina kutoka Ukanda wa Ghaza na kuwapeleka Sinai Misri, ni jambo lisilokubalika kabisa.

Katika sehemu nyingine ya matamshi yake, Rais huyo wa Misri amesema: "Kuhamishiwa Sinai Wapalestina kuna maana ya kuhamishia mashambulizi dhidi ya Israel ndani ya ardhi ya Misri, na jambo hilo linatishia amani ya muda mrefu kati ya Misri na utawala wa Kizayuni
 
Kupigwa jee. Maana na wao wanapigwa
Sawa hamna shida,zipigwe tu.Ma hao HAMAS waje live na sio kujificha zichapwe.

Halafu hawa Palestina wanaonekana woteee ni HAMAS tu.Maana wanakuwa nao ktk shule,hospitals n.k.Kwanini wasiwaweke wazi?

Au waanze kupambana nao na kuwamaliza kabisa?

Jiulize.

Halafu uliona vile Palestina walifurahia mauaji ya kwenye tamasha la Nova? Inashangaza sn
 
Swali la msingi palatina wameonewa hata bint yako yule analifaham hilo hayo mengine ni porojo tu
 
Club ant religion wanavyoshirikiana....
 

Huyo mungu muarabu kawaponza kila mkilazimisha ugomvi mnakufa kama senene.
 
Allah hana nguvu yoyote eti yeye mpaka watu ndio wampiganie na kama ndio wanamtegemea basi watageuzwa mbolea siku sio nyingi.
 
Hamas sio wa mchezo mchezo
 
Allah hana nguvu yoyote eti yeye mpaka watu ndio wampiganie na kama ndio wanamtegemea basi watageuzwa mbolea siku sio nyingi.
Watu wanagombania maeneo sasa Mungu anafata nini tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…