Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hili ndio jibu.....wewe kumbuka unawanunua hata Mkeo hakuwa anakupenda bali ulimnunua.nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndio jibu.....wewe kumbuka unawanunua hata Mkeo hakuwa anakupenda bali ulimnunua.nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Sawa sawa but case ya mke yenyewe iko tofauti kidogo na hiiHili ndio jibu.....wewe kumbuka unawanunua hata Mkeo hakuwa anakupenda bali ulimnunua.
Kiaje tena dokta?Wazee mnaolamba Asali mna jeuri sana huku mnapandisha deni la Taifa tu wala hamjali
Ukienda chooni ukanya na kuyaacha mavi yakiwa yanatoa fukuto la harufu kali isiyofaa harufu kali harufu mbaya hua unajiuliza mimi ndiye niliekuwa nimeyabeba haya mavi yalipokua tumboni mwangu yalikua hayatoi harufu ila sasa nimeyanya yanatoa harufu mbaya haya mavi yatakua yana chuki kabisa na mimi?Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Utani,,.Ukienda chooni ukanya na kuyaacha mavi yakiwa yanatoa fukuto la harufu kali isiyofaa harufu kali harufu mbaya hua unajiuliza mimi ndiye niliekuwa nimeyabeba haya mavi yalipokua tumboni mwangu yalikua hayatoi harufu ila sasa nimeyanya yanatoa harufu mbaya haya mavi yatakua yana chuki kabisa na mimi?
Mkuu kichwa chako kipo sawa au una elements fulani za ukichaa? Mavi ukiyanya umeyanya kunuka kwa mavi haimaanishi kwamba Mavi uliyoyanya mwenyewe yaanza kunuka basi hayo mavi yanakuchukia wewe uliekunya ukishakunya mavi umekunya ni kuyaacha yanuke haijalishi umeyanya wapi iwe chooni au porini usisumbuke tena na mavi uliyoyanya mwenyewe, ukishakunya mavi kisha ukaanza kusumbuka na mimavi yako ukiwa unayakunya unaanza kuyafikiria haya mavi yananichukia kweli yaan haya mavi nimeyanya mwenyewe ila sasa hivi mavi yaanza kunichukia watu watakuona km kichwani zimepungua akili, ukinya unaachana na mavi huna haja ya kusumbuka na mavi tena usitake watu waanze kukuona wewe km kichaa fulani hivi uliekosa akili
Namaanisha ukishaachana na mwanamke usisumbuke nae tena wewe songa mbele na maisha yako sasa unaanza kusumbua akili ananichukia ananichukia si umeshaachana nae tayari au wewe akili zako zinakuambia ukishaachana na mavi unayarudisha tena tumboni?
Unaendeshwa na mapenzi mpuuzi wewe basi endelea hivyo kwa hio ukishaachana na mwanamke wewe unataka nini kingine kwake na mmeshaachana unatakaje yaan kashakuacha unatakaje aendelee kukuvulia chupi wakati huna muungano nae na yeye ana mtu mwingine anaemvulia chupi nini kingine unachokitaka kutoka kwake?Utani,,.
Utani,, mwanamke hawezi kulinganishwa na taka mwili mkuu grow up.
Kama kwako kuachana ni uadui basi jirekebishe utaua au kuuawa mkuu
Yaani mtu uliyemuelewa ukampa na mwili wako kisa mmeachana awe kinyesi uko sawa kweli?
Duuh hatariUnaendeshwa na mapenzi mpuuzi wewe basi endelea hivyo kwa hio ukishaachana na mwanamke wewe unataka nini kingine kwake na mmeshaachana unatakaje yaan kashakuacha unatakaje aendelee kukuvulia chupi wakati huna muungano nae na yeye ana mtu mwingine anaemvulia chupi nini kingine unachokitaka kutoka kwake?
