Waziri Uingereza atimuliwa kazi kwa tuhuma za ushoga!!!

Uliingia Bondeni Hotel au Travertine hotel ? Alikupa sh.ngapi kibaharia?
 
hawa watu mbona hawaeleweki
wao si wanaupigia chapuo ushoga mpaka kwenye kwenye vilabu vyao vya mpira waziri wanamfukuza kwann sasa
Wanaeleweka sana tu, tatizo mnashindwa kuelewa lengo lao kuu ni kuiharibu Africa tusizaliane sana pia miongoni mwao ni mawakala wa shetani kuendeleza inshu zilizokatazwa na Mungu.

Pornography (video za X na picha za uchi ), muvi, tamthilia, mitandao ya simu kama Telegram, Instagram Facebook, Badoo, WhatsApp n.k hutumika vibaya sana kuchochea vijana wengi washawishike kutamani kufanya ufiraji/ufirwaji, usagaji, kujichua, kujamiiana kupitia dildos au Ke kujitomba kwa uume bandia.

Kijana mwenye hekima hatakiwi kabisa kuwa limbukeni wa hiyo mitandao la sivyo awe na nidhamu kubwa sana kutohemukwa na huo upumbavu napo ni vigumu sana.

Nina miaka 9 hadi sasa hivi natumia JF, Goal.Com, WhatsApp, Konde TV(football games) Google, YouTube na namshukuru sana Mungu nina mipaka ya matumizi nayo kwa vitu muhimu sana na sina Rafiki mzuri yeyote muhimu zaidi ya Mke wangu pekee.

Si kila kitu ni cha kuiga hapa duniani, ni heri upitwe na vingine uonekane mshamba kwa faida ya maisha yako we mwenyewe na familia yako ya sasa na baadaye.

KUPANGA NI KUCHAGUA NA MAISHA NI WEWE MWENYEWE.
 
No...nadhani mleta mada hujaelewa unalolizungumza...ni kwamba alipolewa alijaribu kumtongoza mwanaume mwenzake....
Hapo kuna starting point "POMBE"
huo u lesbian umemtafutia...
 
No...nadhani mleta mada hujaelewa unalolizungumza...ni kwamba alipolewa alijaribu kumtongoza mwanaume mwenzake....
Hapo kuna starting point "POMBE"
huo u lesbian umemtafutia...
Hakuna utetezi wowote kwa kosa lolote kwa kigezo cha kunywa pombe na kulewa, soma vizuri sheria ili uongeze maarifa.

Vipi ikiwa Mtu flani alidhamiria kuua kisha akaenda kulewa ndipo akaua, napo utasingizia pombe?
 
Mfiraji ni Mfirwajii wa badae ni swala la mda tuu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Nahisi hiyo dhambi hata niweje siwezi itenda πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ kuchokonoa choo kama natapisha nyaa siwezi
Hahahahaaa haipogo hivyo ni episode au chapters za fursa mfano fursa mateka
 
Daah haya mambo mazito Sana
 
Hakuna utetezi wowote kwa kosa lolote kwa kigezo cha kunywa pombe na kulewa, soma vizuri sheria ili uongeze maarifa.

Vipi ikiwa Mtu flani alidhamiria kuua kisha akaenda kulewa ndipo akaua, napo utasingizia pombe?
Utetezi upo ila siyo bongo ndiyo maana umekariri
 
Msalie mtumee....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…