πππππMaana yake hakuna madhara makubwa yaliyotegemewa.Hapo maana yake ni nini sasa, mimi nadhani maana yake wayahudi hawakuficha picha za uharibifu, Ila Ayatola anazificha, anaishia tu kusema wmeuawa wanajeshi wanne...
Tumwambie aweke picha.
Wajaribu kama hatujamwona Ayatollah kwenye kifusi akijaribu kuipiga drone kwa fimbo, kama kijana wake aliyewahishwa peponimadhara ya Israel kwa Iran mara hii sio makubwa nadhan Iran wanatafakari lakini hawamuogopi kenge yeyote wanaweza kushambuliwa hao US hasa kwenye base zao huko Iraq
Hao jamaa ni wabishi mno, yaani leo hii wanaamini media ambayo kila siku huwa wanaiponda humu ndaniHapo maana yake ni nini sasa, mimi nadhani maana yake wayahudi hawakuficha picha za uharibifu, Ila Ayatola anazificha, anaishia tu kusema wmeuawa wanajeshi wanne...
Tumwambie aweke picha.
Mara ngapi hizo base zinashambuliwa mpaka baadhi ya wanajeshi wa US wamerejeshwa na vilema em fuatilia mkuu acha ushabiki, Iran sasaiv sio ile enzi za sadam Iran wanajiamini na wanauwezo, jaribu kujifunza nyuma Iran kuna nani kwa sasaWajaribu kama hatujamwona Ayatollah kwenye kifusi akijaribu kuipiga drone kwa fimbo, kama kijana wake aliyewahishwa peponi
Kwani hapa tunabishana nini?πππππMaana yake hakuna madhara makubwa yaliyotegemewa.
BBC ilitangaza maafa ya shambulio la Iran ndani ya Israel Oktoba mosi.
Ila mbona hadi leo ukienda BBC huoni news zozote za maafa kwa Iran!?
Na BBC iko operational ndani ya Tehran.
1Hii Nayokupa Hapa Chini Ni Movements Ya How Taifa la Israel Lilianzishwa.. ni History kidogo...
1.Zionist Movement (Late 19th Century)
Modern efforts to establish a Jewish state began with the rise of the Zionist movement in the late 19th century, led by figures like Theodor Herzl. Zionists aimed to create a national homeland for Jewish people in response to increasing anti-Semitism in Europe. This movement gained momentum among Jews in Europe and beyond.
2.British Involvement and the Balfour Declaration (1917)
During World War I, the British government issued the Balfour Declaration, which expressed support for the establishment of a "national home for the Jewish people" in Palestine. Following the war, the British took control of Palestine under a League of Nations mandate, governing the region from 1920 to 1948.
3. Growing Tensions and Migration (1930s-1940s)
Increasing anti-Semitism, particularly with the rise of the Nazis in Germany, led many Jews to migrate to Palestine. Tensions between Jewish and Arab communities grew, fueled by conflicting nationalist aspirations and the rising number of Jewish immigrants.
4. United Nations Partition Plan (1947)
After World War II and the Holocaust, there was strong international support for a Jewish state. The United Nations proposed a partition plan to create separate Jewish and Arab states in Palestine. While Jewish leaders accepted the plan, Arab leaders rejected it, leading to increasing conflicts.
5. Declaration of the State of Israel (1948)
On May 14, 1948, David Ben-Gurion, head of the Jewish Agency, declared the establishment of the State of Israel. The British mandate ended the next day, and the new state was immediately recognized by several countries, including the United States and the Soviet Union.
Unapingaje Ukweli Mkuu
Hawatawali ila Wanabebwa na Hizo nchi na Ndo sababu Puttin anawachukia π€£Wenzio wanatawala kuanzia Israel marekan ulaya mpaka maca kwa mfalme. We baki kukariri maisha ukitegemea kutoka.
Myahudi wa Mwanjelwa unaniangusha Sasa.Bado mnasema Israel ndo Taifa Lenye Nguvu...
Anakupiga Mtu halafu onyo anatoa Mwingine Ole wako umrudishie π€£π€£..