Of course yes, mimi nikishaachana na mwanamke hua nazima data nakata mawasiliano nasaka kwingineko huko nimpate anaenielewa yule nilieachana nae tukikutana hakuna kingine zaidi ya salamu na sisumbukii kufikirisha akili yangu kwamba ananichukia ananichukia wakati tumekwisha achana kwa hio naweka focus yangu kwa mtu mwingine ambae ananielewa yule aliepita ameshapita ndio maana nikatolea mfano wa mavi hata ng'ombe ana akili akishakunya mavi hua haangaiki kuyarudisha tena mavi yale yale aliyokunya ayarudishe tena tumboni labda km una akili za Nguruwe, ukishaachana na mwanamke muache aende usisumbukie tena kitu kilichokwisha kwenda ameenda ameenda kubari hali halisi kubari imekua kubari imetokea saka mwanamke mwingine anzisha nae mahusiano nae usikae kumuwaza ulieachana nae eti ananichukia sasa akupendee nini tena wewe na umeshaachana nae unataka upendwe tena wakati huna mahusiano nae wewe una akili gani hizo?
Unafikiri kwa kutumia nini? Umeachana na mwanamke usikae chini tena na kuanza kua na mawazo ananichukia ananichukia mkuu mimi nakueleza kuendana na experience siwajui wanawake totally ila najua jinsi ya kuendana nao
Mwanamke hakuchukii wewe ila wewe kwa jinsi ulivyo unaonekana baada ya kuachana na mwanamke unaanza kujichukia mwenyewe wewe mwenyewe baada ya kuachana nae ndio unaanza kujichukia kwanini nimeachana nae kwanini haikua hivi sasa hilo ni tatizo lako wewe sio tatizo la mwanamke hilo inakubidi uliewe kabla na baada ya kuachana na Mwanamke yoyote ambae utakua nae au ulienae katika mahusiano,
Pia reflection ya kile unachokiona kutoka kwake sio yeye ni wewe unaposema ananichukia sio yeye anaekuchukia ila ni wewe ndio unaejichukia kwa namna tofauti ima unajichukia kwamba baada ya kumuacha au kuachana nae amekua mzuri zaidi kwa hio unajutia kwanini uliamua kuachana nae hapo sasa unapofanya jitihada za kurudisha ulichokiacha inakugharimu kujichukia mwenyewe kwa kujutia maamuzi yako ya awali na kibaya unachojichukia zaidi ni kwamba anazidi kua mrembo kuna wadau wanamgonga na wewe unavyomuona ukivuta feelings unaona km ulistahiri kuendelea kumgonga ila hio nafasi tena haipo kwa hio unaendelea kujichukia kisha una-badirisha mtazamo kwa fikra zako zinazokuambia anakuchukia ila deep inside sio yeye ni wewe unajichukia mwenyewe
Sio nayachukulia maisha serious wewe ungekuwa huyachukulii maisha serious baada ya kuachwa ima ungejipiga kitanzi au ungefanya tukio la kutisha ila kwa kua maisha unayachukulia serious sana ukaamua kuacha iwe ila ndani kwa ndani unachukia maamuzi yako,Duuh hatari
Acha nikubaliane na wewe maana nikisema nikueleweshe wewe unaelewa tofauti
Then una temper ya juu sana sijui ingekuwa live ingekuwaje?
Unayachukulia maisha serious sana mkuu
Sidhan kama umenielewa kwanza sijakataa ushauri but maneno unayotumia kuufikisha ushauri wako mkuuSio nayachukulia maisha serious wewe ungekuwa huyachukulii maisha serious baada ya kuachwa ima ungejipiga kitanzi au ungefanya tukio la kutisha ila kwa kua maisha unayachukulia serious sana ukaamua kuacha iwe ila ndani kwa ndani unachukia maamuzi yako,
Nimejibu kuendana na ulichokiandika pia kitu kingine ungekua hauyachukulii maisha serious usingeanzisha uzi huu kuomba ushauri na cha muhimu zaidi unapoomba ushauri usijitie ujuaji maana unapokea ushauri wa watu wenye experience tofauti tofauti kutoka nyanja tofauti na mazingira tofauti wanaoelewa masuala tofauti inakupasa unapopewa ushauri kaa chini tulia chakata ushauri upi unaokufaa km unapewa ushauri na hautaki kupokea ushauri kulikua na haja gani ya kuja kufungua uzi na kuomba ushauri wakati ufumbuzi unao mwenyewe?
