Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Huu uzi una akisi maisha ya vijana wa hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahhaha EvancHii ni coincidence Yani smu yangu inafanana Kila kitu apo kwenye bar chaji kwangu asilimia 68 pia muonekano wa top bar hapo upo sawa kama wangu
Niliwahi kudondokea kwa mshangazi mmoja muuza supu enzi za ujana wanguMishangazi inatafutwa kwa nguvu sana siku hizi 😂 😂 😂
Mshangazi inaonekana na wenyewe unapenda kudinywa na kijana. Kijana asipokula mzigo ni uzembe wake binafsi.
Alikusaidia sana hujui tuNiliwahi kudondokea kwa mshangazi mmoja muuza supu enzi za ujana wangu
Nilikunywa supu mpaka nilikuwa nimenenepa Sana kiasi Cha hata kushindwa kutembea nusu saa.
Ashukuriwe Mungu ,Eliza alipata mume akanibwaga Kama maji ya Michele .
Hapana madhara yake nilikuja kuyaona baada kupata demu anayetaka kila kitu nimhudumie ndiyo nikajua yule Bibi alinilemaza SanaAlikusaidia sana hujui tu
Nakumbuka kipindi Niko o-level Kuna mwamba alikuwa mshkaji wangu so akafanta maelekezo kwa mama ntilie...ilikuwa nikujipigia TU chai msosi wa mchana Bure TU sunajua shemeji Hana baya 😂 😂 😂Niliwahi kudondokea kwa mshangazi mmoja muuza supu enzi za ujana wangu
Nilikunywa supu mpaka nilikuwa nimenenepa Sana kiasi Cha hata kushindwa kutembea nusu saa.
Ashukuriwe Mungu ,Eliza alipata mume akanibwaga Kama maji ya Michele .
Nawe ulikua kijanaHuu uzi una akisi maisha ya vijana wa hovyo
Mwenye Uzi kajua kuselect topics zinazofuatiliwa zaidisema huu uzi utapata viewers wengi sana
,😄😄Inabidi tusikitike jamaa yangu... Vijana siku hz wanazama hadi walipotokea mama zao. Kuna vibibi kibao navyo vinajiita mishangazi...
Maadili yashaporomoka kitambo!
Niliambiwa Sina adabu 😂 😂 😂Naomba kupitia huu uzi kila mtu atoe ushuuda wake juu ya mishangazi.