Waziri wa fedha ingilia kati sakata la uboreshaji wa mashine za EFD, kamishna wa TRA ataleta balaa kubwa

Wacha kamba wewe, mwezi moja unatosha sana nyinyi mmezoea kazi ndogo kama hizi kufanywa kwa miezi sita. Hakuna huo mpango hivi sasa. Baada ya mwezi lazima wamalize wafanye kazi usiku na mchana.
 
UTAWALA WA KISHETANI. HAPO SUALA LIPO WAZI ILA KUNA WATU WATAONEAWA BILA HURUMA.
 
Walitoa mwezi mzima.kwanza waliblock mashine zote toka tar moja Dec .Sasa hao wafanyabiashara muda wote mashine zilivoblokiwa walikuwa wapi??
 
Walitoa mwezi mzima ulikuwa wapi??
 
Wewe unaandika usichokijua , nakupuuza rasmi , halafu usione tunaandika humu basi ukadhani haya ni mambo yetu binafsi , sisi ni watetezi tu
Mtetezi wa Nani? Wamekutuma? Ungewauliza mashine zao walipeleka lini?
Tatizo watanzania ni watu wasiojali.unamuona kamishna hata akili sio??
 
Wacha kamba wewe, mwezi moja unatosha sana nyinyi mmezoea kazi ndogo kama hizi kufanywa kwa miezi sita. Hakuna huo mpango hivi sasa. Baada ya mwezi lazima wamalize wafanye kazi usiku na mchana.
Achana nao mkuu .muulize alipeleka mashine yake lini??
 
Walitoa mwezi mzima.kwanza waliblock mashine zote toka tar moja Dec .Sasa hao wafanyabiashara muda wote mashine zilivoblokiwa walikuwa wapi??
Hiyo ndio hoja ya TRA walitoa hizo info in advance ila kwenye mkutano wao na wafanyabiashara Kagera kupitia ITV asilimia kubwa ya wafanyabiashara wanadai hawakuwa na hizo taarifa.

Sina shaka TRA wanasema ukweli walitoa notice a month in advance ila issue how did they communicate that message kwa wafanyabiashara wote nchini. Kwa ivyo sina shaka pia kuna wafanyabiashara wengi hawakua na taarifa maana wengi kilichowaogopesha fines, kwa maana hiyo wangejua wangetii.

Mbona walituma text kwa wengi siku ya mwisho kwanini awakufanya ivyo siku ya kwanza.

Changes kubwa kama hizo zinataka using various communication channels to reach your audience na sidhani kama mwezi unatosha kuanzia tangazo mpaka mabadiliko. TRA wenyewe wanakiri capacity ya kampuni zinazofanya upgrade ya hizo machine ni ndogo to meet the deadline wameruhusu watu watoe paper receipts.

Kwa kifupi zoezi alikuandalia vizuri awajajifunza tu jinsi ya kufanya mabadiliko kupitia kwa Makamba wakati anatoa zuio la mifuko ya plastic. Mbona Ummy Mwalimu somo kalielewa vitu vingine vinahitaji kuwapa watu habari na reasonable time.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…