Waziri Mwambe: Mazungumzo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kuanza rasmi

Hureeeeee Mungu mkubwa mnaopinga hamjui chochote kuhusu hii project mnaweka interest za wivu na chuki tu hii si project ya Samia au Jakaya
Ndiyo ujinga mkubwa wa watu waliozoea kuajiriwa kwa malipo duni, hawazioni fursa hata kwa kuonyeshwa wazi wazi.
 
China ni marafiki wa CCM

CCM AND CPM are communist best friends in party

Wakandarasi 90% ni Wachina

China ndio wanatoa msaada wa kimbinu, mkakati, kifedha, na ufedhuli kwa Ccm ili wabaki madarakani kwa dhulma

Kwa hiyo China watapewa bandari ya Bagamoyo...penda msipende

China ni Wanafiki, wanyonyaji... Watanzania mtalipa tu Tozo
 
Usiwaamini hawa watu.

Sawa amezipitia, swali ni je, ana utaalamu wa mikataba na maswali mengine ya kitaalamu?

Kama ambavyo Mbowe sio gaidi, na sisi wananchi sio wajinga.
Kwani unaposikia waziri kapitia mkataba unadhani kausoma peke yake,wapo wasaidizi wake wataalamu wa kila nyanha na pia kumbuka yupo pia mwanashetia mkuu wa serikali kwa ujumla wao husoma na kutoa mapendekezo ambayo,hupelekwa kwa kamati ya makatibu wakuu ambapo yakipita ndio hupelekwa kwenye cabinet
 
Muendelee hivyo hivyo kumshukuru mungu wakati bandari zote zikifa na kubakia magofu then bandari mpya ya bagamoyo ikihodhi mizigo yote kwa rates za ajabu!
 
Unazidi kuonyesha ujinga wako, tozo wanalipa CCM tu!?,wachina wakianza kurudisha gharama zao kwa miaka 99 watakuwa wanalipa CCM tu!?, chadema anayeishi nanjilinji na ikwiriri mkulima katiba mpya inamsaidia nini!?,endeleeni na upumbavu wenu mliolishwa na wanasiasa.
 
Muendelee hivyo hivyo kumshukuru mungu wakati bandari zote zikifa na kubakia magofu then bandari mpya ya bagamoyo ikihodhi mizigo yote kwa rates za ajabu!
Wameandika wapi bandari nyingine zitakufa, Hayati kawatia upofu watu wengi sana aisee. Inabidi itolewe elimu kubwa sana kwa Umma. Mtu alijenga uwanja wa ndege kijijinii kwake na bila bunge kupitisha sijui tulirogwa.
 
Ingekuwa hivyo wala tusingekuwa na matatizo yasiyoisha juu ya mkataba mibovu. Tatizo lililopo Rais akishamegewa fungu anatoa tu amli wapitishe tu huwa mkataba. Ukileta ujuaji unatumbuliwa. Na kama unavyojua tatizo kubwa la wa bongo ni njaa kali
 
Wameandika wapi bandari nyingine zitakufa, Hayati kawatia upofu watu wengi sana aisee. Inabidi itolewe elimu kubwa sana kwa Umma. Mtu alijenga uwanja wa ndege kijijinii kwake na bila bunge kupitisha sijui tulirogwa.
Sasa mkataba unasema kudhoofisha bandari zinginezo kwa kipindi yenyewe ikianza kazi! Unategemea nini kama meli zote kubwa zitapitia Bagamoyo port!?
 
Huyo mama akithubutu kufanya hivyo tutampiga risasi hadharani au kujilipua naye na alivyo na kifua kikubwa mbona atalipuka kwa kishindo😂😂😂😂
Unawatafuta TISS wawaombe FBI kwa msaada..
Any threats to a world leader of any country is taken seriously, muulize Bin Laden.
 
LNG na bandari ya Bagamoyo, huku bado kuna SGR, Nyerere dam, Kigongo Busisi yote miradi mikubwa ya gharama kubwa na bado haijamilika, hii haraka ya nini kama sio nao wanataka 10% zao?
Mitambo ya LNG haijengwi kwa hela zenu, bali za wawekezaji wenye hiyo gas
 
Tatizo mnapiga tu kelele kama vyura bwawani ili hali hamna uwezo wa kuizuiya serikali kuutekeleza mradi huo.Mradi utafanyika iwe mnapenda au mnachukia.
 
Tatizo lenu hamtaki kuamini kwamba mwendazake aliwaaminisha vitu vingi sana vya uongo. Kuna tofauti kubwa tu baina ya Mkataba na Rasimu ya majadiliano. Kwa wanaojua majadiliano hawatashangaa Rasimu ya majadiliano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…