Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Ina maana magari ya Serikali hayana Bima? Siamini hicho kitu.Tumerudi utawala uliopita? Makampuni binafsi yanataratibu za kuwalipa wanaopata ajali, hao wahusika hawakupanda gari za makampuni yao na hili liwe fundisho kwa waandishi wa habari kwa kupenda chee!
Waandishi hawa wamepata ajali kwenye gari ya serikali, sidhani kama ina bima. Kutokana na gari kuwa si ya mwajiri sijui hapo mwajiri anahusikaje! Mheshimiwa waziri chukua jukumu la kuubeba msiba na malipo majeruhi na waliofariki na si kuonesha ubabe.
Serikali inatakiwa kusimamia sheria na kuwa mfano kwa raia.