Watz twaongoza kula sumu na uchafu,ukitaka amini tembelea masoko yote Tanzania.Tena unalimwa katika mabonde ya mavi na maji taka huko mkwajuni,Kigogo,Riverside n.k
Magharibi wana supu zilizofungashwa kwenye box na makopo kama juice! Yani unanunua supu unaenda kupasha tu unakunywa, hakuna haja ya kupoteza muda kuchemsha nyama masaa ukitafuta supu.
View attachment 3158974
View attachment 3158975
View attachment 3158976
Mafuru mwenyewe alikuwa tajiri ila kafa kizembe maana angepima mapema angejuaWaafrika wengi hata hawaendi hospitali kupima afya zao na Hizo hospitali zenyewe za kupima cancer Africa ziko wapi??
Dah raha ya supu ulikimbize jogoo mpaka utoe kajasho๐ค
Shida tumekariri ugali naubwabwaMkuu hata sisi haswa Tanzania tungeamua kula vizuri ni rahisi tu hata zaidi kwa sababu tanzania kuna vyakula vya kutosha๐ค๐ค
Chajabu sie ndo tunazeeka nakufa haraka acheni ujuajiVyakula vya hovyo kabisa.
Kama unaweza kupata nyama imechinjwa leo na kupikwa leo ukala unaenda kuhangaika na chakula kimekaa kwenye makabati miezi kadhaa.
Hayo waachieni wao na staili yao ya maisha
Mkuu ukikaa nnje na huo ugali na ubwabwa pia kuna mda una u miss mno๐คShida tumekariri ugali naubwabwa
Mkuu mimi hauniambii kitu kuhusu supu ya kuku wa kienyeji na hekaheka za kumkamata๐ ๐Dunia inaenda mbele..wewe unaturudisha nyuma kwenye UJIMA ๐๐๐๐
Kula vyakula vyenye kemikali ndo kuwa mbali? Wazungu wanasumbuliwa mno na obesity.Kwenye suala la lishe wazungu wako mbali sana
Kwanza watu hawajui kuwa vyakula hivi kimtizamo vinaonekana vya kimaskini kwa sababu ni vya bei rahisi na kuepusha gharama ya kuviandaa๐คKula vyakula vyenye kemikali ndo kuwa mbali? Wazungu wanasumbuliwa mno na obesity.
Obesity ni janga la dunia sio wazungu pekeeKula vyakula vyenye kemikali ndo kuwa mbali? Wazungu wanasumbuliwa mno na obesity.
Kuna majogoo ya kienyeji Yana mabio hayo ๐คฃ๐คฃ๐๐๐ labda uyakimbilizie bandani๐๐Mkuu mimi hauniambii kitu kuhusu supu ya kuku wa kienyeji na hekaheka za kumkamata๐ ๐
Majogoo ya gen Z, yanawika hata saa sita ya usiku hayana ule utamu kabisa๐๐Kuna majogoo ya kienyeji Yana mabio hayo ๐คฃ๐คฃ๐๐๐ labda uyakimbilizie bandani๐๐
Mkuu kuna watu wapo America na ulaya kutoka tanzania na kenya wametajirika kwa kuuza ugali ๐คIlhali sisi wadanganyika mpaka sasa hatujafanikiwa kuja na mbinu mpya ya kupika ugali na ni zaidi ya karne sasa tangia ugali uanze kutumika.
Wewe ndio unaleta porojo, halafu na pia upunguze kuwaabudu wazunguWewe acha porojo zako, hata Tanzania hamli organic foods na sio kila mtu ana huo muda wa kununua na kupika mwenyewe kila mlo. Supermarkets za West zimejaa vyakula vya kila aina kutoka mashambani, vingine hata wewe hujawahi kuviona dunia hii na watu wanapika kuliko hata wewe mbantu.
Washenzi waliua Tanganyika packer zilikuwepo hizo, na tulikula sana!Lakin zaman miaka ya 90 hapa bongo maharage na nyama za kopo zilikuwepo na unakuta kitu safi kabisa
Azam waanze kutengeneza hii kitu
Halafu Kwa bongo hapa mtu akienda kula KFC anaona ni ufahari mkubwa anapost mpaka kwenye social media page yake๐Hata wazungu wengi sana wanakula natural tena wengi mno ndio maana kwa KFC na macdonald sio migahawa ya watu wenye kipato Bali maskini
Labda dunia yako na Dr Janabi. Utapiamlo bado ni janga kubwa kwa nchi za kusini mwa jangwa la Sahara. Acha kudanganywa na hao mabeberu.Obesity ni janga la dunia sio wazungu pekee
Kwao limekuwa kubwa sababu ya awareness kwamba watu wanajitambua na kutoa taarifa
Tech iko juu inarahisisha kazi
Upatikanaji wa chakula kitam watu wanakula kupitiliza
Yah na uwepo wa industrial foods
Lakini hii haiondoi ukweli kuwa kwa Sasa wengi wanaenda kwenye organic foods ambazo zinapatikana