Waziri Stergomena Tax ashiriki Ibada ya Pasaka Kigango cha Shishani Wilayani Magu

Usiseme siku muhimu kwa wakristo sema sikukuu muhimu kwa wakatoliki. Hii ni siku ya kipagani kwa sisi wakristo WA kweli wa efata.
 
..Musukuma na genge zima la Magufuli wanakwenda kuenguliwa kwenye chama.

..Na Musukuma akijifanya mjanja wanakwenda kumbinya kwenye biashara zake.

..walimdhalilisha na kumtukana Upendo sasa Maza kaamua kumuinua.
Sijajua usafi wa pendo peneza,,Huyu dada na baba yake ndo wamekua wanawalagainwananchi vinavyozunguka mgodi wa TemboNickel huko ngara ili wao walipwe fedha nyingi nakuwaacha wanna hi wakiwa maskini.Huyo oeneza siyo mtanzania wa asili bali ni mnyarwada
 
Mbona wote walioki serikalini ndo maisha Yao yakuchuma serikalini na kustaf wakisubiri kula mafao
 
Kwanini huyu mama aliachana na jina la Bamwenda?
Hebu ongeza nyama kidogo mkuu nasi tuyajue ma2,ma3 kuhusu yeye na hilo jina la Bamwenda.

Isije ikawa ni mambo ya kutalikiana ndiyo yalisababisha.
 
Hebu ongeza nyama kidogo mkuu nasi tuyajue ma2,ma3 kuhusu yeye na hilo jina la Bamwenda.

Isije ikawa ni mambo ya kutalikiana ndiyo yalisababisha.
Enzi hizo akiwa mwalimu akiitwa Stergomena Tax Bamwenda.... baada ya kuanza kupanda ngazi za mamlaka nikakutana nae siku moja nikaona amelikata hilo jina la Bamwenda na kuishia kwenye Lawrence Tax....

Namimi kabla sijaongeza yakwangu natamani kujua toka kwa watu wa karibu ilikuaje?
 
Huyo mama hajawahi kupambana mwenyewe ktk maisha yake... all her life amebebwa tangu akiwa mwalimu hadi kuwa mkuu wa SADC!!

Hata huo ubunge alonao kachotewa kwenye sahani na sidhani hata kama anaweza kupiga kampeni... inshore hata uwaziri anabembelezwa kama mtoto aendelee nao.
 
..Dr.Stergomena Tax jimbo la Magu.

..Upendo Peneza jimbo la Geita vijijini.

..Joseph Musukuma anakwenda kuenguliwa.


..
Huyu mama hawezi gombea ubunge!! Hata kutamka CCM oyee tu hawezi!! Katika mazingira ya sasa huyu mama hatoboi....

Maisha yake yote kazoea kubebwa beware sana na wenye maamuzi hasa kwa vileeee.... kajichokea sana huo uwaziri tu anabembelezwa tu....
 
Hiyo kawaida sana mkuu. Hapa jijini Dar kuna mbunge wa kike ambaye naye alikuwa mwalimu kabla ya kuingia kwenye siasa jina lake la awali alikuwa anaitwa Bonnah Moses Kaluwa.

Baada ya mumewe Dr. Kaluwa kumfumania huko Dodoma akila uroda na Anthony Mavunde akavunja ndoa na kufungua kesi ya kumtaka mbunge huyo wa sasa wa Jimbo la Segerea kukoma kutumia jina lake. Hivyo amelazimika kuondoa jina Kaluwa. Hivi sasa anaitwa Bonnah Moses (...sijui nani nani).
 
Huyu mama hawezi gombea ubunge!! Hata kutamka CCM oyee tu hawezi!! Katika mazingira ya sasa huyu mama hatoboi....

Maisha yake yote kazoea kubebwa beware sana na wenye maamuzi hasa kwa vileeee.... kajichokea sana huo uwaziri tu anabembelezwa tu....

..Dr.Stergomena ana PhD toka Japan.

..amefanya kazi serikalini na akapanda ngazi kama watumishi wengine, mpaka ikaonekana anafaa kuwa Katibu Mkuu wa Sadc.

..kusema kwamba amebebwa sio sahihi. Pia tusimhukumu kwa muonekano wake.
 

..Upendo na babaye wanawadanganya kivipi wananchi?

..hebu fafanua hoja yako ili tukuelewe.

..kama amezaliwa na kusomea Tanzania huyo ni mwenzetu hata kama wazazi ni Wanyarwanda.
 
