Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima na Mumewe wakipiga nyungu na kufanya mazoezi

Hata sio mngoni ana asili ya uchaga flani ila kakulia singida
Ooooh kumbe, mie niliona mahali wanazungumzia hilo kuwa eti mama Gwajima ni mngoni kutoka songea. Nilishituka pia maan mbona hana hata haiba ya kingoni.
 
Nilikuwa simjui Mr wake

Ila kwa mwonekano jamaa anakaa tu hamna namna

Hapa kinahitajika Chama cha Wababa Tanzania (CHAWABATA)

Jamaa inaonesha kabisa kawekwa mtu kati
Huyu mwamb mbona kama Uncle Shamte aliyechangamka 😂😂😂
 
Nimezitama hizo picha na kugundua haya:

1. Lengo sio kufanya mazoezi, lengo hapo ni kupiga picha. It is a staged photo.
2. Muonekano unaonyesha kuwa sio watu wa mazoezi.
3. Body language inaonyesha hawana ule muunganiko wa kimapenzi baina ya mke na mume au mtu na rafiki yake wa
karibu. Hakuna chemistry baina yao.
4. Mama inaonekana anamburuza mwenzake.

HITIMISHO LANGU.
Uhusiano wao huenda una shida kubwa mahali fulani na hili ni jaribio la kutafuta kufunika shida isije ikaonekana.

USHAURI WANGU KWA DR. GWAJIMA
-Achana kabisa na mtindo wa maisha yako binafsi kuyaleta mbele ya kamera, gharama yake ni kubwa huko mbele ya safari.

-Ukiamua kuwa mwanasiasa basi jifunze kuishi kama mwanasiasa. Usitamani kuishi kama mtu maarufu wakati bado unajifunza kuwa mwanasiasa.
Hahaha umemaliza😁
 
Aisee aibu nimeona mimi, sijui kwanini hata!

Cha msingi hayo matunda na iyo alkasusu ya Nimri waliyokunywa hapo vitababisha jamaa mnara utasoma 5G+ atashuhulika kweri-kweri.
Al- Kasusu ya Nimr sio 😁😁😁 sema mama yuko vizuri kuanzia kifuani kushuka chini!

Lets forget about the Reception 😁
 
Kwani mnataka wanawake wapole kama mke wa nabii Tito? Wanaume acheni uoga kazini na nyumbani kuna utofauti mkubwa, msioe wasomi oeni ngumbalu wapo kibao, mmewe Dr gwajima kaoa chuma mpeni hongera zake na pongezi zake![emoji23][emoji23][emoji23]
Hiko chuma kweli, maana sio kwa uropokaji ule mbele ya ma Camera 😂😂😂
 
Back
Top Bottom