Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin aionya Iran kuwa ikithubutu kujibu shambulizi la Israeli huo ndiyo utakuwa mwisho wake!

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin aionya Iran kuwa ikithubutu kujibu shambulizi la Israeli huo ndiyo utakuwa mwisho wake!

aisee Iran hana Baba wala mama, mwenzie anababaake anayemkingia kifupi.

Ni busara Iran apige zake kimya japo nayenyewe sio sawa kwa mustakabali wa Uhuru wao.
Iran ameishi kwa vikwazo miaka mingi, wenzie wako free kutrade popote pale Leo ameonyesha pamoja na vikwazo anaweza kusimamia anachokiamini na hata kuzipiga pale Uhuru wake unapoingiliwa.

Heko Waajemi, mmeonyesha you are true warriors na dunia ilipaswa kusimama upande wenu ili haki ya Wapalestina isimame.
Ni kweli anatakiwa kupiga kimya.

Lakini haki ya wapalestina haitafutwi kwa kudhamini magaidi wa Hezibola na Hamas, atumie approach nyingine.
 
Usifananishe Saddam na IRAN.
Saddam walimuekea vikwazo vya kiuchumi na silaha on top of that wakam disarm kwa kisingizio Cha kua ana silaha za sumu na maangamizi. Baada ya kuona hana tena silaha hatari na ndipo wakampiga mande na hakuna nchi iliyoingilia zaidi ya kulaani tu.
Mnadhani mazingira yale yatajirudia kwa IRAN?
Unaongea vitu vya maana sana shida unamjibu mlokolo anayeamini hata ukimpa tigo myahudi unabarikiwa ..ni kazi kweli
 
amakweli sasa naanza kuamini israel ndo itakayokuwa chanzo cha vita ya 3 ya dunia
Nani apigane vita vya dunia?

Iran atapigwa na hakuna wa kumsaidia.

Nani alimsaidia Saddam Huwezi Mabeberu yalivyokuwa yanamshushia mawe?

Kule afghanstani wamaghariki mbona walipiga tu?

Putin ameshachoka na vita anasubiri Trump awe raisi aahirishe vita.

Yule dogo mnyoa panki kazi kuvuta bange tu na kupiga mkwara.

Mchina anafocus kukuza uchumi ili awe superpower hana mpango na vita.
 
Vyovyote vile utakavyoelewa ila Iran asithubutu kujibu.

Mpaka muda huu ni mtuhumiwa so cha kufanya ni yeye kukaa kimya kusubiri uamuzi wa mahakama.
Dunia imeshaatoka huko mkuu mambo ya kuonewa hayapo tena.. ule mfreji ukizibwa uchumi wa usa na dunia nzima utacolaspe ..unacolase wakti huo nchi inahitaji mafuta ya kurushia ndegen na uzalishaji kwenye mitambo .kwa usa ana weza poteza hata usd 3trilloo tano sio kazi
Mwaka wa ngapi huu US anahangaika na IRAN, Wakati Saddam ilimchukua miaka 13 tu kumsambaratisha.
Kama huoni utofauti wa IRAN na Utawala wa Saddam kijeshi, kiuchumi na kiushawishi na mabadiliko ya uendeshwaji wa mambo duniani sitakua na msaada tena baada ya posti hii.
Mtu akishaakuwa na mahaba anaweza kukulazimisha uamini damu ina rangi nyekundu
 
Hata Saddam alirusha scuds mpaka akasifiwa zaidi ya kuwa praised god!Hatimaye akanyongwa hadharani huku anatukana hovyo na kulia kama katoto.
Bakumbuka wakaishiaa kusema "Sadama Mwanaume"![emoji23][emoji23][emoji23]

Tatizo kubw la waarabu/ waislam ni kutaka kufunika imani zingine kwa namna yoyote ile. Sasa pale ME jamii iliyogoma kabisa kufunikwa ni wayahudi...mataifa ya kikristo kadhaa yalifutika hata jamii za wakristo zinafutwa na kuuliwa hovyo tu middle East, wanakalia kusema wanamwachia Mungu.

