Na CCM ndio hawataki kubadilisha katibaTatizo la nchi hii ni katiba mbovu alioiacha Mwalimu huku akijua ikipata kiongozi asiye na hekima yeye ndie atakuwa executive, judiciary na parliamentary. Na si hivyo tu, bsli atakuwa mungu mtu na asihojiwe na yeyote. Katiba hii inaruhusu yeye awe kila kitu. Hata wanaotakiwa kumshughulikia kiongozi anayeharibu nchi (mavipenyo) yeye ndie anawachagua na wanamuogopa. Fikiria nchi kama Marekani ingekuwa na katiba bomu kama hii, nakuhakikishia Trump angewatesa sana na asingetoka madarakani. Maskini wee, Mwalimu alifikiri wote huwa wana hekima, hakujua hata wasio na hekima (wapumbafu) huwa wana fluke na kupata vyeo vikubwa!
Ngumu Sana kukamilika ukichangia na Hili janga la corona tenaHii miradi kweli itakamilika kabla ya 2025?
Hii ya
Madeni ya HESLB ni noma sana, plus ukosefu wa ajira na kuzuiwa kwa mafao.
Nihatari kwa Usalama wa nchi yetu. Nivema wahusika wakawajibika.
Ikitokea mtu mmoja akawaunganisha wahanga hawa nchi inaweza ingia matatani
Mh! Raisi wangu naomba uliangalie hili ili lisije chafua kazi nzuri unayofanya.
Wabunge wa upinzani walionya mapema bungeni. Ndugai na viherehere wa Ccm wakaoitisha kwa wingi wao. Walidhani ina wahusu Chadema na Act wazalendo. Sasa wako wenyewe wana hadaa motion wameianzisha wao.Mikopo ya elimu ya juu hailipiki na huu ndio ukweli sababu ya ujinga wa Value Retention fee ya 6%.
Mfano: Mnufaika asiye na ajira rasmi anatakiwa kulipa 100000 au 10% ya kipato anachokilipia kodi kwa mwaka. Mimi nilifungua stationery walipokuja kunikadiria kodi nilitakiwa kulipa 200,000/= kwa mwaka.
Kwahiyo 10% yangu ni 20,000/= ndio natakiwa nilipe bodi kila mwezi. Mkopo wangu ni milioni 10. Nikilipa kwa mwaka nitalipa laki 2.4. Deni litabaki milioni 9 na laki 7 na sitini elfu.
Mwaka unaofuata hili litaongezeka kwa 6% ambayo ni sawa na laki 5 na point hivyo deni langu litarudi milioni 10 laki 3. Kwa hali hii nani atajileta kwa hiari?
Bado kuna wale vijana waliosoma nje ya nchi ada zao kwa dola kisha wakija nchini mishahara laki 7, unafikiri deni watamaliza?
Peleka muswada wa mabadiliko ya sheria ya HESLB ili tuone kama kweli elimu yako ya uprofesa ni genuine.
Muda bado upo.
Huyo bora asiajiriwe tu, maana deni lake now ni karibia mara 10 ya alichokopaKwahiyo hili hawalioni? Hebu fikiria kijana ambae hajaajiriwa tangia 2015 retention fee yake inasoma tu na hajui ataajiriwa lini
HahahhhahahInasikitisha sana, lakini kila tukipiga kura ili kumaliza huu uonevu bado kura zetu hazitoshi
Msamehe bure... Pengine hata haelewi alichoandika... Inawezekana hajui hata kinachoongelewa hapa... Si unaona hata mwandiko wake ulivo mbovu!!Rudia kusoma alichoandika mkuu, pengine unaweza kuelewa na ukchangia kwa hoja nzuri na yenye mashiko.
Mleta mada hajakataa kulipa huo mkopo, anazungumzia changamoto ya retention fee na riba inayoongezeka kila mwaka kadri unavochelewa kuanza kurejesha mkopo, pamoja na ile Asilimia waliyopandisha kutoka 8% hadi 15%. Hivo vitu ni maumivu sana
Nadhani ungekuwa na mtoto anapata mateso ya huo mkopo usingeandika kwa kejeri namna hiyo.
