Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Mbarawa azungumza kuhusu uwekezaji wa Bandari

Mkurugenzi mkuu wa TCAA mamlaka ya anga, pia ni mwanasheria aliyehusika katika mikataba mingi ya serikali kuanzia 2015.
Asante. Cha msingi ni kusikiliza kilio cha watu kuhusu maboresho ya mkataba wa aina hii. Kulazimisha uko sawa wakati unaonekana una shida, inapoteza imani na wale wanaoutetea.
Nchi hii ni yetu sote. Tuko watu mil 60. Kutosikiliza wengi kunaleta sintofahamu zisizo na sababu. Ksema wanalazimisha kwenda peke yao, wakaacha wengi nyuma, pia ni kujilisha uongo. Lazima kwa kiasi kikubwa twende pamoja
 
Hata maboresho huenda ikawa mashaka!

Wanashauri Rais aupige chini mara moja Kwa a manufaaa ya Umma?!
 
Hajajibu maswali ambayo mm na familia yangu pamoja na ukoo wangu tunataka kujua uyo DP - WD. Makubaliano/mkataba ni w miaka mingapi?

Yani wandishi w Habari wa Tanzania hawajui kuhoji wao ni Ndioooooooooo kama wabunge tu.
 
Naomba nikili wazi nimefatilia Kwa umakini mjadara wa Bandari yetu ulioongozwa na mwenyekiti wa jukwaa la wahariri ndugu Ta Balile nikili Mimi nmeelewa mengi Sana ambayo nilikuwa pumbuwazi!

Yamesemwa mengi lazima tukubaliane Tu yakuwa asilimia 35% za hisa za kampuni ya Dp world zitauzwa Kwa wazawa tukubaliane yakuwa zitaondoka na MTU kama sio watu.

Nasema hivyo uku nikireje na kukumbuka yakuwa MH Ta kalamagi mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera anayo nguvu kubwa ya ushawishi happ Bandarini na tukutumbuke,Mzee kalamagi hakuwa mmiliki wa Ticks alikuwa dalali Tu baadae akapewa mgao wa hisa akaliingiza taifa lilipo kupitia bandari yetu.

Lazima tukubaliane yakuwa nguvu kubwa inayopigwa dhidi ya vifungu vya mkataba kuna sehemu ya ndulu inachangiwa na mwenyekiti huyu wa Γ§cm.

Ninavyooona Hali hii ili kuitimisha Jambo ili vyema ni Bora kampuni ya Dp world hiO asilimia 35% zimilikiwe na serikali na sio watu binafsi.

Kinyume chake hizo zitakuwa Mali ya wabunge walio kwenda Dubai,zitakuwa Mali ya akina kitenge na kundi lake, zitakuwa na makame Mbalawa,waziri usika najua hawezi kukubali akose maana amenangwa Sana Mzee wa wawatu.
 
Upuuzi mtupu. Ndiyo maana wanaotetea mkataba huu, wanaonekana dhahiri kuwa ni waongo, wanafiki, majizi na wala rushwa. Tofauti na wanaopinga ambao hoja zao zinaonekana wazi, wanaotetea wanabwabwaja tu.

Kweli ni ngumu sana kuutetea uovu.

Kama wangekuwa ni watu wakweli wangekuwa wanasoma vifungu vya mkataba na vifungu vya sheria na katiba kuonesha jinsi mkataba huo ulivyokidhi sheria zetu.

Wangekuwa ni wakweli wangeonesha tangazo la kuitisha tenda. Wangekuwa ni wakweli wangeyataja hata makampuni yaliyoshindanishwa na DP.

Kwa ujinga walio nao, na dhamira yao chafu, wanaishia kusema eti DP imewekeza kwenye nchi 30 LAKINI hawathubutu kuitaja hata nchi moja kati ya hizo 30 yenye mkataba wa kishenzi kama huu wa kwetu.
 
Serikali iweke watu makini kujibu hoja za bandari
Sahihi kabisa wengi wanaongea viongozi wakubwa tu wa serikali na bunge na wabunge viichwani hamna kitu wanachoelewa kwa undani kuhusu hicho kitu kinaitwa makubaliano au mikataba.Wengine kazi kutukana na vitusho ohh serikali ina mkono mrefu ooh wapingaji washughulikiwe hoja ya maana haw

Wako empty mno vichwani wanahangaika ku force kuwa watu waelewe faida za uwezekezaji wa DP World

Wananchi hawana shida na kujua faida wanapigia yowe vipengele vilivyomo kwenye hayo makubaliano wanavyodhani vibovu ndio concern yao

Hawana shida na Dp World kama mwekezaji

Mwanasheria aliyesimamia hayo makubaliano Hamza Johari kaeleza vizuri mno

Wanasiasa wasidakie dakie sana mambo ya kitaalamu wawaachie wataalamu husika waliohusika na makubaliano wafafanue ni nini hicho walikikubali kwa wananchi wakiwa timu ya makubaliano

Binafsi nimemwelewa sana Hamza Johari

Anaelewa kila kitu kwa kina kilichoko kwenye makubaliano

Mikataba yote itakayotengenrzwa kwenye mikataba na Dp world apewe uongozi kama team leader wa uandishi wa hiyo mikataba nina imani naye
 
Serikali iweke watu makini kujibu hoja za bandari
Sahihi

Wengine kazi kutukana na vitisho ohh serikali ina mkono mrefu ooh wapingaji washughulikiwe hoja ya maana kama za Hamza Johari hawana

Sijui wanamtisha nani washenzi wakubwa kwenye issue za.maslahi ya nchi hakutakiwi kutishana wala ubabaishaji jenga hoja

Mtu ana hoja atoe sio ohh serikali ina mkono mrefu mara ohh wapingaji wamenunuliwa mara ooh wapiganaji wachukuliwe hatua mara ohh vizee vipingaji vijinga na vipumbavu au ohh wapingaji ndio walikuwa wezi bandarini
Hoja dhaifu mno
Hamza Johari kajenge hoja za uhakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…