Waziri wa Elimu anasimamia asichokiamini? Mwanae anasoma English Medium

Ni mchonganishi balaa huyo bibi
😆😆😆😆😆😆uchonganishi, uzushi na majungu ndio tabia na jadi ya watu kutoka Kigoma. Yuko radhi amharibie mwenzie ili yeye apande. Kuna kijana mmoja yuko hapa Bohari ya Dawa MSD ni mshenzi balaaa anaitwa Frank Nkone.

Huyu kijana kaharibia wenzake kimajungu mpaka wengine wamefukuzwa kazi na wengine kuhamishwa kabisa, lakini tunamlia timing!!

Juzijuzi hapa alimrubuni afande DG wa MSD mpaka akapewa ukurugenzi wa manunuzi wakati hajasomea hata kidogo hiyo wakati wapo wenye sifa na fani yao.

Tunaishukuru Wizara ya Afya bada ya kusikia hilo wali-intervene mpaka akatolewa kwenye hiyo nafasi. Na cha ajabu katika mojawapo ya vikao vya ndani alipoulizwa Chief Internal Auditor ndugu Robert Biah kwamba yeye analionaje hilo alisema yeye hana shida na Frank Nkone!! - ujinga mtupu!!
 
Shem unagonga kwenye mfupa ujue? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
wanachotaka wadogo zetu wawe ma-barmade, security guard, walimu, mgambo, bodaboda, konda, madereva, police, watendaji wa mitaa. Kifupi hawa jamaa hawana nia njema na masikini.
Acha cheap propaganda kijana. Kwahiyo hiyo nia njema ni kuwafanya watoto wasome bila kupumzika? Hopeless thinking.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetaja na majina kabisa daaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nimeamini kitu hii nchi sitaki kusema.
Hii nchi itaendelea kuwepo tu na watu wenye madaraka wataendele kumenya tu!

Kwa hali ilivyo ngumu halafu mtu anashabika elimu wakati hela hana kmmmk inashangaza sana! Maskini mnapigwa tag ya uzalendo na kulipishwa kodi wao wanabunya tu na kutembelea ma V8 yale!

Solidarity Tax ndio italeta maendeleo wananchi tukaze mkanda tujenge madarasa na kuweka miundombinu ya umeme na maji 😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye suala hili la ajira, nimeamini kitu ktk hii nchi wallah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwenye suala hili la ajira, nimeamini kitu ktk hii nchi wallah.
Mtoto wa mwendazake(yule binti) yeye alikula zake div 4 form 6 na akaenda degree 1 kwa 1 hapo UDOM hakuna cha kupitia certificate Wala diploma akamaliza akaunga zake masters na Yuko zake ofisimi anakula kipupwe Kama chore.

Wanyongeee baba,mwafaaaaa Hahah.
 
Shem unagonga kwenye mfupa ujue? [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 amna namna nchi inatia hasira sana hii ila ndio home sasa tufanyaje!

Kila mtu anatamani aingie serikalini sikuhizi sio kwamba ni kuna maslahi sana ila tu jinsi waheshimiwa wanavyomenya ile inawapa hamasa wanahisi wakiingia tu watakuwa karibu na bata!

Sasa mtoto kama huyo akipewa wadhifa unafikiria kuna analojua! Tabu na shida anaziskia tu toka kazaliwa yeye amekula kwa ubua tu shule anafuatwa na VX V8 yenye bendera mpaka kwao sijui Mbezi au Masaki! Likizo anaenda Mbugani kushangaa wanyama
 
Kwa hiyo sikio moja umefunga siyo? 😊😊, Basi sikiliza (kwa hilo sikio lako moja lililo wazi) nikwambie, laiti serikali ingeboresha shule za umma ziwe sawa au kukàribiana na zile za binafsi, wazazi wengi wangepeleka watoto wao kwenye shule za umma.
 
I also do so.
 
Kasome falsafa za elimu utajua ninachokisema.
Ya elimu bure?

Maneno ya wasomi wetu yanakuaga hayo hayo ya falsafa,itikafi,strategic planning,malengo ya milenia na udwanzi wa dizaini hio
 
Wazazi wapi? Hawa wa kibongo? Ambaye yupo radhi awashe gari hadi posta hata akichelewa foleni ili aonekane anazo ikiwa kuna UDART ambayo anaweza wahi bila tatizo.
 
Majina yale yale yapo kwenye system miaka yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…