Waziri Mkuu: Wanaolalama kupata ongezeko la 20,000 ni wale wenye mishahara mikubwa

2016 hadi 2020 hakuna mtumishi aliyepandishwa daraka ndugu,kilichofanyika ni kupunguza kodi tu.Mimi naongelea miezi 12 tangu Rais Samia alipotoa ruhusa ya watumishi kupandishwa madaraja na mwezi huu wa 7 wa nyongeza.Sasa wewe hukuelewa wapi?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya Tanzania haihudumii watumishi tu,inahudumia watanzania wengine pia.Sasa ukitaka tujaliwe sisi watumishi tu,hapo mimi sioni kama ipo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nawasihi Wapiga kura wa Tanzania epukeni kuwapa madaraka ya uongozi kwenye ngazi za siasa Walimu.
 
BInafsi sijaelewa mishahara ya mawaziri imeingiaje ingiaje kwenye ishu ya mishahara ya watumishi wa umma, katelephone ni changamoto sana
Kuna kipindi wateule wa rais tuliambiwa si watumishi wa umma. Ule wakati wa kumtetea Bashite.
 
Sasa hii hoja Yako Ina mahusiano Gani na kauli ya waziri mkuu?sometimes kuweka siasa kwenye Kila jambo ni too harmful.
huyo jamaa nahisi ni mwehu au kichaa manake kwenye karibia kila thread anapaste hiyo comment hata kama hazinamahusiano
 
Mbwembwe zote na kupongezwa Mama kuupiga mwingi ndiyo hiyo Tsh 90,000 kwa kima cha chini Tshs 270,000?.
Majaliwa anaweza kutumia hicho kiasi kwa saa ngapi/siku nga za mwezi?
Tuache dhihaka kwa wafanyakazi wetu.
Ongezeko la mishahara lazima liendane na hali halisi ya uchumi wa nchi, tusije kuishia kujilipa mishahara huku tukishindwa kutekeleza majukumu mengine ya kimaendeleo.
 
Siku ile Rais ametamka asilimia 23.3% watu walirukaruka sana,! Kwani hakuelewa ongezeko lilikuwa kwa watu wa kima cha chini?
 
Lakini pia kodi ya ATM haikuwepo.
 
Samaki kula mtu ni habari ila mtu kula samaki sio habari....
 
Huyu naye ni mwananchi. Kitendo Cha kudharau maoni ya wananchi kitawafikisha pabaya. Serikali ipo kuwahudumia wananchi na sio kujifanyia maamuzi.
😬😬😬😬 Pabaya wapi? Hutaki acha Kazi kama una hiyo jeuri..

Na likitambi lako wewe sio mwananchi mlemgwa.
 
"Asilimia 75 - 78 ya watumishi wote wa Umma ndiyo wanaofaidika na hii asilimia 23 ya nyongeza ya mshahara, hata Mawaziri wetu na wao wanaongezewa asilimia 0.7" - Kassim Majaliwa - Waziri Mkuu""

mkuuu hapo umetishaaaaa
Lengo la Rais Samia ni kuwainua wale wenye mishahara midogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…