[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ulivyoandika ni kama vile hio ni vetting ya Director wa CIA kumbe unaongelea vetting hizi hizi zilizowapa uwaziri wakina Kingwangala wanaoshinda mitandaoni wakiomba mikopo ya pikipiki kwa MO na kutukanana na watu huko Twitter.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee cc muombe radhi bibi wa Afya lol.Sikujua Kama ana Mume eti
Wendawazimu haswaVichaa hawa
Kwa hiyo kipi ni bora sasa,mbona watanzania hamueleweki mnataka nini??Enzi za utawala wa JK ilikua ni ngumu sana kuwaona Mawaziri na famikia zao wakiuza sura. Jamaa walikuwa busy kupiga zao madili! Ni mwendo wa kusaini tu cheque, mikataba na Mabeberu, baaasi!!
Sasa hawa wa sasa, kazi yao ni kujirekodi tu ili kumfurahisha aliyewateua.
Wataalamu wa afya ya akili wanasema yule mama yetu ana dalili zote za kichwa chake kupata moto, kama sio kichaa cha kurithi basi kichaa cha msongo wa mawazo ya kimaisha ndio kinakuwaga vile...
Halafu nyie jamii ya Mitandaoni huwa mnaanzisha story za hovyo hazina evidence yoyote...
Peleka ujinga mbali.Kila level ina vetting yake. Ikiwa leo mimi ni Afisa, nitafanyiwa vetting, ikiwa leo nataka kupewa ukurugenzi, nitafanyiwa vetting kubwa zaidi, ikiwa na kuingizwa kwenye temptation za hela, mapenzi na nk...
nilitegemea mngemchallange yeye wazir na wizara yake,Cha ajabu mnamjadili mzee wa watu na ndoa yake...akipita humu akaona yanayoendelea,atakuwa disappointed Sana.
Mwanamume takataka, mdabwada utakubalije kupiga picha za hivi na uzirushe "duniani"Mazoezi ni muhimu
Mazoezi ni Afya
Mhesh Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo Februari 7, 2021 ameshiriki mazoezi pamoja na Mumewe Wakili Gwajima.
View attachment 1696989
Lengo la Mh. waziri ni kufundisha umaSababu ya kujirekodi ni nini hasa ???
Mambosasa hakuwaona!Mazoezi ni muhimu
Mazoezi ni Afya
Mhesh Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo Februari 7, 2021 ameshiriki mazoezi pamoja na Mumewe Wakili Gwajima.
View attachment 1696989
Nafikiri ingependeza umalizie na hiyo sababuSababu ya kujirekodi ni nini hasa ???
Tulia mh. Gwajima! Punguza kiki na kupenda kuuza sura muda wote.Kwa hiyo kipi ni bora sasa,mbona watanzania hamueleweki mnataka nini??
Hivi hizo familia zenu mnaziendeshaje kwa kweli??
πππππKwaiyo una taka kusema ndie kamwambia twende tuka kimbie tuwa komeshe!
Umejua kunichekeshaaah π€£ π€£π€£Kwaiyo una taka kusema ndie kamwambia twende tuka kimbie tuwa komeshe!
shukrani kwa kukuchekeshaHahahahahaaaaa.....Yaaani umenichekesha saaana...