HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Hivi hawa Mawaziri wote kwenye hii press Wameshindwa akili na Dr Mwinyi?Mbona kama hili genge linamhujumu Rais halafu na yeye hastukii huu mchezo??
Nataka nikuhakikishie Rais alitaka iwe kama ilivyotamkwa ili kina Majaliwa walidhani watadharaulika na Watumishi wakipata hela nzuri. Hili genge lina roho mbaya hata chatu ana afadhali
Nataka nikuhakikishie Rais alitaka iwe kama ilivyotamkwa ili kina Majaliwa walidhani watadharaulika na Watumishi wakipata hela nzuri. Hili genge lina roho mbaya hata chatu ana afadhali