Wewe umeomba ushauri unapewa ushauri unaona ushauri unaopewa haufai kwa hio unataka ushauriwe vile unavyotaka wewe? Kuhusu suala la temper ni kwamba jinsi ulivyojieleza ndio jinsi ile ile unavyopewa ulichokileta yaan namaanisha utapokelewa vile ulivyokuja ukija vizuri utapokelewa vizuri na ukija vibaya utapokelewa vibaya vile vile
Sikia nigger umeniita nigger basi ngoja na mimi nikutembeze ki-nigger ni hivi km kweli unachosema wewe ni bingwa wa kupigwa vibuti basi kubari vibuti hivyo kubari kwamba kibuti kimetokea kubari yaliyopita sio ndwele ganga ya jayo ukijikwaa kwenye kisiki ukaanguka chini hukai chini hapo hapo na kukiangalia kisiki then unaanza kukiambia kisiki kinakuchukia bali unasimama na kuendelea na safari huwezi kukaa hapo nakuanza kukisonokea kisiki kilichokukwaa bali utajifunza kwa jinsi ulivyojikwaa mbele ya safari utakua makini ili usijikwae tena kwenye kisiki kile kile au kwenye kisiki kingine tofauti na kile kwa hio hapo unakua na uwanda mpana wa kung'amua nini ufanye na nini usifanye kutokana na jinsi ulivyo, hapa naona utakua umenielewa vizuriNaifanyia kazi kwa watakaofuata japo huwa siachi bali naachwa..
Mimi kuacha sio lazima maana kuna kuignore mtu akileta miyeyusho but akikaa sawa tunaenda thatsall.
Ahsante kwa ushauri nigger.
Huduma mzeya...huduma imeondoka ndio wanachoumia hapo hamna chingine. Usijidanganye kuwa wee handsome sana au unajua kugegeda vjzuri sana🤣🤣🤣🤣🤣Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.
Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.
Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Ila maisha haya kuna sampuli za wanawake zipo tofauti sana kuna wanawake sio malaya kabisa, kuna wanawake malaya ila hawajionyeshi moja kwa moja km wanajiuza na kuna wanawake ni malaya na wanajionyesha directly kwamba wanauza na wanajiuza,Huduma mzeya...huduma imeondoka ndio wanachoumia hapo hamna chingine. Usijidanganye kuwa wee handsome sana au unajua kugegeda vjzuri sana🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu ununuzi wangu nikikuelezea hata hayo makundi mawili utayafuta yaani la kwanza na la piliIla maisha haya kuna sampuli za wanawake zipo tofauti sana kuna wanawake sio malaya kabisa, kuna wanawake malaya ila hawajionyeshi moja kwa moja km wanajiuza na kuna wanawake ni malaya na wanajionyesha directly kwamba wanauza na wanajiuza,
Hao ni wanawake makundi matatu tofauti nimewaeleza kwa kadrio la chini, sasa tuje kwenye scenario ya mleta mada kwa mujibu wa maelezo yake yeye ana mapenzi ya kununua maana yake hapo anaangukia kwenye kundi la 3 la wanawake na hio ndio sampuli ya wanawake anaoona wanamfaa yaan ananunua hii ni kwa maelezo yake mwenyewe sasa wewe ushajua huyu mwanamke nipo nae ila nipo nae kwa kumnunua tu temporary
Maana yake wewe unaishi na malaya na unajua kabisa kifuatacho baada ya ni nini maana mwanamke malaya anataka hela ikitokea hela imeisha yeye hana tena mkataba na wewe hayupo kusubiri urudi katika hali yako ya awali na haelewi hiki wala kile anachokitaka yeye ni hela tu si vinginevyo, kwa kumalizia ndugu yetu tumshauri kwamba awamu hii akitafuta mwanamke ajitahidi asiende kuopoa makurumbembe na kuyalipa ili yampende km kuhudumia
Naweka kalamu chini....
