Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Mbarawa azungumza kuhusu uwekezaji wa Bandari

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Mbarawa azungumza kuhusu uwekezaji wa Bandari

Waziri wa uchukuzi Yuko live anaongea na waandishi kuhusu kile kinachoitwa uwekezaji wa DPW, Kwa mtazamo wangu, press hii itazua maswali zaidi.



Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa anafanya mkutano na Wahariri muda huu jijini Dar es Salaam kuhusu mkataba wa bandari kati ya DP World na Serikali ya Tanzania​


Mzee freeman Mbowe nae atakua na press conference Leo kuhusu maazimio ya Kamati kuu......

Wacha tuone
20230714_102227.jpg
 
Hako kazee kapuuzi sana, kwa sauti yake pekee unajua kanasema uongo.

Huyo Mbarawa atuambie dadake Samia ana maoni gani kuhusu huu mkataba wa hovyo, sio anawatuma kila siku kuongea uongo huku yeye akiwa kimya.
 
Ni Aibu kwa Bunge na Serikali kuitetea DP...how come wanakua upande wa mwekezaji against wanainchi wake?

A government should be made by the people for the people...interest za wanainchi wake kwanza sio za mwekezaji.

They cant side na mwekezaji agaist their own people.

sisi wanaichi ndo tunawapa nguvu ya kutuongoza kwa kupitia sanduku la kura, wao sio watawala wetu, ni wawakilishi wetu maana hatuwezi wote kua serikalini, they should remember that....ni Aibu na inasikitisha.
 
Ndugu Hamza acha upotoshaji, kwenye IGA ardhi imetajwa itagawiwa kwa mwekezaji, je ardhi si mali asili unaposema hakuna mali asili atakayo pewa? Bandari ina simama hewani? Maji ya bahati si mali asili? Msitumie upotoshaji.

Kama hamtaruhusu ardhi kumilikiwa basi ondoeni article 8 yote kwenye IGA
 


Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Makame Mbarawa anazungumza na Waandishi wa Habari, Jijini Dar es Salaam muda huu.
Wanahabari wawe na akili yakinifu yakuweza kuuliza maswali magumu yanayochanya juu ya mkataba kwa neno pendwa makubaliano.

Siyo wanambwela mbwela tu wakiambiwa kama walivyoambiwa na Dr wanaanza kulalama wanadhaliliswa, wakati wanajidhalilisha wenyewe either kwa hofu zao au kwa kupenda kitu kidogo kwa jina pendwa Takrima.
 
NCHI ZILIZOSAINI MIKATABA NA U.A.E


Australia was among 192 participating countries at Expo 2020 Dubai

Wizara ya Mambo ya Nje ya Australia inaitambua Nchi ya United Arab Emirates ambayo ndani yake yapo majimbo saba : Abu Dhabi, Dubai, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain na Fujairah huku jimbo la saba la Ras Al Khaimah ilijiunga na Shirikisho la UAE mwaka 1972. Huku mji mkuu wa nchi ya UAE ikiwa ni Abu Dhabi, mji uliopo ndani ya jimbo / emirate kubwa na tajiri zaidi ya nchi ya UAE .

Rais wa shirikisho la nchi ya UAE ni maulana sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan. Kiongozi wa jimbo la Dubai maulana sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum ni Makamu wa Rais pia ni Waziri Mkuu na Waziri wa nchi ya UAE

Mahusiano baina ya Australia na nchi ya UAE ni ya kirafiki, katika nyanja mbalimbali huku yakiendelea kukua.

Nchi ya UAE ushirikiano wake na Australia umewezesha nchi hiyo ya Australia kuwa ni mwekezaji mkubwa zaidi wa mitaji na biashara nchini UAE kuliko nchi yoyote ya Masharik ya Kati.


United Arab Emirates country brief​

Overview​

The United Arab Emirates (UAE) is situated in the Southeast of the Arabian Peninsula, bordering Oman and Saudi Arabia. In December 1971, the UAE became a federation of six emirates - Abu Dhabi, Dubai, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain, and Fujairah, while the seventh emirate, Ras Al Khaimah, joined the federation in 1972. The capital city is Abu Dhabi, located in the largest and wealthiest of the seven emirates.
Since its Federation in 1971, the UAE has developed rapidly and is now noted for its modern infrastructure, international events and status as a trade and transport hub. In 2021, the UAE commemorated its Golden Jubilee, 50 years since federation.
The UAE will host the COP28 international climate summit in Dubai in 2023.

