Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Unaongea kujifurahisha sio? Hahah, anyway, tukaze tu.., mi nimeshauona mwanga, na nitaufikia...
 
Kuwa na nyumba US wakati una miaka 80 ina faida gani? Au kwa faoda ya Rizwani? Sii angejenga hata hoteli hapa tz watu wakapata kazi ?
kwani umeambiwa kaizindua leo?

unajua 'Ulipo tupo' bin Safari ya Matumaini bin Maamuzi magumu kazaliwa 1953 lakini 1993 , Muasisi akiwa Chairman wa South south corporation alijikuta anafanya Mkutano kwny Hotel ya Jamaa huyo bila kujijua
 
View attachment 2565556
The Benjamin hotel New york
HUYU BENJA KAJIOZEA ZAKE HUKO MTWARA HALAFU KAACHA MAJUMBA YA KIFAHARI UGHAIBUNI.

YAANI VINGINEVYO HAWA WAHUNI WAWE NA UJUZI WA KIROHO WA KUHAMA MWILI MMOJA KWENDA MWINGINE BAADA YA KUFA- KAMA YULE MWENZAO WA MUSOMA.

ANAKUFA ANAHAMIA MWILI MWINGINE. QUANTUM IMMORTALITY. Hahahaa.

KWA SABABU BILA HIVYO, HUU UFISADI WOTE NI KWA FAIDA YA NANI HASWA?
 
Unaongea kujifurahisha sio? Hahah, anyway, tukaze tu.., mi nimeshauona mwanga, na nitaufikia...
Harafu sio kujifurahisha inategemea wewe unaichukuliaje maisha na ni mambo gani yanakupa furaha..

Mfano Mimi binafsi sijawahi ona furaha ya Maisha eti Kwa kuwa na gari ya bei mbaya , yaani Sasa hapo unapataje furaha? Ila Kuna watu hapo kwenye magari huwaambii kitu..

Mimi napenda nikiwa na pesa Mingi niwe nafanya jambo Kwa watu ambalo nikifa ibakie alama,pia kwangu binafsi furaha yangu ni adventure yaani kusafiri napenda Sasa Sina pesa za kumudu kufika Kila sehemu nayotamani..

So naendelea kukaza ,mfano saizi ilitamkwa niwe zangu huko Mauritius napiga picha na video na kutembea mjini na beches huko.😁😁
 
Moja ya sifa kubwa ya sisi Masikini ni kuwa na kukariri data za namna hii …hata Mimi nawajua Matajiri wengi na utajiri wao kuliko wanavyojijua
 
Swali kuu ni kwamba aliinunua TSH ngapi??.........na pesa aliitoa wapi?.....tuulizane Tu kirafiki kama wanavyouliza TRA Kodi ya Kwanza ulianza kulipa lini? Na je Una Mali ya kiasi gani? Baadaya kuingia kwenye 18 zao
 
Hivi Benjamin mwenyewe mnamfahamu au mpo mpo tu
Kwamba hizo hotel ulizoweka juu hapo ni zake 😄
Yule mwamba hata kama ingekuwa ni zake sidhani kama angeruhusu ziandikwe kwa jina lake
 
Kwamba hizo hotel ulizoweka juu hapo ni zake [emoji1]
Yule mwamba hata kama ingekuwa ni zake sidhani kama angeruhusu ziandikwe kwa jina lake
Km watoto wake watu wengi wamewajua msibani, ndo aandike jina lake kwa Mali zake tena ughaibuni??
Mmmmh
 
Hapibesidei kwa waziri wetu.

Shukrani kwa JK kumheshimisha waziri wetu.

Inatia faraja sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…