Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Sikukubishia ila nilitaka utoe simulizi ieleweke.Kumbe waliambiwa na Mungu?Basi walipewa nchi hiyo na Mungu waitwae.Waliambiwa na Mungu wao...sababu wakiwaacha hawatoishi kwa amani.
Tuletee wewe historia inayoonyesha Israel haikuvamia hapo middle east, kwamba hapo nikwao.
Kila kitu kinaenda kwa hesabu,faida,wakati na sababu anzishi.Siyo holela tu.Mwaka wa ngapi huu US anahangaika na IRAN, Wakati Saddam ilimchukua miaka 13 tu kumsambaratisha.
Iliwahi shambulia base ya Marekan Iraq na ikabaki Salama, licha ya wanajeshi kibao wa USA kufa.Safari hii iran ifyate mkia tu ili ibaki salama. Ikijibu itadhalilishwa vibaya,
Isaya 60:9-10
[9]Hakika yake visiwa vitaningojea,
Na merikebu za Tarshishi kwanza,
Ili kuleta wana wako kutoka mbali,
Na fedha yao na dhahabu yao pamoja nao,
Kwa ajili ya jina la BWANA, Mungu wako,
Kwa ajili yake Mtakatifu wa Israeli,
Kwa kuwa amekutukuza wewe.
[10]Na wageni watajenga kuta zako,
Na wafalme wao watakuhudumu;
Maana katika ghadhabu yangu nalikupiga,
Lakini katika upendeleo wangu nimekurehemu.
Hao USA wanajipendekeza kama Neno la Mungu linavyosema
Na baada ya kuitwaa walienda wapi, mpaka ikakaliwa na watu wengine?. Na Mungu wao ndio huyo aliewarudisha 1948?. Ambae Leo anaenzi ushoga udumu hapo nchini kwao au?.Sikukubishia ila nilitaka utoe simulizi ieleweke.Kumbe waliambiwa na Mungu?Basi walipewa nchi hiyo na Mungu waitwae.
😀😀Lile shambulizi liliishiakuuwa nzi huku general wao akipelekwa jongomeoUmesahau kama kambi za jeshi la marekani zilipigwa na trump ndie alikua Rais?
Kwa hiyo unanipangia kutoa uthibitisho kwa ukitakacho wewe?Imani na historia zinaenda pamoja.Kwa nini uchague kimoja na ukatae kingine?Unataka kubumbabumba nini hapo?
Maneno yako ni kweli kabisa na katika kuongezea upande wangu kwani we unadhani Israel ndio kapiga huko Iran. Ndege zimetokea Gulf states ndio zimepiga hapo inaonyesha ni US ndio kapiga sio Isreal. We jiulize kwanini kabla ya siku hio ya kupiga US alipeleka F16 kutoka US kwenda Gulf states kama sio yeye kahusika.Bado mnasema Israel ndo Taifa Lenye Nguvu...
Anakupiga Mtu halafu onyo anatoa Mwingine Ole wako umrudishie 🤣🤣..
Ina maana anajua Ukimrudishia Watu watajua kuwa hana Nguvu 🤣🤣 kama anavyosifiwa
Mbona Backup ni issue ya kawaida, maana huyo aliyetoa onyo anavijinasaba vya kiyaudi. Mbona huyo Muajemi hasiejua kutengeneza hata Betri ya gari maana Teknolojia analetewa nae anapata backup kutoka RussiaBado mnasema Israel ndo Taifa Lenye Nguvu...
Anakupiga Mtu halafu onyo anatoa Mwingine Ole wako umrudishie 🤣🤣..
Ina maana anajua Ukimrudishia Watu watajua kuwa hana Nguvu 🤣🤣 kama anavyosifiwa
Naamini umesimuliwa walienda wapi na kwa nini.Hao walioikalia nchi iliyoachwa na Israel walitokea wapi?.Kwani kabla hawajaifuata ardhi ya waisraeli walikuwa wanaishi wapi?Kwa nini wasirudi kwao kwa asili?Kuhusu ushoga,hiyo siyo hoja ya uzi au majadiliano haya.Ushoga ulianza miaka na miaka mfano tu kwenye biblia Sodoma na Gomorah umeelezwa.Labda ndiyo chaguo lao ingawa si wote.Sijajua hilo.Na baada ya kuitwaa walienda wapi, mpaka ikakaliwa na watu wengine?. Na Mungu wao ndio huyo aliewarudisha 1948?. Ambae Leo anaenzi ushoga udumu hapo nchini kwao au?.
