Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Ngoja nicheki

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kuanzia jana tovuti maarufu za ngono hazipatikani, labda utumie VPN. Kwa namna ya pekee naipongeza TCRA kwa kazi hii murua.

Nawapa pole wale ambao wamezoea kujifariji baada ya tozo za miamala, kodi ya majengo inayokusanywa na LUKU nk kuwa bila VPN haita wezekana.
 
Ni kweli zimefungwa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wengii sana....ila wanafiki, utasikia mi siangaliagi[emoji57][emoji57]

Mi marafiki zangu wote hadi wamama watu wazima wanaangalia, tena wamekuwa addicted[emoji16][emoji16][emoji23]
Sasa Mimi huyo mtu husali hatari ila nilishangaa anafatilia hii kitu. Hizi video zitapeleka wengi jehanum
 
Kuna mambo Tanzania yanafanyika mpaka unajivunia Utanzania wako

Ila kuna mengine jaman ni aibu mpaka unatamani bora uwe mtalebani kutoka teraavivi

Hongereni tcra
 
ndo mana dah tangu jana nahangaika kumbe wamefunga,shubaamit
 
Vipi na TELEGRAM wameifungia maana kule ndo unapata mubashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…