Myahudi kagoma kabisa ! Na hawatakaa wamuweze kwa kua amejua kuwa lugha ya ustaarabu hawaijui anawachinja kama wachinjavyo wao.

Hawa jamaa ni wabinafsi na roho mmbaya sana...duniani wana mataifa zaidi ya 40 ya kiarabu, lkn kataifa kamoja tu ka Kiyahudi kanawaumiza roho hawalali kuwaza kukaangamiza!!
 
Bakumbuka wakaishiaa kusema "Sadama Mwanaume"![emoji23][emoji23][emoji23]

Tatizo kubw la waarabu/ waislam ni kutaka kufunika imani zingine kwa namna yoyote ile. Sasa pale ME jamii iliyogoma kabisa kufunikwa ni wayahudi...mataifa ya kikristo kadhaa yalifutika hata jamii za wakristo zinafutwa na kuuliwa hovyo tu middle East, wanakalia kusema wanamwachia Mungu.

Myahudi kagoma kabisa ! Na hawatakaa wamuweze kwa kua amejua kuwa lugha ya ustaarabu hawaijui anawachinja kama wachinjavyo wao.

Hawa jamaa ni wabinafsi na roho mmbaya sana...duniani wana mataifa zaidi ya 40 ya kiarabu, lkn kataifa kamoja tu ka Kiyahudi kanawaumiza roho hawalali kuwaza kukaangamiza!!
Let them,Arabs, rot in hell!
 
Maneno yako ni kweli kabisa na katika kuongezea upande wangu kwani we unadhani Israel ndio kapiga huko Iran. Ndege zimetokea Gulf states ndio zimepiga hapo inaonyesha ni US ndio kapiga sio Isreal. We jiulize kwanini kabla ya siku hio ya kupiga US alipeleka F16 kutoka US kwenda Gulf states kama sio yeye kahusika.

Afu Iran huwa hamuogopi US hata US atishe vipi Iran akaitaka kupiga Israel hamuogopi US. Hivi US atafanya nini kwa Iran zaidi ya anacho fanya Yemen.
Watu wanaona Iran ni nchi ya kupush over ..vita ikianza nakuhakikishia zile carrier pale hazirasogea pale karibu maana kuzamishwa ni dakika zisizo zidi 5 tu
 
Iran atalipizaje sasa?

Mitambo ya kutengeneza missile aliyoitoa China imeharibiwa.

Mifumo ya ulinzi wa anga aliyopewa na Putin nayo pia imeharibiwa.

Radar imelipuliwa ikateketezwa na mazayuni.

Sasa hivi analala uchi tu kama mwanamwali anayesubiri kupigwa pumbu.

Hii komenti wakiisoma marafiki zangu Ritz na Webabu nahisi urafiki utakufa. Akiiona faiza Foxy najua ndio sitakubaliwa tena, maana nabembeleza mapenzi.
Do ..hii taarif umeituoa wapi ..kama amna missle production na amna airdefence si ndo vizuri waende huko palipo tambarare
 
Bado mnasema Israel ndo Taifa Lenye Nguvu...
Anakupiga Mtu halafu onyo anatoa Mwingine Ole wako umrudishie 🤣🤣..
Ina maana anajua Ukimrudishia Watu watajua kuwa hana Nguvu 🤣🤣 kama anavyosifiwa
Wenzio wanatawala kuanzia Israel marekan ulaya mpaka maca kwa mfalme. We baki kukariri maisha ukitegemea kutoka.
 
Tangu lini Iran ilikatazwa kitu na USA na ikatiii mmesaau Tramp na mikwara yake lkn alipelekewa moto Iran anawajua adui zake ndani nnje. Ivyo viuma vitapepea tu Hiii trip target ni kambi za jesh na wajeda wanyewe,
General wao aliuwawa kama panya na Iran ikaishia kurusha magimbi kwenye kambi za USA
 
Hizo picha mimi nafikaje huko Tehran sasa ili nipige nikutumie? Mbona unanipa kazi ngumu sana.
Mbona Israel ikishambulia Syria na Lebanon tunaona mapicha kama yote!?
Mbona Iran iliposhambulia Israel tuliona video ya makombora yakitua Israel na kufanya uharibifu!?
 
