what's England ba de way? tell me how many type of inter. Eng. jo know! To mention a few!!Hahaha watu tunaongea Colloquial ya England kutokea Mitaa ya Borough na hatujitapi na Wala hatuwezi kuandika humu.
Ila wewe hizo slang kwanza huzijui unajifanya unajua, nikianza kukuandikia hiyo slang sidhani hata Kama uta reply.
Kiingereza hujui, Rudi shule. Nakushauri uwe unatumia kiswahili kabla hujaiva na kuwa mkomavu wa Kiinglishi otherwise unajiaibisha.
[emoji3][emoji3]
like I told u dis is another level...Eti Specuration [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wewe ni mkurya nini
It's Speculation wewe tabulasa why do you force writing language you are not capable with ?
To whom should I waste my energy mention the languages I master ? You ? No noooo you neither deserve nor capable to know as per your level of understand is shallow and shakable!!what's England ba de way? tell me how many type of inter. Eng. jo know! To mention a few!!
Forget about. sub branches!!!
zao la HARAM ni HARAM toka mwanzo.Kuna siku nilisikia huyu mama anasema alisoma uchumi, mpaka unashangaa pamoja na taaluma yake hiyo ameshindwa kutambua kuwa kuongeza kodi ya dhuruma kwenye miamala ya simu ni kuuwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.
Serikali na wachumi uchwara wanakaa wanaweka jumla yakodi tatu kwenye muamala mmoja wa simu hizi si dharau za waziwazi nakutuona mazuzu ,wanapandisha kwa makusudi bei ya mafuta kitu ambacho ni kichocheo namba moja cha ushughuli za kiuchumi nchini.
Jambo la kuchekesha zaidi nikaona hapa hakuna kiongozi nikupunguza kodi kwenye vitu ambavyo havina tija kwenye uchumi wa nchii, yaani mtu anapunguza kodi kwenye betting/gambling ,pombe halafu anapandisha tozo kwenye gharama ya mafuta.
Yaani mama katika vipaumbele vyako vyote kwenye shughuli za kiuchumi nikuchochea kamali na unywaji pombe, vingine vyoote umepiga chini. Watu wanasema mwigulu anakufanyia hujuma sio kweli vitu vidogo kama hivyo havihitaji mpaka usome macro economics yaani umepwaya kweli kweli.
Oky kodi mmeshaanza kuchukua jee zitasaidia vipi wananchii kama sio kuibia masikini, Mama ebu rejea bajeti ya ofisi ya waziri mkuu ya mwaka 21/22 asilimia 80 ya bajeti yote ni matumizi binafsi asilima 20 ndio inapelekwa kwenye shughuli za maendelea.
Matumizi binafsi wanalipana posho mara mbili mbili, vikao visivyo na tija, wanakula bata huku wakiaacha raia kwenye janga la umasikini.
Uongozi mbovu,, muundo wa serikali mbovu, bunge bovu, katiba mbovu
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1855593
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] School in De bush ?like I told u dis is another level...
Did u'learn common mistakes on ya 0ld primitive syrrab! School In de bush?
Sikatai Kuna pesa za mikopo zilitumika kwenye baadhi ya miradi, lakini tuliona matokeo chanya ya matumizi ya Kodi pamoja na mikopo hiyo.Flyover gani imejengwa kwa fedha za ndani ?
Hebu fuatilia Mambo acha kuleta blabla hapa.
Kwahiyo unapingana na ulichotaka kutuaminisha kuwa hiyo miradi Ni pesa za ndaniSikatai Kuna pesa za mikopo zilitumika kwenye baadhi ya miradi, lakini tuliona matokeo chanya ya matumizi ya Kodi pamoja na mikopo hiyo.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo kwa mawazo yako unataka kutuaminisha kuwa miradi hiyo yote ilifanyika kwa pesa za mikopo?Kwahiyo unapingana na ulichotaka kutuaminisha kuwa hiyo miradi Ni pesa za ndani
Unaniuliza Mimi Hilo swali?Kwa hiyo kwa mawazo yako unataka kutuaminisha kuwa miradi hiyo yote ilifanyika kwa pesa za mikopo?