Ina maana anajua Ukimrudishia Watu watajua kuwa hana Nguvu π€£π€£ kama anavyosifiwa
Anakusaidia tu kujua uwezo wa adui yako, usije ukang'olewa meno.Bado mnasema Israel ndo Taifa Lenye Nguvu...
Anakupiga Mtu halafu onyo anatoa Mwingine Ole wako umrudishie π€£π€£..
Ina maana anajua Ukimrudishia Watu watajua kuwa hana Nguvu π€£π€£ kama anavyosifiwa
US anadhani ni yeye peke ndio ana silaha, hapo ananikumbusha watani zangu wasukuma, na ile chagulaga wanadhania kila mwanamke wa kisukuma atabaki na ule ujinga, eti mnajipanga wanaume afu mnamuambia chagulaga. Hawajui siku hizi kuna wasichana wakisukuma wanafata dini ya kislamu, wengine wana ma PhD wanadhania watabaki na ule ujinga wakukimbizana. Ndio US anadhani akimtisha Iran watamuogopa na huto tu Carriers twake na tundege twake F35 na B2 πWatu wanaona Iran ni nchi ya kupush over ..vita ikianza nakuhakikishia zile carrier pale hazirasogea pale karibu maana kuzamishwa ni dakika zisizo zidi 5 tu
BCE ile ardhi ilikuwa Ni ya Roman Empire na hata Kipindi cha Yesu Ilikuwa Chini Ya Roman Empire ila sio yao Walijaribu Kutaka Uhuru Wao kipindi Hicho ila kwa bahati Mbaya wakajikuta Wanakula Kichapo kutoka kwa Warumi..Lakini mkuu, si umesema kwamba Jewish kingdoms existed on the area before common era, kabla hawajashindwa vita na kutawanyika?
Kumbe sasa ile ardhi ilikuwa kweli ni ya wayahudi na walikuwa na haki ya kurudi pale, hili unalionaje mkuu?
Ndio! Watulie!Kwa hiyo wakae washambuliwe hadi Israel atosheke?
Ufala wa level ya PhD.
π€£π€£π€£Myahudi wa Mwanjelwa unaniangusha Sasa.
Kuna watu huwa akili zao zimeganda na wamarekani ni wa moja wao haswa hao waliopo Pentagon.Marekani wameishachelewa sana Iran yupo mbali saizi uwezi kumtisha tena.
Kama ni kweli basi Marekani imeiga kwa Irani hii tabia ya kununua ugomvi!Aibu kubwa mno hii kwa Israel,
Ndio tuseme Marekani imenunua ugomvi!?
Wanaopanga mikakati ya Vita ni marekani,wanaotoa bajeti ya vita ni marekani,silaha zinazotumika vitani ni zamarekani,wanaoilinda Israel ni wamarekani, wanaotoa tathmin ya madhara na kutoa vitisho kwa Iran ni viongozi wa ngazi za juu wa Marekani,wanachodhamini Israel ni uwanja wa Vita tu. Kusema vita vya Israel na Iran ni ubatili.
Man to man ndio nini!? Kupigwa ni kupigwa tu! Kwani vita ilianzaje hii!?Hii vita inajulikana Iran anapigana na Marekani na washirika wake wala sio Israel.
Yaani Iran asimame na Israel man to man jua halitazama kabla Israel haijafutwa na Iran.
Kwahiyo Iran kasimama peke yake huku wazungu wote wa Ulaya hasa magharibi wameungana kuisaidia Israel.
Mihemuko ya M254 & Faizafox we ni no 6 muhimu sana kuwa-neutralize la sivyo JF pangekuwa ukanda wa Gaza ππNa ndiyo wema ambao JF hututendea.Unaenda polepole wakati wengine wanagombana wewe unawa-neutralise tu.
Mi ningependa ijibu ili idhalilike na kusambaratishwa kabisa.Safari hii iran ifyate mkia tu ili ibaki salama. Ikijibu itadhalilishwa vibaya,
Kinachonichekesha eti Iran waliambiwa na Israel kuwa tutawashambulia na msifanye chochote na wakakubali! Ahahahahaha!!!Iran wameshaufyata πΌ
Iran ijibu tu tujooneehuyo waziri hana akili,hawawezi kuimaliza irani,wanapoteza muda wao bure