Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin aionya Iran kuwa ikithubutu kujibu shambulizi la Israeli huo ndiyo utakuwa mwisho wake!

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin aionya Iran kuwa ikithubutu kujibu shambulizi la Israeli huo ndiyo utakuwa mwisho wake!

Hii mikwara na tambo ni kwa pande zote. Utasikia iran nayo ikishambuli hujitatapa shambulio lisijibiwe. Sasa ni mwendo wa mikwara tu huku urusi naye akitia neno nyuma ya iran
 
Hii vita inajulikana Iran anapigana na Marekani na washirika wake wala sio Israel.

Yaani Iran asimame na Israel man to man jua halitazama kabla Israel haijafutwa na Iran.

Kwahiyo Iran kasimama peke yake huku wazungu wote wa Ulaya hasa magharibi wameungana kuisaidia Israel.
Kwa hiyo nini ushauri wako wa mwisho kwa Iran?
 
Hata Saddam alirusha scuds mpaka akasifiwa zaidi ya kuwa praised god!Hatimaye akanyongwa hadharani huku anatukana hovyo na kulia kama katoto.
Usifananishe Saddam na IRAN.
Saddam walimuekea vikwazo vya kiuchumi na silaha on top of that wakam disarm kwa kisingizio Cha kua ana silaha za sumu na maangamizi. Baada ya kuona hana tena silaha hatari na ndipo wakampiga mande na hakuna nchi iliyoingilia zaidi ya kulaani tu.
Mnadhani mazingira yale yatajirudia kwa IRAN?
 
Hii vita inajulikana Iran anapigana na Marekani na washirika wake wala sio Israel.

Yaani Iran asimame na Israel man to man jua halitazama kabla Israel haijafutwa na Iran.

Kwahiyo Iran kasimama peke yake huku wazungu wote wa Ulaya hasa magharibi wameungana kuisaidia Israel.
Urusi kapeleka silaha kibao pamoja na AD za kutosha, kwahyo Iran nae ombaomba tu hamna kitu pale
 
Usifananishe Saddam na IRAN.
Saddam walimuekea vikwazo vya kiuchumi na silaha on top of that wakam disarm kwa kisingizio Cha kua ana silaha za sumu na maangamizi. Baada ya kuona hana tena silaha hatari na ndipo wakampiga mande na hakuna nchi iliyoingilia zaidi ya kulaani tu.
Mnadhani mazingira yale yatajirudia kwa IRAN?
Nini kitashindikana kama mlengwa akili zake ni zilezile na mbinu hizohizo?
 
Mrussi nyuma ya muiran kamwe USA awezi kufanya kitu kikafanikiwa kuitikisa iran ....mrussi huwa hana maneno mengi ...yeye akimwambia iran shambulia ni kimya kimya mtashangaa tu muiran anashambulia kumbe mrussi yupo nyuma ya hayo maagizo ...pia ukitazama wanacho kifanya USA NA ISRAEL ni kama kujikosha tu ukweli ni kwamba lileshambulio lilikuwa la uoga na kujikosha kwa USA na NATO na ISRAEL hivyo wanaogopa kama iran ikijibu basi itabidi wajikoshe tena kwa kujidai kufanya shambulio lingine uchwara....tujiulize imekuwaje ISRAEL na USA walidhike na kashambulio uchwara kiasi kile 🙄 nikama katoto kanadanganywa na mama yake kwa kuambiwa tema tumchape ....
Acha hizi ndoto kijana! Russia anashughulishwa na NATO kwenye vita vyake ba Ukraine.
Hawezi kwa sasa kumpa back up Iran labda silaha tu.
 
Usifananishe Saddam na IRAN.
Saddam walimuekea vikwazo vya kiuchumi na silaha on top of that wakam disarm kwa kisingizio Cha kua ana silaha za sumu na maangamizi. Baada ya kuona hana tena silaha hatari na ndipo wakampiga mande na hakuna nchi iliyoingilia zaidi ya kulaani tu.
Mnadhani mazingira yale yatajirudia kwa IRAN?
Trump akiingia white house nakuhakikishia Iran inaenda kuwa kama iraq ya Saddam Hussein
 
