Tena waambie huko us $200,000 tu unapata nyumba
Mbona huku bongo unakuta mbweni huko mtu kajenga nyumba kagaramia
Mln 600,000
Sasa ukirudi kwa jk urais wote atashindwa kweli kumiliki mjengo usa
Ova
johnthebaptist wenzio wanalamba asali
State ipo, maana kule kuna state nyumba gharama juu mfano New York. Au unasema Montana kule kwenye mabarafu mwaka mzima.Marekani hata mtanzania mwenye mln 300,400 Ana nunua nyumba huko
Akitaka
Ova
Point kubwa sana hii, CCM kindakindaki wanaruka ruka tu hapoSwali kuu ni kwamba aliinunua TSH ngapi??.........na pesa aliitoa wapi?.....tuulizane Tu kirafiki kama wanavyouliza TRA Kodi ya Kwanza ulianza kulipa lini? Na je Una Mali ya kiasi gani? Baadaya kuingia kwenye 18 zao
CHAWA kazi yao kulinda legacy tu, hata kwa jambo lililo wazi kabisa kama hiliWako Newyork Kuna Mkutano wa issue za maji huko
AiseeRoho mbaya ya watanzania, hakuna ajabu mtu kama JK kumiliki nyumba marekani , mbona hata lowasa ana nyumba huko, ni kawaida sana na sii hao tu , viongozi wengi wana nyumba marekani hata VP wa sasa ana nyumba State na alinunua akiwa benki ya dunia
Tena New YorkWe endelea tu na "tunakuheshimu," mwenzako ana nyumba states, yaani United States of America.
Mbona kinyonge sana ndugu, umekata tamaa kabisaWaafrika ni laaana ya dunia.
Naendelea na ujenzi ndugu, lakini jasho letu hilo linatafunwaJenga nchi wewe acha wivu...
Huyu ana kazi na UN hivyo kuwa na makazi NY ni kawaida,lazima UN wamempa nyumba.JK ana nyumba state? Mwanasiasa si mwenzio
Ajabu sanaKwann awe na nyumba huko huku akituhimiza uzalendo
Acha ubishi ndugu, amka toka usingizini. Ulitaka hadi umuone Joe Biden hapo kwenye makazi binafsi?Huko New Yokuuu au wapo hapo bagamoyo mzee, new yokuu hata mazingira ya nje hayaonekania
Bora umesema ukweli ndugu, kuna watu huyu bwana aliwahadaa na kuwaminisha kwamba yeye ni mzalendo kweli kweli kwa kusomesha kijana wake pale UDSMJk nyumba ya marekani kaanza kumiliki toka akiwa waziri wa mambo ya nje, kitambo sana
Huyo bangalow lake litavuja tu hapa siku moja, tutawaleteaAnakopa trillion 50 ndani ya miaka miwili halafu akose nyumba USA?.
Ametengeneza empire tayari, royal family itaendelea kusumbua tuUzur umri umeenda.. Wacha amalizie malizie rizk yake
JK ana vijana wake wengi sana tangu kwenye serikali ya JPM na hadi sasa. JPM aliunganishwa na MAMLUKI wengi sanaWana connection gani hasa? Baba mkwe au?
Wewe endelea kuwapambania tu, kwa kuikataa katiba mpyaHawa wenzetu Wana nyumba Nchi ngapi ngapi kwani?