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Staring anawawa,anatokea mwishoni kama Zombie [emoji1241][emoji23][emoji23]Picha linaanza..[emoji23]
Mi simoStaring anawawa,anatokea mwishoni kama Zombie [emoji1241][emoji23][emoji23]
Na Bado[emoji23][emoji23] yetu macho na masikio[emoji124][emoji125][emoji125]Mama Anaupiga Mwingi sana. Tutamkumbuka Mwenda zake.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
u'll nev' know cause u'r what u'r!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] School in De bush ?
What's that myfoler ??
Hahaha Just Hahaha
Eti you're what you're [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]u'll nev' know cause u'r what u'r!!
Alikuta hela nyingi uliziona au unasikiliza maneno ya kwenye kahawa?acheni propaganda za magufuliMama kamaliza kibubu cha marehem sasa inabidi atafute pesa zakujaza kibubu yeye alikuta pesa nyingi alijua zinaingia kama usiku na mchana. Yeye alisema wafanyabiashara walidhulumiwa pesa zao, lakin yeye ana dhulum pesa za wanyonge,, mataijir hawa tumi pesa kwenye mitandao ya SIM.
Tatizo linaanza pale unapokuwa Mwingi nje ya uwanja lakini ndani unakuwa mdogo.!Jamani si tulikubaliana hapa kwamba mama anaupiga mwingi imekuaje tena tunamgeuka!!
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
JPM ametekeleza miradi mingi kwa pesa za ndani kutokana na makusanyo ya kodi, ni miradi michache tu ambayo alilazimika kukopa pesa lakini tuliona matokeo sahihi ya mikopo hiyo.Unaniuliza Mimi Hilo swali?
Ubaya watanzania huwa hamsomi mnabaki kuokoteza taarifa za kwenye vijiwe ,JPM ametekeleza miradi mingi kwa pesa za ndani kutokana na makusanyo ya kodi, ni miradi michache tu ambayo alilazimika kukopa pesa lakini tuliona matokeo sahihi ya mikopo hiyo.
Kumbuka miradi Kama SGR, Bwawa la umeme na mradi wa barabara wa njia nane kutoka kimara hadi kibaha aliamua kuanza kujenga kwa fedha za ndani baada ya kukosa mkopo, na miradi mingine mingi alitumia hela za ndani.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Point na ndio ukweli wenyewe.....Wewe ndo huelewi mambo, toka awamu ya nne wafanyabiashara wakubwa walikuwa hawalipi kodi halali, watumishi wa TRA ndo walikuwa wanachukua % kwa wafanyabiashara hawa na kuwaandikia Tax clearance. Mzigo wa Kodi uliachwa kwa watumishi wa serikali au private (PAYE) pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo.
JPM alipoingia kwanza alitaka wafanyabiashara wakubwa wallipe Kodi na pia alifuatilia malimbikizo ya Kodi za nyuma ambazo wafanyabiashara hawa walikwepa kipindi cha nyuma.
Matokeo ya malimbikizo hayo ndo yalipelekea baadhi ya akaunti kushikiliwa na badhi ya biashara kufungwa. Kwa hiyo siyo kwamba wafanyabiashara walionewa au kubambikiziwa madeni na kuporwa pesa zao, hayo yalikuwa ni malimbikizo ya Kodi walizotakiwa kulipa kipindi cha nyuma.
Kinachoendelea awamu hii kwa kulegeza kamba kwa wafanyabiashara wakubwa matokeo yake itasababisha mzigo wa Kodi urudi kwa wafanyabiashara wadogo na wananchi maskini. Awamu hii ni awamu ya wafanyabiashara wakubwa kuneemeka na masikini kuwa na wakati mgumu zaidi.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app