Hapana Sina Lengo la Kubumba Ila Uliposema Imani Na Historia zinaenda Pamoja Kidogo napata Mashaka (Samahani kwa kusema hivyo)..

Maana kuna Viti vingi ambavyo Kihistoria Havipo Ila kiimani Vipo..Ni Vingi sana na Vingine Kiimani Havipo ila Kihistoria Vipo..

Lets Stick to Israel Nation on Political History na Sio kwamba Nakupangia Just Clarification tu mkuu...
Na Kuweka Sawa baadhi ya Mambo Usione kama Napinga au nakupangia Just Naweka sawa mambo..

Before 1948, there was no known political entity officially known as the "State of Israel." Nafikiei hata wewe Unajua

The concept of a Jewish nation-state in the land of historic Israel existed mainly as an aspiration rather than as a political reality.

hii ndo Hiyo Historical View

1. Ancient Israel and Judea (Before Common Era)

There were early Jewish kingdoms in the region, notably the Kingdom of Israel and the Kingdom of Judah. These entities existed approximately from the 10th to 6th centuries BCE but fell to empires such as the Assyrians, Babylonians, and later the Romans.


2. Roman and Byzantine Rule (1st Century BCE – 7th Century CE)

The area became part of the Roman Empire, which renamed it "Provincia Judaea." After the Jewish-Roman wars, Rome suppressed Jewish revolts and renamed the region "Syria Palaestina" to minimize Jewish identification with the land.

Jewish political autonomy in the region effectively ended, but small Jewish communities remained.


3. Islamic and Ottoman Periods (7th Century – 1917)

After the Muslim conquests in the 7th century, the region became part of various Islamic empires, including the Umayyad, Abbasid, and Fatimid caliphates.

The Ottoman Empire ruled the area from 1517 until World War I. Under Ottoman rule, the region was part of "Southern Syria" and included diverse communities of Arabs, Jews, Christians, and others, but there was no political entity called "Israel."


4. British Mandate of Palestine (1920 – 1948)

After World War I, the League of Nations granted Britain control over Palestine. This mandate aimed to prepare the region for independence, guided by the terms of the Balfour Declaration (1917), which supported a "Jewish national home" in Palestine.

During this period, Jewish immigration increased, and tensions between Jews and Arabs grew. Jews organized politically and militarily, laying foundations for self-governance.

sasa Ulitakiwa Kujiuliza kwanini During British Mandate of Palestine ndo kuwa na Jews Wengi sana wanaoingia Hapo Palestine na kusema Ni mji wao..

Sipo kutetea Waarabu au Chochote ila nipo kutetea History iliyopo


5. UN Partition Plan and Independence (1947–1948)

In 1947, the United Nations proposed a partition plan to create separate Jewish and Arab states in Palestine, but there was no official Jewish state or recognized nation-state of Israel at this time.

In 1948, the Jewish leadership, led by David Ben-Gurion, declared the independence of the modern State of Israel. This declaration was internationally recognized by some countries, marking the first official establishment of Israel as a nation-state.


So that is the History how Israel Got its State
Lakini mkuu, si umesema kwamba Jewish kingdoms existed on the area before common era, kabla hawajashindwa vita na kutawanyika?

Kumbe sasa ile ardhi ilikuwa kweli ni ya wayahudi na walikuwa na haki ya kurudi pale, hili unalionaje mkuu?
 
Natamani vita isiishe ila mataifa ndo yayeketee ili waislam wajiridhishe kati ya waislama wakristo nani zaidi
 
Mbona Israel ikishambulia Syria na Lebanon tunaona mapicha kama yote!?
Mbona Iran iliposhambulia Israel tuliona video ya makombora yakitua Israel na kufanya uharibifu!?
Hapo maana yake ni nini sasa, mimi nadhani maana yake wayahudi hawakuficha picha za uharibifu, Ila Ayatola anazificha, anaishia tu kusema wmeuawa wanajeshi wanne...

Tumwambie aweke picha.
 
Back
Top Bottom