Kwa hiyo,ukitulia unaona muungano huo waa muda wako jf badara ya kuangalia katuni BRICS utakuwa na ubavu kwa USA achilia mbali Ulaya?
Katuni mpya ya tom and Jerry imetoka fanya haraka kuitafuta unapotez
Acha hizi ndoto kijana! Russia anashughulishwa na NATO kwenye vita vyake ba Ukraine.
Hawezi kwa sasa kumpa back up Iran labda silaha tu.
Tumia akili vita vikitokea na iran nato ndiyo wanapata tabu kule ukrain...ndiyo maana marekani analia sana kwa Israel asichochee vita
 
Kumbe una uelewa mzuri tu.Vema.Kwanza unajua imani ni historia inayokuwepo katika jamii kwa masimulizi,mafundisho,hadithi na mapokeo?Kama ni hivyo,kwa nini hao waliokukataza usigeuke nyuma wanakulazimisha uione historia imeanza mwaka 1948 tu na si vinginevyo?Kwa nini na wewe hujishughulishi kurudi nyuma kadiri uwezavyo ili kujiweka huru?Uliandika kuhusu Israeli kuvamiwa na kupotezwa na dola kama Rumi na Ottoman.Je,waliisha na kutoweka?Hiyo ardhi waliyoondolewa kimapigano kwamba waliisahau kabisa?Ni mara ngapi kihistoria Israeli walishindwa vita na aidha kutwaliwa utumwani au kuishi mafichoni na baadaye kurudi palepale kwenye ardhi yao?Kama umeisoma historia yao,ni kipi cha ajabu wao kurudi tena kwao nchi yao ya asili,Israeli?Usifungwe na historia za wasanii.Iache akili yako ichakate mambo kwa uhuru bila kulazimishwa uelekeo.
Asante sana!
Hapo Zamani Marekani Ilikuwa inakaliwa na Wahindi wekundu au Tunaweza Kuita Red Indian au Red indians..

Na Ilikuwa Ikiitwa Turtle Island Vipi na wenyewe Wanaruhusiwa Kurudi na Kudai Nchi yao kutoka kwa Wamarekani baada ya kukaliwa kwa Miaka zaidi ya 800 bila Wao kuitawala?
 
Mrussi nyuma ya muiran kamwe USA awezi kufanya kitu kikafanikiwa kuitikisa iran ....mrussi huwa hana maneno mengi ...yeye akimwambia iran shambulia ni kimya kimya mtashangaa tu muiran anashambulia kumbe mrussi yupo nyuma ya hayo maagizo ...pia ukitazama wanacho kifanya USA NA ISRAEL ni kama kujikosha tu ukweli ni kwamba lileshambulio lilikuwa la uoga na kujikosha kwa USA na NATO na ISRAEL hivyo wanaogopa kama iran ikijibu basi itabidi wajikoshe tena kwa kujidai kufanya shambulio lingine uchwara....tujiulize imekuwaje ISRAEL na USA walidhike na kashambulio uchwara kiasi kile 🙄 nikama katoto kanadanganywa na mama yake kwa kuambiwa tema tumchape ....
Teh teh teh hapo Ukraine kuna nini
 
Katuni mpya ya tom and Jerry imetoka fanya haraka kuitafuta unapotez

Tumia akili vita vikitokea na iran nato ndiyo wanapata tabu kule ukrain...ndiyo maana marekani analia sana kwa Israel asichochee vita
Sorry.Sijaelewa hilo neno katuni sikuliandika.Sijajua limetokea wapi.
 
US kwa miongo mingi imekuwa ikimtafuta (kumlia timing) Iran ajae kwenye mfumo; sasa kama kweli huyu Muajemi ni kidume haya avurumishe makombora mengine ndani ya Islael.
 
Asante sana!
Hapo Zamani Marekani Ilikuwa inakaliwa na Wahindi wekundu au Tunaweza Kuita Red Indian au Red indians..

Na Ilikuwa Ikiitwa Turtle Island Vipi na wenyewe Wanaruhusiwa Kurudi na Kudai Nchi yao kutoka kwa Wamarekani baada ya kukaliwa kwa Miaka zaidi ya 800 bila Wao kuitawala?
Hiyo ni tofauti.Watadai nchi ambayo wamo humohumo kivipi sasa?Labda ungeeleza kwamba wawakatae wageni wabaki wao tu.
 
Back
Top Bottom