RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kawaida wabongo kila zoezi wanasubiri mwishoni ndio wanakurupuka wengi wanategemea watahudumiwa hio siku ya mwisho.
1.nida
2.tin verification
3.passport
Na sasa hivi zoezi hili wamesubiri mwezi umeisha ndio wanaenda na kuomba muda uongezwe.
Mimi nilipeleka mashine yangu Dec 30 wakati wengi bado wanakula sikukuu na ilikuwa upgraded siku hio hio.
1.nida
2.tin verification
3.passport
Na sasa hivi zoezi hili wamesubiri mwezi umeisha ndio wanaenda na kuomba muda uongezwe.
Mimi nilipeleka mashine yangu Dec 30 wakati wengi bado wanakula sikukuu na ilikuwa upgraded siku hio hio.