Kama hauna malengo nao ni bora usiwatongoze na pia kama lengo lako kumtuliza abdalla jicho moja ni bora ukachukua MLUPO tu.Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.
Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.
Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Inatokea nadate na mwanamke, kwa muda mrefu, au muda mfupi, let's say miezi mitatu, au mwaka. Hapo unakuta manzi ananiimbia, nyimbo za malengo ya ndoa. Hata kama anajua fika kuwa nilimnunua baada ya mitongozo kusua sua. Mwamba naapply pesa. Dau linatiki na hii mbinu haijawah kuniangusha.
Sasa unakuta yeye anajua tuko kibiashara kabisa. Lakini anataka kujiweka awe mke. Na mimi ni hunter tu naepita. Maana sina jiko so nafanya tu kumtuliza huyu boy mdogo kipofu. Sasa ikitokea manzi ananiganda yaani anawaza kunigeuza niwe husband materio a.k.a simp. Mi nakataa hapo sasa unakuta tunaachana for good sake.
Ajabu ni hii ambayo nataka mnisaidie tafadhali. Ni kwanini nikiachana na hawa wanawake wanaweka chuki kali sana kwangu? Kiasi najiuliza kwani nimemfanyia nini huyu? Hata mke wangu aliponiacha aliniwekea chuki kubwa sana nikawa sielewi, nikawa najipa moyo tu kuwa ni kwasababu hakunipenda wala kunihitaji tena.
Lakini hii imeendelea kwa wanawake wengine. Japo ni wao huleta wazo la kuachana. Sijawahi kumwambia mwanamke kuwa tuachane hata kama simhitaji kabisa, wao ndio huniambia tuachane au tumeachana. Kisha baada ya hapo hufuata chuki kali mno.
Tatizo ni nini wakuu hebu tuasaidiane isijekuwa nina tatizo sehemu ikapelekea nikapigwa kisu siku moja. Maana wanawake wengine akili zao wanazijua wao. Nakaribisha mchango positive na utani kiasi, matusi yasubiri uzi wake wa matusi.
Sawa basi wewe mkuu ushajielewa kwamba una-deal na malaya na malaya hataki shobonengwa ukishamaliza mlipe aende zake hio ndio taratibu ya malaya wote dunianiMkuu ununuzi wangu nikikuelezea hata hayo makundi mawili utayafuta yaani la kwanza na la pili
Kwa uzoefu wangu ni hivi kila mwanamke ana price yake kataa kubali
Usidhani navyosema nawanunua kwa kujumua ni sampuli tofauti tofauti na ni heavyweight pussies.
Wengi ni wake za watu ndio maana nikimaliza biashara sitaki mazoea there are prostitutes and undercover prostitutes,, wanawake wote wako kwenye haya makundi sasa itategemea na wewe umuweke kundi lipi hapo.
Hii mentality mnaitoa wapi? Chuki kivipi? Nna mslulu wa wanawake niliowaacha nyuma na hakuna anaenichukia mostly hua nawachekecha nione km nikiomba mzigo napewa na kweli nikichekecha wanajaa sasa najiuliza hio michuki nyinyi mnaitoa wapi?kujenga chuki mkiachana
Hii mentality mnaitoa wapi? Chuki kivipi?
Hii mentality mnaitoa wapi? Chuki kivipi?kujenga chuki mkiachana
Kwa hio hio ndio chuki?Hili swali unabidi kujua nini maana ya chuki na inasababishwa na nini.
Chuki - inakuzwa na scarcity mind set as I told you .
Ukiwa ktk relationship na mwanamke ambaye yupo ktk scarcity ya kutafuta na the right man ,siku ukimuacha uwezo wa kufanya detachment unapungua.