Political overview​

The President of the UAE is His Highness (HH) Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan. The Ruler of Dubai, HH Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, is the Vice-President, Prime Minister and Defence Minister.
The UAE's federal structure includes a Supreme Council (comprising the Rulers of each Emirate), a Council of Ministers and Federal National Council. Each Emirate is governed by its own Ruler, with its own local government, courts and police forces.
The Federal National Council comprises 40 members, half of which are appointed and half elected. Elections were last held in October 2019 and for the first time the UAE implemented a requirement for 50 per cent of total members to be women. This requirement saw a significant increase in the number of female candidates. The Federal National Council has an advisory role and is a forum in which concerns of Emiratis are raised.
The UAE is a member of the Gulf Cooperation Council (GCC), the Arab League, the Organization of Islamic Cooperation, the United Nations (including UN Security Council member, 2022-23), the Organization of the Petroleum Exporting Countries, the Non-Aligned Movement and the World Trade Organization. The International Renewable Energy Agency, established in 2009, has its headquarters in Abu Dhabi.
On 15 September 2020, the UAE and Israel signed the Abraham Accords Peace agreement in Washington, DC.

Bilateral relations​

Bilateral relations between Australia and the UAE are friendly, multi-faceted and growing rapidly.

They are underpinned by extensive trade relations, and the UAE is Australia's largest Middle East trade and investment partner.

The two countries enjoy good defence, aviation, security and law enforcement cooperation, the latter underpinned by agreements on mutual legal assistance in criminal law matters and extradition.
Australia was among 192 participating countries at Expo 2020 Dubai, which ran from 1 October 2021 to 31 March 2022.

Expo 2020 provided a key platform for Australian companies to reengage with traditional partners and progress market diversification strategies, including the growth of exports into the Middle East and South Asia.

The Australian Ambassador to the UAE is based at the Australian Embassy in Abu Dhabi. Australia also has a Consulate-General/Trade Commissioner in Dubai.

State government offices representing New South Wales, Queensland, Western Australia, and Victoria are also based in the UAE.

People to people links​

People-to-people contacts have expanded rapidly on the back of the strong growth of direct air links. Prior to the COVID-19 pandemic restrictions, over 100 Emirates and Etihad flights per week operated between the UAE and Australia.

An estimated 15,000 Australians live and work in the UAE.

At the start of 2020, in response the severe Australian bushfire season, the UAE donated fire trucks and generators to several affected communities. On 16 January 2020, the Burj Khalifa, the world's tallest building which is located in Dubai, was lit up with the phrase ‘#mateshelpmates' as a sign of the UAE's support for bushfire response.

Economic overview​

The UAE is the Middle East's third largest economy, and one of the wealthiest countries in the region on a per capita basis. Its GDP in 2021 was estimated at US$410.2 billion, a real GDP growth rate of around 2.2 per cent.

The UAE has six per cent of the world's oil reserves and the seventh largest proven natural gas reserves. Petroleum exports were US$49.6 billion in 2019. In the medium term, oil and gas (which account for over two-thirds of exports and the bulk of government revenue) will continue to underpin the UAE's economy.

However, significant steps towards economic diversification have already been taken, with approximately 70 per cent of GDP now generated by sectors other than oil and gas. To celebrate 50 years of nationhood in 2021, the UAE launched 50 new economic initiatives to boost the country's competitiveness and attract US$150 billion in foreign direct investment over the next nine years.

Abu Dhabi, which has the vast majority of oil and gas reserves in the UAE, has made significant investments in establishing aerospace, nuclear power, defence, information technology (micro-processing), petrochemical and clean-tech industries – the latter most prominently represented by the multibillion-dollar initiative of Masdar City, a zero-carbon city outside Abu Dhabi.

Abu Dhabi is also investing heavily in educational institutions, and cultural and sporting attractions such as the Formula One racing track, Ferrari theme park, and the Louvre Abu Dhabi to diversify the economy away from oil and encourage tourism.

Dubai has also diversified into the exhibitions, events, ICT, re-export and financial sectors. Taking advantage of its position near the head of the Gulf, it has consolidated its historical reputation as a regional entrepôt. Dubai has developed luxury hotels, large port facilities (including Jebel Ali) and a range of free trade zones to attract both manufacturing and services industries.

The UAE population of 10.1 million (2022) depends substantially on its expatriate workforce, which made up about 88 per cent of the population in 2021. The UAE is also opening up utilities to greater private sector involvement. Several free trade zones across the country attract foreign investors, by offering full ownership and zero taxes.

The COVID-19 pandemic has had a significant impact on the UAE's economy, particularly due to the reduction in passenger numbers through air hubs, the reduction in tourist arrivals and the impact of COVID-19 measures on commerce. The UAE is expected to recover to pre-pandemic levels of economic activity over the next three years.

Trade and Investment​

On 17 March 2022, then Minister for Trade, Tourism and Investment Dan Tehan and HE Dr Thani bin Ahmed Al Zeyoudi, Minister of State for Foreign Trade, issued a joint statement announcing Australia and the UAE's intention to pursue a Comprehensive Economic Partnership Agreement (CEPA). DFAT consultations with stakeholders continue, and will inform the possible agreement and the Australian Government's approach to future negotiations.

