Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Waziri Uweso akisherehekea birthday yake nyumbani kwa JK hapa New York, Marekani

Sitamani kuwa tajiri ila kuwa na pesa za kukidhi mambo ya msingi maana hata nikiwa na mapesa mengi mwisho wa siku sijaona kama ni big deal sana hasa Kwa mtu kama mie ambae sinywi pombe sitoweza kufaidi hizo pesa nyingi..

Uzuri wa Jk Kwa kuwa ana pesa ila ana majukumu ya Kimataifa nk so anapata pa ku spend na kupata credit zaidi..

Na pia raha ya hayo mapesa uwe unatumia Kwa wahitaji nk kama unavyoona Mo anafanya ndio inakuongezea value ila ukikaa nayo tuu unarundika hakuna thamani ya maisha utaiona..
Unaongea kujifurahisha sio? Hahah, anyway, tukaze tu.., mi nimeshauona mwanga, na nitaufikia...
 
Kuwa na nyumba US wakati una miaka 80 ina faida gani? Au kwa faoda ya Rizwani? Sii angejenga hata hoteli hapa tz watu wakapata kazi ?
kwani umeambiwa kaizindua leo?

unajua 'Ulipo tupo' bin Safari ya Matumaini bin Maamuzi magumu kazaliwa 1953 lakini 1993 , Muasisi akiwa Chairman wa South south corporation alijikuta anafanya Mkutano kwny Hotel ya Jamaa huyo bila kujijua
 
View attachment 2565556
The Benjamin hotel New york
HUYU BENJA KAJIOZEA ZAKE HUKO MTWARA HALAFU KAACHA MAJUMBA YA KIFAHARI UGHAIBUNI.

YAANI VINGINEVYO HAWA WAHUNI WAWE NA UJUZI WA KIROHO WA KUHAMA MWILI MMOJA KWENDA MWINGINE BAADA YA KUFA- KAMA YULE MWENZAO WA MUSOMA.

ANAKUFA ANAHAMIA MWILI MWINGINE. QUANTUM IMMORTALITY. Hahahaa.

KWA SABABU BILA HIVYO, HUU UFISADI WOTE NI KWA FAIDA YA NANI HASWA?
 
Unaongea kujifurahisha sio? Hahah, anyway, tukaze tu.., mi nimeshauona mwanga, na nitaufikia...
Harafu sio kujifurahisha inategemea wewe unaichukuliaje maisha na ni mambo gani yanakupa furaha..

Mfano Mimi binafsi sijawahi ona furaha ya Maisha eti Kwa kuwa na gari ya bei mbaya , yaani Sasa hapo unapataje furaha? Ila Kuna watu hapo kwenye magari huwaambii kitu..

Mimi napenda nikiwa na pesa Mingi niwe nafanya jambo Kwa watu ambalo nikifa ibakie alama,pia kwangu binafsi furaha yangu ni adventure yaani kusafiri napenda Sasa Sina pesa za kumudu kufika Kila sehemu nayotamani..

So naendelea kukaza ,mfano saizi ilitamkwa niwe zangu huko Mauritius napiga picha na video na kutembea mjini na beches huko.😁😁
 
basi siku ile kapewa nyumba ya serikali na Magufuli angesema jamani nimekuwa waziri na rais wenu miaka kedekede, nishakusanya mijumba ya kutosha dunia nzima, hizo hela za kunijengea lijumba lingine nendeni kanunueni mashine za dialysis pelekeni hospitali za wilaya...

Jana kafa mwamba mmoja wa IT, Mzee Gordon Moore, aliyegundua semiconductors za INTEL zinazo run computers...

Kafa ana utajiri wa dola bilioni 7, bilioni 8 nyingine kaziacha kwenye mfuko wa misaada, nyingine bilioni 5 alishagawa.
Mswahili angekufa nazo 20 mfukoni.
Moja ya sifa kubwa ya sisi Masikini ni kuwa na kukariri data za namna hii …hata Mimi nawajua Matajiri wengi na utajiri wao kuliko wanavyojijua
 
Swali kuu ni kwamba aliinunua TSH ngapi??.........na pesa aliitoa wapi?.....tuulizane Tu kirafiki kama wanavyouliza TRA Kodi ya Kwanza ulianza kulipa lini? Na je Una Mali ya kiasi gani? Baadaya kuingia kwenye 18 zao
 
Kwamba hizo hotel ulizoweka juu hapo ni zake [emoji1]
Yule mwamba hata kama ingekuwa ni zake sidhani kama angeruhusu ziandikwe kwa jina lake
Km watoto wake watu wengi wamewajua msibani, ndo aandike jina lake kwa Mali zake tena ughaibuni??
Mmmmh
 
Kumbukizi ya Siku ya Kuzaliwa Kwa Waziri wa Maji Jumaa Aweso amekuwa na wakati mwema wa kukata keki pamoja na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete nyumbani kwake hapa New York Marekani.

NB. Watanzania chapeni kazi muondokane na kelele za maisha magumu, hakuna njia ya mkato ya kukuleteeni chakula mezani. Serikali haina shamba

View attachment 2565319

View attachment 2565320
View attachment 2565321
Hapibesidei kwa waziri wetu.

Shukrani kwa JK kumheshimisha waziri wetu.

Inatia faraja sana
 
Back
Top Bottom