Waziri Selemani Jafo ashauri kuanzishwa kwa wiki ya nyungu katika kupambana na Corona

Mkuu, huu ni ubashirii au ndivyo ilivyo?

Thibitisha mkuu
Maiti zingekuwa zinasema basi Ndassa angetoa ushuhuda muhimu sana. Laiti angemsikiliza Ndugulile basi muda huu angekuwa ameshapiga supu yake ya mbuzi asubuhi hii tayari kwa kuingia mjengoni ila ndo hivyo leo anazikwa.
 
Nimeguundua hili swala la kujifukiza ni mpango na tusishangae kuona masufuria hospitali na wagonjwa kuanza kufukizwa
 
Toka kumuomba Mung had kujifukiza nyungu, mbona watanzania tunamtania Mungu hivyo?
 
Mkuu, Jana nilimsikiliza Mtalamu wa tiba asili simkumbuki vizuri jina Ila alikuwa na mahojiano maalumu na starTv tarifa ya saa mbili usiku

Alishauri hivi, usijifukize ikiwa joto la mwili litakuwa limepanda Sana, kufanya hivyo ni kujiuwa huku unajiona

Na pengine kama ni kweli kuhusu mbunge, labda alitumia joto la mwili wake likiwa liko ktk kiwango cha hatari
Maiti zingekuwa zinasema basi Ndassa angetoa ushuhuda muhimu sana. Laiti angemsikiliza Ndugulile basi muda huu angekuwa ameshapiga supu yake ya mbuzi asubuhi hii tayari kwa kuingia mjengoni ila ndo hivyo leo anazikwa.
 
Ushauri wa Mkemia umefanya kazi kweri kweri.
 
CCM haya tafuteni siku mjifukize,
iiteni CCM mfukizo day!!
 
Jafo ni Mzaramo kwa hiyo haishangazi kwa hayo aliyoyasema. Mzaramo na mambo ya uganga ni kama chupa na kizibo
 
Na yule wa upupu na pili pili kichaa msisahau kumtengea siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…