The United Arab Emirates (UAE) is Australia's largest trade and investment partner in the Middle East. With $5.5 billion in two-way trade in 2021 (over $10 billion pre-COVID), the UAE is Australia's 18th largest export market globally for goods and services.

Exports to the UAE were worth $3.24 billion in 2021 and were dominated by red meat, transport services and machinery and automotive parts.

Australian imports from the UAE were worth $3.24 billion in 2021 (mainly petroleum products).

Services trade is an increasingly important component of the commercial relationship, including construction, financial and professional services, tourism and education. Education is seen as an area of potential growth, with several Australian institutions active in the UAE market, including: Wollongong University, which in 1993 was the first private university to establish a campus in Dubai; Murdoch University, which opened in Dubai in 2007; Curtin University, which opened in Dubai in 2018; the Australian International School Sharjah; the Victorian International School Sharjah; and a number of Australian institutions with partnerships with local institutions to deliver the Australian curriculum in-country.

Australia's commercial profile in the UAE is significant, with UAE-based Australian companies numbering over 300. Australian companies, institutions and capabilities are working in a range of industries, including steel trading, building, construction and financial services, banking services, materials and equipment, agricultural supplies and services, industrial minerals, dairy products, marine manufacturing, education and training services, sports and recreation, health services, livestock, oil field supplies, courier and freight services. Many companies use Dubai as a regional base, in view of its transport, financial and communications infrastructure.

UAE entities hold significant investments in Australia, including in the agribusiness, tourism, health and aged care and resources sectors.
In 2020, UAE investment in Australia was estimated at $11.6 billion according to ABS data.

The Abu Dhabi Investment Authority (ADIA), the world's fourth largest sovereign wealth fund, has invested in ports, the TransGrid electricity network and the Queensland Motorway project.

Other UAE sovereign wealth funds also have assets and are examining other investment opportunities in Australia.

Source : https://www.dfat.gov.au/geo/united-arab-emirates/united-arab-emirates-country-brief
 
Shida inaanzia kwenye umasikini. Mtu akipata ubunge anaona anakaribia kuuaga umasikini, hivyo hukubali chochote kutoka kwa viongozi Wa juu ilimradi tu awe na uhakika nafasi yake italindwa. Na ndio maana kule Bungeni siyo rahisi kumtofautisha mtu aliye soma na ambaye hajasoma. Wote wanafanana. Huanza kusifia weee ndio aje kwenye hoja.
Shida ni mifumo mibovu tuliyo nayo
 
Ninachokijua ni kwamba watanzania ni wazuri sana kwenye kuongea.

Hapo watapiga soga la maneno mazuri mazuri ila kwenye utekelezaji unakuta mambo tofauti kabisa baada ya miaka michache tunaanza kulalamika alafu waliotufikisha hapo wanakua na manene mepesi tu kua walikosea.

Hizi porojo zisingekuwepo kama viongozi wetu wangekua hawana kinga yakikatiba na yakisheria yakutoshtakiwa.Ili wakifanya madudu wasije tu kutuambia walikosea bali wananchi wachukue hatua.

Tukirekebisha hilo huu ujinga mdogo mdogo utapungua.

Tutapambie katiba mpya itakayokua bora ili nchi iendeshwe sawasawa sio kwa majaribio.
 
Sasa kama shida ni ufanisi tumeshindwaje sisi wenyewe kuongeza ufanisi, kazi ya Serikali si ndio hiyo sasa kusimamia ufanisi!.

Kama Mombasa port aka Kenyan wameweza bila muwekezaji kwanini sisi tushindwe bila muwekezaji?

Mawazo ya kubinafsisha kila tunapoona pana udhaifu ni ujinga mwingine wa kukimbia matatizo na si kuyakabili, Serikali kazi yake kusimamia watendaji walete ufanisi na kama ufanisi haupo maana yake na Serikali yenyewe imeshindwa kazi?.

Tumeweka muwekezaji 5yrs hapo berth 8 to 11 ameshindwa kuperform, miaka yote hiyo tulikuwa tunamuangalia tu, tatizo lilikuwa la nani sasa? na huyu DP mnatuassure vipi naye hatakuwa kama TICS?. Ukaingalai kiundani utagundua tatizo ni sisi wenyewe kwa maana ta Serikali kushindwa kusimamia ufanisi na kushindwa pia kuwasimamia wawekezaji vs mikataba au hata kukubali mikataba mibovu kwa kujua au kutojua.

