Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kamba wewe, mwezi moja unatosha sana nyinyi mmezoea kazi ndogo kama hizi kufanywa kwa miezi sita. Hakuna huo mpango hivi sasa. Baada ya mwezi lazima wamalize wafanye kazi usiku na mchana.Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na TRA wenyewe kutokana na sababu zisizofahamika.
Tayari Kamishna wa TRA amekataa kuongeza muda na ameahidi kuwaadhibu wafanyabiashara walioshindwa kuboresha machine zao za EFD kwa muda uliopangwa , hapa analenga kuwakamua pesa wafanyabiashara ambao tayari wana hali mbaya kutokana na kuzorota kwa biashara nchini.
Sasa kwa hali hii kamishna haondoi Tatizo bali anaharibu zaidi, ikumbukwe kwamba wafanyabiashara wenye EFD hawajakataa kuboresha mashine zao bali mawakala wenye dhamana hiyo wameshindwa kumaliza kazi kwa wakati, wako ambao mashine zao ziko kwa mawakala mpaka sasa zikisubiri foleni ya kuboreshwa, sasa kamishna anapokataa kuongeza muda halisaidii Taifa bali ataleta mkanganyiko zaidi.
Namuomba Waziri wa fedha aingilie kati jambo hili ili kuokoa biashara za watu kwa Manufaa ya Taifa.
Umewahi kufanya biashara yoyote hata ya kuuza mapera ?Wacha kamba wewe, mwezi moja unatosha sana nyinyi mmezoea kazi ndogo kama hizi kufanywa kwa miezi sita. Hakuna huo mpango hivi sasa. Baada ya mwezi lazima wamalize wafanye kazi usiku na mchana.
Mapera yenyewe huyafahamu umekuja kuyajulia mjini? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeUmewahi kufanya biashara yoyote hata ya kuuza mapera ?
Kwamba Mapera yanalimwa mjini ?Mapera yenyewe huyafahamu umekuja kuyajulia mjini? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hiyo ndio nadharia yako, aibu!Kwamba Mapera yanalimwa mjini ?
Raisi wa wanyongeUTAWALA WA KISHETANI. HAPO SUALA LIPO WAZI ILA KUNA WATU WATAONEAWA BILA HURUMA.
Au watunyonge kabisaWatupeleke mahakamani
Walitoa mwezi mzima.kwanza waliblock mashine zote toka tar moja Dec .Sasa hao wafanyabiashara muda wote mashine zilivoblokiwa walikuwa wapi??ITV waliweka hiyo clip ya malalamiko kutoka kwa wafanyabiashara kwenye YouTube channel yao naona imefutwa kwa sababu wazijuazo wao.
Ilikuwa inaonyesha hadi tarehe 6 January kuna wafanyabiashara wengi walikuwa hawajui wanatakiwa kubadili system za mashine zao wamepokea txt tarehe sita ikiwaonya tarehe 7 mwisho, yaani wana masaa 24 ya ku update mashine ama fines.
In short ni chaos ukiangalia ile clip kuanzia communication za TRA kwa wafanyabiashara hadi kwenye uratibu wa zoezi zima kutokana na uwezo wa mdogo wa makampuni yanayotakiwa kufanya update given demand and their daily capacity.
Walitoa mwezi mzima ulikuwa wapi??Muda uliotolewa wa kuboresha Mashine za EFD wa mwezi mmoja (kuanzia desemba 7 hadi Januari 7) hautoshi, kwa sababu mawakala wanaofanya kazi hiyo wamezidiwa na kazi hiyo kutokana na wingi wa mashine hizo na tayari wameomba kuongezewa muda wa kufanya marekebisho hayo ya ghafla yaliyosababishwa na TRA wenyewe kutokana na sababu zisizofahamika.
Tayari Kamishna wa TRA amekataa kuongeza muda na ameahidi kuwaadhibu wafanyabiashara walioshindwa kuboresha machine zao za EFD kwa muda uliopangwa , hapa analenga kuwakamua pesa wafanyabiashara ambao tayari wana hali mbaya kutokana na kuzorota kwa biashara nchini.
Sasa kwa hali hii kamishna haondoi Tatizo bali anaharibu zaidi, ikumbukwe kwamba wafanyabiashara wenye EFD hawajakataa kuboresha mashine zao bali mawakala wenye dhamana hiyo wameshindwa kumaliza kazi kwa wakati, wako ambao mashine zao ziko kwa mawakala mpaka sasa zikisubiri foleni ya kuboreshwa, sasa kamishna anapokataa kuongeza muda halisaidii Taifa bali ataleta mkanganyiko zaidi.
Namuomba Waziri wa fedha aingilie kati jambo hili ili kuokoa biashara za watu kwa Manufaa ya Taifa.
Una uhakika kwamba waliblock ?Walitoa mwezi mzima.kwanza waliblock mashine zote toka tar moja Dec .Sasa hao wafanyabiashara muda wote mashine zilivoblokiwa walikuwa wapi??
Mashine zimeuzwa miaka 7 halafu unataka zote ziwekewe software mpya ndani ya siku 30 , inawezekana kweli ?Walitoa mwezi mzima ulikuwa wapi??
Anzia tar 3 Dec mashine yako ilikuwa inafanya kazi??Una uhakika kwamba waliblock ?
Wewe unaandika usichokijua , nakupuuza rasmi , halafu usione tunaandika humu basi ukadhani haya ni mambo yetu binafsi , sisi ni watetezi tuAnzia tar 3 Dec mashine yako ilikuwa inafanya kazi??
Jibu swaliWewe unaandika usichokijua , nakupuuza rasmi , halafu usione tunaandika humu basi ukadhani haya ni mambo yetu binafsi , sisi ni watetezi tu
Mtetezi wa Nani? Wamekutuma? Ungewauliza mashine zao walipeleka lini?Wewe unaandika usichokijua , nakupuuza rasmi , halafu usione tunaandika humu basi ukadhani haya ni mambo yetu binafsi , sisi ni watetezi tu
Achana nao mkuu .muulize alipeleka mashine yake lini??Wacha kamba wewe, mwezi moja unatosha sana nyinyi mmezoea kazi ndogo kama hizi kufanywa kwa miezi sita. Hakuna huo mpango hivi sasa. Baada ya mwezi lazima wamalize wafanye kazi usiku na mchana.
Walitoa notice mwezi mzima mkuu.waulize hao wafanya biashara walipeleka mashine lini?
Hiyo ndio hoja ya TRA walitoa hizo info in advance ila kwenye mkutano wao na wafanyabiashara Kagera kupitia ITV asilimia kubwa ya wafanyabiashara wanadai hawakuwa na hizo taarifa.Walitoa mwezi mzima.kwanza waliblock mashine zote toka tar moja Dec .Sasa hao wafanyabiashara muda wote mashine zilivoblokiwa walikuwa wapi??