Kuwa mstaarabu ndugu huenda wew ni mnufaika wa utawala huu kaa ukijua kuna wahitim wa vyuo vikuu wanasota kurudisha mkopo wa Bodi ya mikopo.
Kiufupi huo mkopo haulipiki, basi tu hujui adha tunayoipata.
Kuna siku kama sijakosea alisema serikali kwenye makato ya heslb ina haki ya kukata ata mpka robo tatu ya mshahara.😫😫Mikopo ya elimu ya juu hailipiki na huu ndio ukweli sababu ya ujinga wa Value Retention fee ya 6%.
Mfano: Mnufaika asiye na ajira rasmi anatakiwa kulipa 100000 au 10% ya kipato anachokilipia kodi kwa mwaka. Mimi nilifungua stationery walipokuja kunikadiria kodi nilitakiwa kulipa 200,000/= kwa mwaka.
Kwahiyo 10% yangu ni 20,000/= ndio natakiwa nilipe bodi kila mwezi. Mkopo wangu ni milioni 10. Nikilipa kwa mwaka nitalipa laki 2.4. Deni litabaki milioni 9 na laki 7 na sitini elfu.
Mwaka unaofuata hili litaongezeka kwa 6% ambayo ni sawa na laki 5 na point hivyo deni langu litarudi milioni 10 laki 3. Kwa hali hii nani atajileta kwa hiari?
Bado kuna wale vijana waliosoma nje ya nchi ada zao kwa dola kisha wakija nchini mishahara laki 7, unafikiri deni watamaliza?
Peleka muswada wa mabadiliko ya sheria ya HESLB ili tuone kama kweli elimu yako ya uprofesa ni genuine.
Muda bado upo.
Yani wanafanya kazi ya kulinda vibarua siyo masilahi ya wananchiProfesa anayesikia tu tamko la mkulu kuwa lianzishwe somo la Historia ya Afrika Kusini haipiti hata saa 24 tayari ashatangaza kuanzakwa somo hilo kuanzia la kwanza mpaka kidato cha Sita tena kwa Kiswahili ili mradi mkuu afurahi yaani
Ajakataa kulipa tatizo lipo unalipa unategemea deni linapungua kumbe bado lipo pale paleLipa madeni ya serikali na wengine wakope ili wasome kama wewe ulivyo someshwa. Kwani kuomba mkopo ulilazimishwa? Kama ulijua huo mchanganuo, kwanini hukukataa kuchukua huo mkopo? Umeanza kuleta michanganuo ya deni na ukali wake baada ya kuhitimu shahada yako. Unafahamu kuwa wapo ambao wamesitisha masomo baada ya kukosa huo mkopoo? Dawa ya deni nikulipa.
Haaaa haaaaa. Basi aombe waongezee maaanaaa ni balaaa. Ila kipindi kile boom likitoka, ilikua shereheee. Haaaaa haaaa.Ajakataa kulipa tatizo lipo unalipa unategemea deni linapungua kumbe bado lipo pale pale
Hawa Viongozi Hawana Watoto?
Uzalendo ni kusoma historia? Yaani usome historia mpaka chuo kikuu halafu unyimwe ajira huku watoto wa vigogo wakiajiriwa kimyakimya . Ili uitwe mzalendo eti usilalamike?Huyo unayemuomba mwenyewe muda huu amechanganyikiwa kuandaa vitabu vya somo la historia ya Tanzania kwa ajili ya wanafunzi wa chekechea mpaka chuo kikuu!
Sijui hata kama ana muda wa kuusoma huu ushauri wako! Maana ana upigania huo Uwaziri wake kwa namna yoyote ile baada tu ya kutishiwa kutumbuliwa kwa ulegevu wake na kusuasua kuanzisha hilo somo haraka, na Mzalendo namba 1 Nchini.