Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Mbona tulipitia huko enzi za Tanganyika Packers kabla ya CCM kuona uponyaji wa akina Mwamposa unaokoa pesa za kigeni hivyo wakakifunga kiwanda.Magharibi wana supu zilizofungashwa kwenye box na makopo kama juice! Yani unanunua supu unaenda kupasha tu unakunywa, hakuna haja ya kupoteza muda kuchemsha nyama masaa ukitafuta supu.
View attachment 3158974
View attachment 3158975
View attachment 3158976
Mkuu muhimbu hatred ness zetu kwa wazungu.Wewe ndio unaleta porojo, halafu na pia upunguze kuwaabudu wazungu
Wakifa haraka ni wa kwenu ndio muache ujuaji wa kuiga kila upuuzi kisa umetoka kwa mzungu.Chajabu sie ndo tunazeeka nakufa haraka acheni ujuaji
Obesity haisababishwi na kemikali bali zaidi wanga uliochakatwa na sukari kupitiliza bila mazoezi au kazi ngumu ndio maana wala Chips mayai, chapati, vitumbua, sembe na soda wengi mjini wana obesity.Kula vyakula vyenye kemikali ndo kuwa mbali? Wazungu wanasumbuliwa mno na obesity.
Unaweza ku-backup maoni yako na data? Ndiyo yale yale ya kusema wazungu hawana nguvu kwa sababu hawali ugali. Kwa taarifa yako cases za cancer Afrika ni nyingi sana ila kutokana na diagnosis kuwa hafifu au kutopatikana kabisa tunakuwa hatuna takwimu. Back to the topic. Processed foods kwa sehemu kama Bongo ambako tuna karibu kila kitu fresh kutoka shamba na manpower ya kuandaa kila mahali siyo jambo zuri.Mkuu, processed food hiyo. Zimejaa chemicals na preservatives. Ndiyo maana wazungu wanaugua sana cancers.
Tanzania kuna vyakula kutoka shamba kwa wingi na watu wa kuvitayarisha ni wengi na gharama ni nafuu. Nadhani kwa sasa vyakula vya viwandani vitumike pale tu inapolazimu.We unajua leo ? Mboma 90's vilikuwepo madukani. Samaki wa kufungashwa ktk kopo waliuzwa madukani baadae vikapotea au mzazi alifulia na kuacha kununua, na nyie mnaona vipya. Muwe mnauliza kwanza wahenga.
Ila ladha yake huwezi kula kama hujavizoea. Waachie wazungu wewe nenda buchani au mgahawani upate sup fresh.
Kwa nini kila cha wazungu mnakiona cha maana wakati kuna wazungu wanatamani waje Africa.
Yaani unhealthy processed food unaita lishe? For God's sake.Kwenye suala la lishe wazungu wako mbali sana
Yaani kaangalia vitu vyote kaona kuendelea ni supu ya kopo!nonsenseYani kula mavyakula ya kwenye kopo ndyo kuendelea?
Hii imeendaaa....Dah raha ya supu ulikimbize jogoo mpaka utoe kajasho🤗
Na ikirudi ni pancha😅Hii imeendaaa....
supu ya box ainogiiiiiNa ikirudi ni pancha😅
Azam, Mo, Asas na Jambo wanatajirika kila siku kwa kutuuzia juice, mikate, maandazi na maziwa ya viwandani.Tanzania kuna vyakula kutoka shamba kwa wingi na watu wa kuvitayarisha ni wengi na gharama ni nafuu. Nadhani kwa sasa vyakula vya viwandani vitumike pale tu inapolazimu.
supu ya box ainogiiiii
Nafanyia kazi hili wazoNa thithi wa thame watuletee makande ya kopo
Daah supu ya kwato umekua fisi sehemu zote za Ng'ombe unaacha aisee..mimi naielewa supu ya mkia upo poa sana..Supu ya kwato sijawahi ielewa
Acha kutuletea mambo yakusadikika hapa angalia watu maarufu, kwanzia kwenye siasa, michezo, mziki ndo ujue wanakufa na age ipi au soma misalaba huko kwenu kwenye makaburi ndo ujue umri ambao wabongo hufa kwawingiWakifa haraka ni wa kwenu ndio muache ujuaji wa kuiga kila upuuzi kisa umetoka kwa mzungu.
Mimi babu na bibi yangu mzaa baba amekufa akiwa na miaka 100 na kitu (babu) na bibi akiwa na 90 huko. B8bi mzaa mama amefariki akiwa na 80 huko. Babu mzaa mama aliondoka mapema akiwa na 60s kwa magonjwa.
Baba na mama wameondoka kwa nyakati tofauti wakiwa zaidi ya miaka 84.
Kwahiyo kama ni kufa mapema ni huko huko kwenu.
Hakika, maana unaweza kula hayo manyama ya kopo baadaye unajikuta Mwanaume mzima unaota matitisio nyama ipi tu , na dawa gani , mara watu wanageuka mashoga
Ni mabaya mkuu. Nilionjaga zamani vibaya wala havina ladha kuwaiga hao wazu gu. Shida tunadhani kila wanachofanya wazungu ni kizuri. Kuna mambo ya hovyo mengi wala si ya kuiga. Mfano kula bloilerTanzania kuna vyakula kutoka shamba kwa wingi na watu wa kuvitayarisha ni wengi na gharama ni nafuu. Nadhani kwa sasa vyakula vya viwandani vitumike pale tu inapolazimu.