denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Ameyatafuta kwa tabu sana, kushinda twitter everyday, day and night.... mara hii ameshasahau "mistakes" alizofanya awamu iliyopita! Madaraka hulevya zaidi ya kilevi kikali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameyatafuta kwa tabu sana, kushinda twitter everyday, day and night.... mara hii ameshasahau "mistakes" alizofanya awamu iliyopita! Madaraka hulevya zaidi ya kilevi kikali!
Huyu waziri(Nape) Yuko Kasi sana,apunguze munkari.Analipwaje mwanahabari ^akati^ amefariki, wewe Nape? Mbona unakuja tena na spidi ya mwanga utapinduka vibaya huku kubaya?
Any outstanding and legal arrears....Kuwalipa malipo gani? Malimbikizo ya mishahara au mshahara wa mwezi January?
... na kujiliza mbele ya screen; "oooh kama baba yangu angekuwepo"; baada ya kuyapata ghafla keshalewa!Ameyatafuta kwa tabu sana, kushinda twitter everyday, day and night.
Waandishi wamekufa wakiwa ndani ya gari la serikali ambalo lilikuwa likiendeshwa kizembe kwa hiyo ndio inawajibu wa kwanza kulipa familia zao haraka sana iwezekanavyo. Mwajiri atawajibika tu kwa masuala yanayohusu ajira yakeWaziri wa Habari na Mawasiliano ya teknolojia ya Habari Nape Nnauye ni miongoni mwa waliofika uwanja wa Nyamagana kungana na RC Mwanza Injinia Robert Gabriel na Waombolezaji wengine kuaga miili ya Waandishi 6 waliofariki kwenye ajali jana
Natoa siku saba kuanzia leo kwa waajiri wote, kama kuna mwanahabari aliyefariki dunia kwenye ajali hii uwe umemlipa na taarifa za malipo yake yafikishe kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza. Tambueni tu leseni zenu ziko kwangu.
Ni siku ngumu kidogo kwangu, ni shughuli yangu ya kwanza hadharani baada ya kuaminiwa kwenye dhamana hii, ni shughuli ngumu kwa sababu tumekuja kwenye jambo gumu ambalo ni pigo kwa tasnia yetu ya habari, kwa kanda ya Ziwa na nchi yetu
Tupitie ajali zote zilizohusisha wanahabari kwenye misafara, viongozi wangu wameniagiza tuwaombe wenzetu wa jeshi la polisi watuletee ripoti za ajali hizi tuone kwanini zinagusa wanahabari na tuchukue hatua ya kuwalinda
Pia soma > Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza
STL hazina Bima.... serikali inataka kujitoa kimtindo wakati walikuwa wanaenda kuandika habari za serikali na walikuwa wamebebwa na serikali (STL) na sio waajiri! Kwa mfano, suala la bima (ya ajali) hapo inakuwaje? Chombo kilichosababisha ajali ni cha waajiri?
KabisaWaandishi wamekufa wakiwa ndani ya gari la serikali ambalo lilikuwa likiendeshwa kizembe kwa hiyo ndio inawajibu wa kwanza kulipa familia zao haraka sana iwezekanavyo. Mwajiri atawajibika tu kwa masuala yanayohusu ajira yake
Nape aache vitisho mbuzi
Ana kurupuka sijui bado haja jifunza kwakilicho mpata kwenye awam ya 5 yakukurupuka kumuundia tume mteule wa Rais na kutoa hukumuUkisikia mihemuko ndo hii nape bado kichwani mafile hayajakaa vizuri.
Hii Wizara kuwekewa Habari inameza lengo kuu la kuwa na Wizara ya TEHAMA.... inshu hapa zitakuwa kufungia magazeti, tv...waandishi wa habari. Na mwisho wa siku pia itakosa Waziri sahihi kwenye hii Wizara watawekwa wa tantalila ...Waziri wa Habari na Mawasiliano ya teknolojia ya Habari Nape Nnauye ni miongoni mwa waliofika uwanja wa Nyamagana kungana na RC Mwanza Injinia Robert Gabriel na Waombolezaji wengine kuaga miili ya Waandishi 6 waliofariki kwenye ajali jana
Natoa siku saba kuanzia leo kwa waajiri wote, kama kuna mwanahabari aliyefariki dunia kwenye ajali hii uwe umemlipa na taarifa za malipo yake yafikishe kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza. Tambueni tu leseni zenu ziko kwangu.
Ni siku ngumu kidogo kwangu, ni shughuli yangu ya kwanza hadharani baada ya kuaminiwa kwenye dhamana hii, ni shughuli ngumu kwa sababu tumekuja kwenye jambo gumu ambalo ni pigo kwa tasnia yetu ya habari, kwa kanda ya Ziwa na nchi yetu
Tupitie ajali zote zilizohusisha wanahabari kwenye misafara, viongozi wangu wameniagiza tuwaombe wenzetu wa jeshi la polisi watuletee ripoti za ajali hizi tuone kwanini zinagusa wanahabari na tuchukue hatua ya kuwalinda
Pia soma > Simiyu: Watu 14 wafariki dunia kwenye ajali katika msafara wa Mkuu wa Mkoa Mwanza
Alikuwa sahihi sema shida ni wakatiAna kurupuka sijui bado haja jifunza kwakilicho mpata kwenye awam ya 5 yakukurupuka kumuundia tume mteule wa Rais na kutoa hukumu
Hakuwa sahii kuna wateule wa Raisi wana wajibika kwa Rais mfano mkuu wa majeshi hawezi kumuundia tume ya kumchunguza mkuu wa Uhamiaji, mkuu wa magereza , ndiyo maana kuna matukio mengine raisi ana unda tume ya kuchunguza, we waziri una muundia tume mkuu wa mkoa kwa kifupi aliingilia majukumu ya Rais mkuu wa mkoa ni mteule wa Raisi na ana wajibika kwa Raisi .Alikuwa sahihi sema shida ni wakati