Waziri Uingereza atimuliwa kazi kwa tuhuma za ushoga!!!

January Makamba
Mkuu kuwa makini, humu hatujajificha kiasi unachofikiri,
Bora ungetaja kwa code, umetaja jina kamili, huyo jamaa ni mmoja wa mahacker hatari, unaweza kukutana nae bila kutarajia, au ukajikuta Kisutu,
Sikutishi mkuu, lakini usijiamini kupitiliza utakuja kulia kwa vitu vidogo.

HAO NDIO WENYENCHI KWA SASA
 
kwa sababu alikuwa anaosha miguu saloon, na kusugua kucha au kuna lingine??? lkn Mtangamuhaya yule mjue ooohhh!
Kuweni makini guys af Mtanagamuhaya kivip? Hakuna muhaya Kwanza wahaya na ushoga wap na wap Wahaya mwanamke aliezaa Tu nyumbani huwez kumtambulisha wazee hawampokei kama mkwe wao ndo umpeleke mwanaume mwenzako??
 
Amini mwanangu hao watu ni wakubwa aisee humu tunazungumza Tu ila tupo vulnerable Sana unaweza ukapotezwa af Kwa nin tutaje majina ya watu Aaah Jaman ni risky sana
 
Chama. Ni conservatives.

Wahafidhina hao

They believe in nature in all ways
 
January Makamba ni kilaza tu therefore stop threatening that guy.
 
Mkuu kama hautojali nipe connection kwa huyo maza asiye na furaha
 
Yeah...kwangu mimi hata kufira demu ni ushoga
 
huyo jamaa ni mmoja wa mahacker hatari, unaweza kukutana nae bila kutarajia, au ukajikuta Kisutu,
Sikutishi mkuu, lakini usijiamini kupitiliza utakuja kulia kwa vitu vidogo.
Duuu!! amekuwa hivo siku hizi???.......basi wata mulilia Jiwe wao tu, aje kuwaokoa, make yule ndo kiboko yake, mpaka aliomba msamaha! live!! uongo??...alishikwa utamuu anamteta jamaa! akawa mdogooo km priton,

unasema nikuwekee Kilipuu!...atakuja jiwe mwingine mutaona maajabu
 
najiulizaga kama mtu yupo timamu , ushoga wake unampunguzia nn kweny ufanis wa kuiongoza jamii ?
Mtazamo wa jamii ni kwamba Hana maadili, na hivyo haiwezekani asiye na maadili aongoze jamii kwa ufanisi, kama amekubali kuwa shoga. Kesho atakubali ufisadi, au usagaji. Your values and attitutes matter so much in anything you do!
 
Ah wapi pumbavu zake January Makamba.

Aje anikamate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…