DP sio mjomba wetu kwamba anakuja kutufanyia kazi bure hapa, lazima naye apate faida with all the requirements, DP lazima aangalie kila mwanya/tobo ili apate superprofit, tunauhakika hakuna matobo?
 


Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Makame Mbarawa anazungumza na Waandishi wa Habari, Jijini Dar es Salaam muda huu kuhusu uwekezaji wa Bandari.



Mbarawa:
Pamoja na Serikali kuendeleza juhudi za maboresho ya Bandari zetu, bado ufanisi katika utoaji huduma wa Bandari haujafikia viwango vinavyotakiwa kimataifa.

Hali ya ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam na nyingine nyingi zinazoendeshwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania upo chini sana, udhaifu huo unaonekana katika utendaji wa kila siku wa Bandari zetu pamoja na ukusanyaji wa mapato

Bandari ya Dar imeendelea kuwa nyuma dhidi ya Bandari shindani katika Kanda, mfano wastani wa meli kusubiri nangani ni siku 5 sawa na Saa 120 ikilinganishwa na siku 1 na saa 6 kwa bandari ya Mombasa.

Meli kutumia muda mrefu kupakia shehena kantini kwa wastani wa siku tano wakati kimataifa ni siku moja inayokubalika kimataifa.

Ufanisi mdogo wa Bandari ya Dar es Salaam umetokana na changamoto mbalimbali ikiwemo kukosekana mifumo ya kisasia ya TEHAMA, kutokuwepo kwa maeneo ya kutosha ndani na nje ya Bandari ya kuhifadhia shehena za mizigo pamoja na maegesho ya kutosha ya kuegeshea meli.

Changamoto nyingine ni kukosekana kwa mitambo ya kutosha na ya kisasa inayobadilika mara kwa mara kutokana na teknolojia na hivyo kuwa na gharama kubwa.

Athari za kutokuwa na ufanisi katika Bandari ya Dar es Salaam ni meli kusubiri muda mrefu nangani, mfano gharama ya meli kusubiri nangani kwa siku moja ni takribani Dola 25,000 (Tsh. Milioni 58).

Meli kutumia wastani wa siku tano kupakia na kupakua shehena ukilinganisha na siku 1 inayokubalika kimataifa.

Meli kubwa kutokuja katika Bandari ya Dar es Salaam kutokana na kuchukua muda mrefu kuhudumiwa, hivyo kusababisha bandari yetu kuwa inayolishwa na Bandari nyingine.

Uwezo mdogo wa Bandari ya Dar unaikosesha Nchi mapato makubwa ambayo yangeweza kusaidia katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa Nchini.

Ili kutoendelea na hali hiyo, Serikali iliingia makubaliano 2000 Serikali ya Awamu ya Tatu iliingia mkataba wa upangaji na uendeshaji na Kampuni ya TICTS, mkataba ambao ulidumu kwa miaka 22 na kuipa haki za kipekee TICTS kuendesha shughuli za gati namba 8 hadi 11 za Bandari ya Dar es Salaam huku maeneo mengine yakihudumiwa na TPA.

Desemba 2022, Serikali ya Awamu ya 6 baada ya kuona mkataba hauendani na maslahi mapana ya Nchi yetu iliamua kusitisha mkataba huo.

Yote anayoyasema haya-justify kuwa na MKATABA wa kipumbavu kama ule
 
Sasa kama shida ni ufanisi tumeshindwaje sisi wenyewe kuongeza ufanisi, kazi ya Serikali si ndio hiyo sasa kusimamia ufanisi!.

Kama Mombasa port aka Kenyan wameweza bila muwekezaji kwanini sisi tushindwe bila muwekezaji?

Mawazo ya kubinafsisha kila tunapoona pana udhaifu ni ujinga mwingine wa kukimbia matatizo na si kuyakabili, Serikali kazi yake kusimamia watendaji walete ufanisi na kama ufanisi haupo maana yake na Serikali yenyewe imeshindwa kazi?.

Tumeweka muwekezaji 5yrs hapo berth 8 to 11 ameshindwa kuperform, miaka yote hiyo tulikuwa tunamuangalia tu, tatizo lilikuwa la nani sasa? na huyu DP mnatuassure vipi naye hatakuwa kama TICS?. Ukaingalai kiundani utagundua tatizo ni sisi wenyewe kwa maana ta Serikali kushindwa kusimamia ufanisi na kushindwa pia kuwasimamia wawekezaji vs mikataba au hata kukubali mikataba mibovu kwa kujua au kutojua.

DP sio mjomba wetu kwamba anakuja kutufanyia kazi bure hapa, lazima naye apate faida with all the requirements, DP lazima aangalie kila mwanya/tobo ili apate superprofit, tunauhakika hakuna matobo?
Nani kakwambia Bandari ya Mombasa hakuna mwekezaji?
 
Back
Top Bottom