TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

TANZIA Waziri wa TAMISEMI Mohammedi Mchengerwa Amefiwa na Baba Yake Mzazi Akiwa Ibadani Makka Na Atazikwa hukohuko Makka

Sio lazima.
Kwani kule hakuna wagonjwa ?! Siku yako ya kufa kama imefika Allaah haangalii upo wapi na unafanya nini! Siku ya kufa ikifika lazima ufe.
Siku ya kufa ikifika ukiwa bar unapiga safari lager na mishikaki ya kitimoto utakufa na pia siku ya kufa ikifika ukiwa msikitini umemsujudia mola wako pia utakufa!.
Sio kila kifo kimepangwa na Mungu... Unless unataka kuonyesha unajua kubishana tu ilimradi... Unaweza kufia hata unapiga deki msikit ila ikawa ni kifo cha kujitakia wewe mwenyew uzembe au watu wamekusababishia, ila sio kwa mapenzi ya Mungu...
Ni vile Mungu haongei ovyo na wanawadamu, ila nina uhakika kuna watu wanakufa hadi yeye anashangaa mbona wamekufa kabla ya muda au kwa kujitakia wao wenyew...
 
Pole sana Mh.Mchengerwa na familia yenu kwa ujumla..

Mungu awe mfariji wenu..
 
Ameumaliza mwendo.

Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
 
Sio kila kifo kimepangwa na Mungu... Unless unataka kuonyesha unajua kubishana tu ilimradi... Unaweza kufia hata unapiga deki msikit ila ikawa ni kifo cha kujitakia wewe mwenyew uzembe au watu wamekusababishia, ila sio kwa mapenzi ya Mungu...
Ni vile Mungu haongei ovyo na wanawadamu, ila nina uhakika kuna watu wanakufa hadi yeye anashangaa mbona wamekufa kabla ya muda au kwa kujitakia wao wenyew...
Bwana ASALAMALEKO wewe ni mtu wa dini gani?!
Kama wewe siyo mwislamu sina cha kuongea na wewe kwakuwa una unachoamini ambacho ni tafauti na ninachoamini!
Ama kama wewe ni muislamu unayemini kuwa Quran ni kitabu cha Allaah alichoteremshiwa Nabii Muhammad
صلى الله عليه وآله وسلم
ili kitabu hicho kiwe mwongozo kwa watu wote , soma maneno haya yaliyopo katika Suurat Aali Imaran Aya namba 145 Allaah anasema:
"{ وَمَا كَانَ لِنَفۡسٍ أَن تَمُوتَ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِ كِتَٰبٗا مُّؤَجَّلٗاۗ وَمَن يُرِدۡ ثَوَابَ ٱلدُّنۡيَا نُؤۡتِهِۦ مِنۡهَا وَمَن يُرِدۡ ثَوَابَ ٱلۡأٓخِرَةِ نُؤۡتِهِۦ مِنۡهَاۚ وَسَنَجۡزِي ٱلشَّٰكِرِينَ }
Na haiwezi nafsi yoyote kuwa ni yenye kufa ila kwa idhini ya Allaah kama ilivyo andikwa ajali yake. Na mwenye kutaka malipo ya duniani tutampa; na mwenye kutaka malipo ya Akhera tutampa. Na tutawalipa wenye kushukuru.".
 
Sio kila kifo kimepangwa na Mungu... Unless unataka kuonyesha unajua kubishana tu ilimradi... Unaweza kufia hata unapiga deki msikit ila ikawa ni kifo cha kujitakia wewe mwenyew uzembe au watu wamekusababishia, ila sio kwa mapenzi ya Mungu...
Ni vile Mungu haongei ovyo na wanawadamu, ila nina uhakika kuna watu wanakufa hadi yeye anashangaa mbona wamekufa kabla ya muda au kwa kujitakia wao wenyew...
Mbona kuna watu wamepigwa risasi nyingi na wakapona?! Na mbona kuna watu waliteleza wakaanguka vibaya ikawa sababu ya vifo vyao?!
Sisi waislamu tunaamini kutokana na Aya ya 145 ya suratu Aali Imran mtu hafi hadi siku aliyoandikiwa na Allaah iwe imefika!.
 
Kweli kabisa ! Kufa katika ibada tukufu tena katika mji mtukufu ni alama ya mwisho mwema japo hatusemi ni kwenda peponi kwa 100%.
Kuna baadhi ya mambo hukumu yake ipo kwa Allaah anayejua mioyo ya waja wake inaamini na kufikiria nini!
Sisi tunahukumu yale tunayoyaona na yaliyomo kwenye mioyo tunamuachia Allaah mwenye uwezo wa kuchunguza mambo yenye kutendwa kwa siri na Yale yaliyomo kwenye mioyo ya waja.
Pamoja na hayo kama Kuna jambo la kionewa wivu mimi huyu marehemu namuonea wivu kwani na mimi natamani nifienkatika mji aliofia yeye nikifanya ibada aliyokuwa akiifanya yeye na hatimaye nizikwe katika mji huo mtakatifu.
Kwenye uislam hakuna mji mtukufu
 
mtu kufia makkah sababu inakuwa nini wakuu? au huyo mwendazake alidhulumu watu kabla hajaenda huko?
 
Back
Top Bottom