Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Waziri Mwigulu: Makato ya Miamala ya Simu tunatunisha mfuko, ni 'Solidarity Fund'

Hahaha watu tunaongea Colloquial ya England kutokea Mitaa ya Borough na hatujitapi na Wala hatuwezi kuandika humu.

Ila wewe hizo slang kwanza huzijui unajifanya unajua, nikianza kukuandikia hiyo slang sidhani hata Kama uta reply.

Kiingereza hujui, Rudi shule. Nakushauri uwe unatumia kiswahili kabla hujaiva na kuwa mkomavu wa Kiinglishi otherwise unajiaibisha.


[emoji3][emoji3]
what's England ba de way? tell me how many type of inter. Eng. jo know! To mention a few!!

Forget about. sub branches!!!
 
Eti Specuration [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wewe ni mkurya nini

It's Speculation wewe tabulasa why do you force writing language you are not capable with ?
like I told u dis is another level...
Did u'learn common mistakes on ya 0ld primitive syrrab! School In de bush?
 
what's England ba de way? tell me how many type of inter. Eng. jo know! To mention a few!!

Forget about. sub branches!!!
To whom should I waste my energy mention the languages I master ? You ? No noooo you neither deserve nor capable to know as per your level of understand is shallow and shakable!!


Did you attend writing and comprehension teaching at primary school ?

Why so many writing mistakes in your phrases you write ?
 
Kuna siku nilisikia huyu mama anasema alisoma uchumi, mpaka unashangaa pamoja na taaluma yake hiyo ameshindwa kutambua kuwa kuongeza kodi ya dhuruma kwenye miamala ya simu ni kuuwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.

Serikali na wachumi uchwara wanakaa wanaweka jumla yakodi tatu kwenye muamala mmoja wa simu hizi si dharau za waziwazi nakutuona mazuzu ,wanapandisha kwa makusudi bei ya mafuta kitu ambacho ni kichocheo namba moja cha ushughuli za kiuchumi nchini.

Jambo la kuchekesha zaidi nikaona hapa hakuna kiongozi nikupunguza kodi kwenye vitu ambavyo havina tija kwenye uchumi wa nchii, yaani mtu anapunguza kodi kwenye betting/gambling ,pombe halafu anapandisha tozo kwenye gharama ya mafuta.

Yaani mama katika vipaumbele vyako vyote kwenye shughuli za kiuchumi nikuchochea kamali na unywaji pombe, vingine vyoote umepiga chini. Watu wanasema mwigulu anakufanyia hujuma sio kweli vitu vidogo kama hivyo havihitaji mpaka usome macro economics yaani umepwaya kweli kweli.

Oky kodi mmeshaanza kuchukua jee zitasaidia vipi wananchii kama sio kuibia masikini, Mama ebu rejea bajeti ya ofisi ya waziri mkuu ya mwaka 21/22 asilimia 80 ya bajeti yote ni matumizi binafsi asilima 20 ndio inapelekwa kwenye shughuli za maendelea.
Matumizi binafsi wanalipana posho mara mbili mbili, vikao visivyo na tija, wanakula bata huku wakiaacha raia kwenye janga la umasikini.

Uongozi mbovu,, muundo wa serikali mbovu, bunge bovu, katiba mbovu



Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1855593
zao la HARAM ni HARAM toka mwanzo.
ametokana na wizi wa kura, usitegemee mungu asimame naye, never.
 
like I told u dis is another level...
Did u'learn common mistakes on ya 0ld primitive syrrab! School In de bush?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] School in De bush ?

What's that myfoler ??


Hahaha Just Hahaha
 
Mama kamaliza kibubu cha marehem sasa inabidi atafute pesa zakujaza kibubu yeye alikuta pesa nyingi alijua zinaingia kama usiku na mchana. Yeye alisema wafanyabiashara walidhulumiwa pesa zao, lakin yeye ana dhulum pesa za wanyonge,, mataijir hawa tumi pesa kwenye mitandao ya SIM.
Alikuta hela nyingi uliziona au unasikiliza maneno ya kwenye kahawa?acheni propaganda za magufuli
 
Unaniuliza Mimi Hilo swali?
JPM ametekeleza miradi mingi kwa pesa za ndani kutokana na makusanyo ya kodi, ni miradi michache tu ambayo alilazimika kukopa pesa lakini tuliona matokeo sahihi ya mikopo hiyo.

Kumbuka miradi Kama SGR, Bwawa la umeme na mradi wa barabara wa njia nane kutoka kimara hadi kibaha aliamua kuanza kujenga kwa fedha za ndani baada ya kukosa mkopo, na miradi mingine mingi alitumia hela za ndani.


Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Nahisi amekuta nchi haina pesa sasa anafanyaje ili awezekuindesha inakua hakuna namnaa
 
JPM ametekeleza miradi mingi kwa pesa za ndani kutokana na makusanyo ya kodi, ni miradi michache tu ambayo alilazimika kukopa pesa lakini tuliona matokeo sahihi ya mikopo hiyo.

Kumbuka miradi Kama SGR, Bwawa la umeme na mradi wa barabara wa njia nane kutoka kimara hadi kibaha aliamua kuanza kujenga kwa fedha za ndani baada ya kukosa mkopo, na miradi mingine mingi alitumia hela za ndani.


Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Ubaya watanzania huwa hamsomi mnabaki kuokoteza taarifa za kwenye vijiwe ,

Kama hiyo miradi alikuwa anatumia pesa za ndani kwanini Deni la taifa katika awamu ya 5 lilipanda zaidi ya awamu zote ?

.........

Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete

Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais @MagufuliJP anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/Siku
IMG_20210716_151359.jpeg
 
Wewe ndo huelewi mambo, toka awamu ya nne wafanyabiashara wakubwa walikuwa hawalipi kodi halali, watumishi wa TRA ndo walikuwa wanachukua % kwa wafanyabiashara hawa na kuwaandikia Tax clearance. Mzigo wa Kodi uliachwa kwa watumishi wa serikali au private (PAYE) pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo.

JPM alipoingia kwanza alitaka wafanyabiashara wakubwa wallipe Kodi na pia alifuatilia malimbikizo ya Kodi za nyuma ambazo wafanyabiashara hawa walikwepa kipindi cha nyuma.

Matokeo ya malimbikizo hayo ndo yalipelekea baadhi ya akaunti kushikiliwa na badhi ya biashara kufungwa. Kwa hiyo siyo kwamba wafanyabiashara walionewa au kubambikiziwa madeni na kuporwa pesa zao, hayo yalikuwa ni malimbikizo ya Kodi walizotakiwa kulipa kipindi cha nyuma.

Kinachoendelea awamu hii kwa kulegeza kamba kwa wafanyabiashara wakubwa matokeo yake itasababisha mzigo wa Kodi urudi kwa wafanyabiashara wadogo na wananchi maskini. Awamu hii ni awamu ya wafanyabiashara wakubwa kuneemeka na masikini kuwa na wakati mgumu zaidi.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Point na ndio ukweli wenyewe.....
lkn kuna watu wana funza kichwani hawawezi kukuelewa
 
Back
Top Bottom