..Dr.Stergomena ana PhD toka Japan.

..amefanya kazi serikalini na akapanda ngazi kama watumishi wengine, mpaka ikaonekana anafaa kuwa Katibu Mkuu wa Sadc.

..kusema kwamba amebebwa sio sahihi. Pia tusimhukumu kwa muonekano wake.
Namfahamu huyu mama tangu akiwa mwalimu hadi kuwa katibu mkuu wizara fulani kisha SADC!! Siongei kwa kukisia huyu mama bila JK asingefika hapo alipo!! Huyu mama kuna kipindi akiwa MFA alichoka kabisa mwisho wa siku akamuomba Samia amrudishe ulinzi kusiko na heka heka....

Kipindi TZ inatakiwa kutoa katimku mkuu wa SADC kulikua na vichwa wengi tu waliopendekezwa akapelekwa huyu mama na kulidorora sana huko SADC!

Hiyo kumhukumu labda umemhukumu wewe mi nimetoa tu wasifu wake....

Bottom line: Kwanini siku hizi hatumii tena jina la Bamwenda?
 

..hakuna mtu serikalini au kwenye siasa anayepanda kwa nguvu zake mwenyewe bila msaada wa wakubwa zake.

..tatizo mtu huyo anapokuwa mwanamke basi anaanza kupewa sifa mbaya za kumvunjia heshima na utu wake. Utamaduni huo sio mzuri.

..Dr.Stergomena ni msomi wa ngazi ya PhD aliyoipata Japan. Mtumishi wa serikali akiwa na PhD moja kwa moja anakuwa ktk shortlist ya kupata uteuzi wa Raisi.

..Hivyo ndivyo huyu Mama alivyopanda ngazi akiwa serikalini na haswa akitumikia ktk Wizara ya Fedha.

..Nafasi ya Katibu Mkuu wa SADC huwa ya ushindani. Sio suala la zamu kwa nchi wanachama. Na wahusika hufanyiwa usaili ikiwemo na wakuu wa nchi za SADC. Dr. Stergomeno alipitia mchakato wa ushindani na wagombea wengine na akaibuka kidedea.

..Sasa unaweza kusema alibebwa ktk hatua ya kupendekezwa na serikali ya Tz. Swali linakuja, kama alikuwa hafai, au hana sifa, aliwezaje kushinda mchakato unaohusisha kusailiwa na nchi zote wanachama wa Sadc?

..Kwa maoni yangu huyu Mama amesoma vizuri na ana uwezo. Huenda kihistoria ndiye Waziri wetu wa ulinzi mwenye elimu kubwa, na uzoefu wa kimataifa, kuliko watangulizi wake.
 
Wewe utakua na mambo yako binafsi mbele ya huyu mama!!

Umekazana sana na PhD sijui ya Japan na blah blah nyingi! Stergomena ndiye mtu wa kwanza nchi hii kuwa na PhD na akabebwa? Hivi PhD kwako ndo kipimo cha akili na utendaji bora kwa mtanzania??

Unaonekana huna facts:: unasema huyu ndo msomi wa kwanza kuongoza wizara ya ulinzi? Vipi Prof Kapuya? Prof Sarungi?

Tangu lini nchi hii ukiwa na PhD tu ndo unakua katika shortlist ya Rais? Are you sure? Aisee ni wazi una mambo binafsi na huyu mama maana umeandika kwa hisia sana. Nani kamdhalilisha huyu mama? Huyu mama mimi namfahamu binafsi kitambo sana na nimefanya naye kazi kwa karibu nikiwa MFA nayeye akiwa SADC!!

Eti amegombea unazijua taratibu za kumpata Katibu wa SADC? Unajua anapendekezwaje kwenda huko?

Kuna wasomi wangapi wamepitia vyuo bora kabisa duniani ni wajinga kupindukia utadhani hawajaenda shule?

Kwq taarifa yako zaidi ya 70% ya viongozi wenye PhD serikalini walizipata huko duniani kwenye vyuo bora sana na hizo nafasi walizipata kwa dirisha la msaada kwa nchi za maskini wengi tu na tunauona ujinga wao!!

Nimekushangaa sana kuhusudu PhD ya Japan eti ndo SI Unit kwako kupima kiongozi bora!! Sijaona hoja uliyoweka kuthibitisha bora wa huyu mama zaidi ya ngonjera za PhD ya Japan.

Kuwa bold mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…