Uzuri wao Iran wana pesa ya mafuta ila ubongo sifuri, ndio sababu idara zao zote muhimu zina mawakala wa Israel, wanapata taarifa zote muhimu, mpaka kiongozi gani yupo wapi kwa muda muafaka, ndio maana kila wakishambulia mlengwa mochwari, iwe Lebanon, Syria, Gaza au Tehran, Ayatollah anaweza kuwa ndani ya target kwa sababu hata ile ajali ya iliyomuua Rais wao nina mashaka makubwa ni mkono wa hawa wataalam, kumbuka kulipua kwa pagers za Hezbullah na ajali fake iliyomuua Samora Machel wa Msumbiji miaka ya 80, balaaWaliambiwa na Mungu wao...sababu wakiwaacha hawatoishi kwa amani.
Tuletee wewe historia inayoonyesha Israel haikuvamia hapo middle east
Mshachelewa.
Mbona Backup ni issue ya kawaida, maana huyo aliyetoa onyo anavijinasaba vya kiyaudi. Mbona huyo Muajemi hasiejua kutengeneza hata Betri ya gari maana Teknolojia analetewa nae anapata backup kutoka RussiaBado mnasema Israel ndo Taifa Lenye Nguvu...
Anakupiga Mtu halafu onyo anatoa Mwingine Ole wako umrudishie 🤣🤣..
Ina maana anajua Ukimrudishia Watu watajua kuwa hana Nguvu 🤣🤣 kama anavyosifiwa
Yaani hao hao wazungu walioitunga biblia halafu waiogope tena biblia?
Hayo uliyonukuu ni maneno ya kina Isaya ambao ni watu kama wewe sema wameileta kisomi zaidi ili kuwapumbaza wajinga kama wewe.
huyo waziri hana akili,hawawezi kuimaliza irani,wanapoteza muda wao bureWadau hamjamboni nyote?
Jisomeeni
US defense chief: Iran ‘should not make the mistake of responding to Israel’s strikes’
By Reuters
“Iran should not make the mistake of responding to Israel’s strikes, which should mark the end of this exchange,” Austin says in a statement.
Haya ni maneno yako wewe poyoyo usie jielewa je trump alijibu😀😀Lile shambulizi liliishiakuuwa nzi huku general wao akipelekwa jongomeo
Usiwe kila na shabiki kisai hiki hujui hata Russia anatumia kamikaze drone kutokea IranMbona Backup ni issue ya kawaida, maana huyo aliyetoa onyo anavijinasaba vya kiyaudi. Mbona huyo Muajemi hasiejua kutengeneza hata Betri ya gari maana Teknolojia analetewa nae anapata backup kutoka Russia
Eti nasikia quran ililetwa na allah kinyumenyume. Eti ni kweli yahee?Yaani hao hao wazungu walioitunga biblia halafu waiogope tena biblia?
Hayo uliyonukuu ni maneno ya kina Isaya ambao ni watu kama wewe sema wameileta kisomi zaidi ili kuwapumbaza wajinga kama wewe.
Yaan unasema Iran sifuri wakati dola ya uajemi imetawala mpaka huko ulaya. Huwajui waajemi wewe endelea kusoma udaku mitandaoni.Uzuri wao Iran wana pesa ya mafuta ila ubongo sifuri, ndio sababu idara zao zote muhimu zina mawakala wa Israel, wanapata taarifa zote muhimu, mpaka kiongozi gani yupo wapi kwa muda muafaka, ndio maana kila wakishambulia mlengwa mochwari, iwe Lebanon, Syria, Gaza au Tehran, Ayatollah anaweza kuwa ndani ya target kwa sababu hata ile ajali ya iliyomuua Rais wao nina mashaka makubwa ni mkono wa hawa wataalam, kumbuka kulipua kwa pagers za Hezbullah na ajali fake iliyomuua Samora Machel wa Msumbiji miaka ya 80, balaa