Mia ya noti
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 866
- 1,234
Formula ipi mkuu hembu iweke hapa Kuna kitu kinaitwa increment waachane na hilo ongezeko la rais..Ongezeko gani halipo? Hujaona formula iliyotumika?
Kwa muda gani na huyu ana muda gani?Yule aliyekuwepo hakuongeza mishahara lakini miundombinu ilijengwa. Huyu wa sasa haieleweki fedha inaenda wapi
Kima cha juu ni kuanzia mshahara gani?Sasa tucta ndio watafanya nini? Hoja ya tucta ni hiyo hiyo kwamba kima Cha juu hawajaongesewa salary hivyo waliowaombea 15% ambayo serikali imekataa.
Duh Mungu tunampa kazi sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]tena yule ni bora kuliko huyu, yule alipunguza PAYE ambayo iliongeza mshahara kiasi cha kutosha, huyu anashauriwa vibaya na walamba asali kina mwigulu, huku danganya toto nyongeza ya shahara huku unaongeza mitozo kila pahala ili mradi tu kumkera mwananchi, ee Mungu eee tumekuachia baba! amua na huu ugomvi
Unataka kuhangaika na Mazuzu?Sasa hii hoja Yako Ina mahusiano Gani na kauli ya waziri mkuu?sometimes kuweka siasa kwenye Kila jambo ni too harmful.
Kwa nini asishukuru ikiwa kapata nyongeza hiyo ndani ya miezi 12 tu tangu apandishwe madaraja?Kweli hii ni Serikali ya kipekee duniani,Prime Minister anaongea kauli nyepesi kwa mambo mazito huku akipigiwa makofi na watu walionuna mioyo.
Hilo ongezeko ni la ajabu kweli.Japokuwa mimi siyo mwanahisabati lakini kutoa na kujumlisha hakunishindi kihivyo.Nimebahatika kuona pay slip moja hapa,Basic 1,820,000/= mwezi June&July Basic salary 1,865,000 na kwa hesabu ya kichwa ongezeko ni =Tshs 45,000;ambayo ni sawa 2.5% na kwenye take home July imeongezeka Tsh 26,000 hivi ambayo ni sawa na 62.4% ya 45,000 aliyoongezewa ikiwa makato ni 23.6%,je huyo mtu naye aishukuru serikali kwa nyongeza aliyoisubiri kwa miaka 5?
Hapo bado hajakutana na tozo za miamala,VAT ya 18% kwa kila manunuzi,kupanda kwa bei za bidhaa na huduma kwa karibia 60% miaka 5 iliyopita.Funga kazi ni pensheni ya mkupuo ya 33.3%.Wafanyakazi wa Tanzania ya Tanganyika asipokufa kwa njaa atakufa kwa stress.
Na hapohapo Sri Lanka baada ta viongozi wapya kuingia madarakani wakatumia mtutu kuwa sambaratisha wananchi.[emoji23][emoji23][emoji23]Maneno ya Marie Antoinette ktk kasri ya KiFalme nchini Ufaransa yalisababisha ghadhabu kubwa kupanda kwa raia wa Paris na kupelekea mapinduzi ktk miaka ya mwisho ya 1790's
Juzi kule Colombo Sri Lanka wafanyakazi wa sekta ya umma waliambiwa ili kukabiliana na hali ngumu ya kiuchumi na kipato wajiongeze kwa kuanzisha mashamba ili wajikimu, hii baadaye ilipelekea wananchi kuungana na kuiteka Ikulu walioipangisha kwa viongozi waliowachagua hivyo kusababisha viongozi hao kukimbia na kuachia uongozi.
HISTORIA
Paris, France
Marie-Antoinette was King Louis XVI’s wife and the Queen of France during the French Revolution. At some point around 1789, when being told that her starving subjects had no bread, Marie-Antoinette supposedly sniffed, ‘Qu’ils mangent de la brioche’— ‘Let Them Eat Cake’ in French. because brioche is more expensive than bread, the anecdote has been cited as an example of Marie-Antoinette’s obliviousness to ordinary people’s conditions and daily lives in France. With that insensitive remark, the Queen became a hated symbol of the decadent monarchy and fueled the revolution that would cause her to (literally) lose her head in 1793)
https://www.aljazeera.com › news
Crisis-hit Sri Lanka allows gov't workers 4-day week to grow food
Colombo Srilanka
14 Jun 2022 — The nation asks public sector employees to take off on Fridays to grow crops in back yards to avoid a food shortage
Hata mimi nimeshangaa sana ...Sijui kwa nini hujitokeza kuongelea mambo yanayomzidi!
Ndani ya hiyo miezi 12 Kuna matukio ya hatar kwenye uchumi. Rais aliidhinisha bil 100 zende kwenye mafuta zilimsaidia nini mtumishi, vitu vimepanda bei, Hapo bado hajakutana na tozo za miamala,VAT ya 18% kwa kila manunuzi,kupanda kwa bei za bidhaa na huduma kwa karibia 60% miaka 5Kwa nini asishukuru ikiwa kapata nyongeza hiyo ndani ya miezi 12 tu tangu apandishwe madaraja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo annual increment si iliondolewa na marehemu baba yenu,leo ndiyo mnajua kuwa imeondolewa!?.Tatizo wameondoa increment...ambayo huwa inabusti sana salio mara dufu ya hilo ongezeko la elfu kumi na mbili..
Mbona hajazungumzia increments ambayo ipo kisheria na wameiondoa?
Kama serikali ambayo ndio mwajiri mkuu nchini inavunja Sheria wazi wazi na hawa waajiri wengine watafanyeje?
Wafanyabiashara mmetuongezea nini?Waziri Mkuu, Kasimu Majaliwa amesema wengi wanaolalamika kupata ongezeko dogo la mishahara ni wale ambao wana mishahara mikubwa. Ametolea mfano wa mawaziri kuwa wako baadhi ambao ongezeko lao ni 0.02%
Amewaomba watumishi kuwaamini viongozi wa vyama vya wafanyakazi. Amesema wengi waliopata ongezeko kubwa ni wale watumishi waliokuwa wanapata mishahara midogo.
Pia amesema wananchi wanapaswa kushukuru kwa ongezeko hilo ambalo miaka kadhaa iliyopita haikuwepo
KINA HALIMA NA GENGE LAKE LICHA YA KUWA SIO WABUNGE WANALIPWA MAMILIONI NCHI YA AJABU SANAWaziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, amesema serikali inapopandisha mishahara inaangalia zaidi kima cha chini na kwamba asilimia 23 iliyosemwa na Rais Samia Suluhu siku ya Mei Mosi iliwalenga zaidi wenye kipato cha chini.
“Asilimia 23 iliyotamkwa haijalipwa kwa watumishi wote, fomula iliyotamkwa si wote mpaka wenye mishahara mikubwa, walionufaika ni wenye mishahara midogo.-Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ufafanuzi nyongeza ya mishahara.”
“Hao wanaosema tumeongeza sh 20 ni wenye mishahara mikubwa, wako kwenye asilimia 22, Mawaziri, Makatibu Wakuu, Mameneja, Wakurugenzi na Wakuu wa Mikoa ambao kidogo wana mshahara unaotosha” Mhe. Majaliwa, akifafanua nyongeza ya mishahara.
Ngozi nyeusi ina laana siyo bure mkuu!Wewe ni kajinga,umepunguziwa Paye kwa 1%,umeongezwa salary,umefutiwa uharamia wa loanboard na bado ukapandishwa daraja ila bado unaongea upumbavu wako...
Tote hayo yamefanyika kwa mwaka Mmja Bado inaongea upumbavu.